Mom
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 708
- 31
Hommie do ze nidiful!
bora tuanzishe ya kwenda kuanza everning somewhere watu wachangie wapi panafaa
Hommie do ze nidiful!
hahaaaa Fab cheza kwa step.....mbona sasa dada Bht kashaanza kuchunguza,kwani nimemvunjia heshima?..LOL
mbona sasa dada Bht kashaanza kuchunguza,kwani nimemvunjia heshima?..LOL
Conclusion: Akili zako changanya na za kuambiwa.....no no..hii ndo issue mkulu Roya Roya.,,,....
wera weraaaaaaaaaaaaaa (baba hapendi!)
bora tuanzishe ya kwenda kuanza everning somewhere watu wachangie wapi panafaa
Hats off cousin!
@Da Sophy weye kweli ni chiboko! Nyumba ndogo unakula 100% asa miaka yote hiyo jamaa anasubiri nini kugeuza matokeo ya mechi?
kAIZER IS A HAPPILY MARRIED MAN WITH A HAPPY FAMILY!!!
NOTED!!!!thanks!
JAMANI FIRST LADY ngoja niongee kwa sauti JAMANI MADA HII HAINIHUSU MIMI. MIMI NILIKUWA NACHANGIA TU KAMA MWANAJAMII WA JAMII FORUM na pengine nilokuwa nayasema yamemchoma ndo maana akaelekeza mashambulio kwangu but ah si mimi mwibiwa kwanza sina wa kuibiwa jamani au mnataka nitangaze Call for Proposals???
Unamaanisha Changudoa ni changudoa ama cha kwako ni cha kwako??:confused3:'changu ni changu'
\Mi napendekeza Marangu pale Kimara bucha..if u know war am sain? wapi bigirit? geoff? xpin? Fide?
Mi napendekeza Marangu pale Kimara bucha..if u know war am sain? wapi bigirit? geoff? xpin? Fide?
listredi linakimbia sana.......kaizer na bht ndo wame-take off!!
mkuu, watu kibao wanaoa bila kukonsider dhamiri za ndoa. Lakini pia, mademu wengi sana wanang'ang'aniaga kuolewa........matokeo yake ni lazima jamaa atakuwa anapakua mchele kwenye majiko mengine.
Kwenye hili nina experience, wala usiniulize!!
Unamaanisha Changudoa ni changudoa ama cha kwako ni cha kwako??:confused3:
\
Na sio pale korogwe opp na daladala stand? Geoff simuoni kabisa humu ndani
listredi linakimbia sana.......kaizer na bht ndo ( wame-take off their pants and under.....s!!))
mkuu, watu kibao wanaoa bila kukonsider dhamiri za ndoa. Lakini pia, mademu wengi sana wanang'ang'aniaga kuolewa........matokeo yake ni lazima jamaa atakuwa anapakua mchele kwenye majiko mengine.
Kwenye hili nina experience, wala usiniulize!!
Unamaanisha Changudoa ni changudoa ama cha kwako ni cha kwako??:confused3:
Huyo anamaanisha 'chako ni chako'...and that has a long history mkuu kati ya mi na bht (ila anakaba kweli kweli duh)
JAmani hivi ni kweli utamu wa mume ni hilo mlilotaja?
Mimi nina mtazamo tofauti. Utamu wa mume/mke for that matter ni ile package yake nzima- Kwangu nitaumia kama ule ucheshi, matani, urafiki na upendo alionao utapotea au kuhamia kwa hawara than kunyimwa dudu. Kwa sababu hata awe anakuja na kujilazimisha achomeke kila siku kama ile hali ya uyeye yaani package yake kama yeye haipo tena hakuna cha utamu hapo.
Kuna mtu kazungumzia Marangu pale Kimara bucha??? Na mwingine Korogwe???