da sophy una maneno ka dada mmoja alikua anatembea na mume wangu ila cjui aliishia wapi ati aliniambia wanaenda funga ndoa UK, mume akamiss home kabla hajaenda hata Uk akanirudi na magoti chini jamani nami kwa upendo nikamnyanyua na sasa tunalea watoto wetu kwa raha mustarehe!
Hiki ndicho walichojaaliwa kinamama lakini wanaume wamenyimwa kabisa. Wanaume wanaoweza kufanya hivi kwa wake zao wajiorodheshe haa (sitashangaa asipojitokeza yeyote!). Wapo wanaodai wanaweza kusamehe, lakini inakuwa magirini tu, kila siku akiudhika anakukumbusha ulichotenda! Kwa hiyo habari ya 'raha mustarehe' bado nina mashaka nayo.
Hivi weekend si leo nafanya nn sa hii kwa mkoloni!! Ngoja tufanye the needfull tukakutane na kina Da Sophy!!
I will never fight, in my case, for a woman. If my woman cheats on me with another man, then I'll deal with her. It's her who let it happen. Not the other man. That's my philosophy.
ha ha ha wanakwepeka basi hao ni kwa maombi tu!!Hata wewe?
zote huwa zinakaa sehemu moja. ukirudisha chuya kwenye mchele, ni sawa na kurudisha sime kwenye ala yake.hahaaaaaa kwemye chaki nimecheka mpaka nalia sasa!!!
na wewe unachanganya mchele na chuya ndo nini?
Hommie hebu nisomee saa hapo.Tupo kikazi zaidi apo ujue hommie!
Ntumiepo kimoja FL1......:hug:
hommie nilikua sijasoma hii....Ahsate kwa kunipa moyo alafu hommie ujue hi zambi yako ohoo!!Hommie hebu nisomee saa hapo.
A DRUNK will be sobber next day, but a FOOL will remain a FOOL.
Hommie hebu nisomee saa hapo.
hommie nilikua sijasoma hii....Ahsate kwa kunipa moyo alafu hommie ujue hi zambi yako ohoo!!
ha ha ha wanakwepeka basi hao ni kwa maombi tu!!
hahaha wewe itabidi tu tufanye geti togeza haya mambo ya Da Sophy aiii si ya kawaida
Hata wewe?
zote huwa zinakaa sehemu moja. ukirudisha chuya kwenye mchele, ni sawa na kurudisha sime kwenye ala yake.
na za mwiz ni arobaini.Siku ya kujuta ipo.jiendekezeni hivo hivo
LOL sawa FL1 nimekusoma...natanguliza shukran!
Vipi shemeji kwani Kimey alikwambia hadumishi mila?:target: