bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,880
wewe ni malaya hata ujiteteee vipi
****** zako
heheeee usijali nina uhakika una defence y aprovocation hapo
wewe ni malaya hata ujiteteee vipi
****** zako
Hii inaonekana wazi iko addressed to a certain 2nd person, huyo anayeibiwa mume. Lakini kwa jinsi ilivyosomwa na kuchangiwa na wengi (mimi nimeweza tu kusoma pages mbili za mwisho niko kibaruani na bosi mkali!), inaonekana ni mada inayogusa wengi, ni kama kuchoma chumba kimoja kwenye nyumba ya ghorofa hata 10, jengo zima watahaha.
Pengine is it something we are unable to control, kwamba iwe isiwe lazima wawepo watu wasio waaminifu katika ndoa zao? Labda japo measures za impact mitigation if we can't prevent it? Hizo pages 3 nilizosoma sijaona dalili kama anatumia condom huyu dada.
Issue nyingine ni huyu aliyeelekezewa kombora hili, nadhani inafaa kufundishana pia jinsi ya ku-react to such incidents. Pengine tutoe michango ya kwamba kwa mwanamke aliyeolewa akikumbana na mtu wa Da Sophy type, ni hatua gani muafaka za kuchukua.
haya...utamu wa mume ni nini......
aaah potelea mbali mi ningezipiga tu na huyu!! wa ukweli huyu dada ana nyodo duh!!! dizaini wa buguruni kwa mnyamani huyu!!
afu B ikwiriri mi ndo nshajiandaa mwezi mmoja kabla, just waiting for my SM hahahaaalol!! nimefika point of no return wewe subiri feed back tu!!!!
dudu!!!!
knowing is for me and me only!...ndio utamu wenyewe Kaizer
vipi umeoa? :rolleyez::behindsofa:
Nimalize kwa kusema, jamaa pamoja na hao wanawake wake wanapotezeana muda tu!! the guy, should consider his options as a man and devise an exit strategy........start all over.
Mkuu Mtu B thanks for the metaphor and the analysis, ndicho ninachosema hapa hebu tuweke ubishi pembeni lets face the issue .......
dudu!!!!
knowing is for me and me only!...ndio utamu wenyewe Kaizer
vipi umeoa? :rolleyez::behindsofa:
hivi huwa ipo hii B?:rolleyez:
heheeee usijali nina uhakika una defence y aprovocation hapo
AAH MI LEO NASOMA TU!!!
ijumaa leo duh!!
kAIZER IS A HAPPILY MARRIED MAN WITH A HAPPY FAMILY!!!
ndipo nilipofika mimi kwa hiyo ipo!!! ila huyu wa ikwiriri na yeye bana hebu ngoja aamke kwanza ana kesi ya kujibu ujue B!!! HIVI KWELI NA WEWE UNANIACHA MDOMONI MWA MAMBA??
Habari zenu wanadamu wenzangu?
Mnaonaje nikaanzisha thread nyingine? mmesahau leo ni ijumaa?
Habari zenu wanadamu wenzangu?
Mnaonaje nikaanzisha thread nyingine? mmesahau leo ni ijumaa?
Hivi hapa kinachosemwa ni kwamba aibe mme wa mtu ila asijisifie au asiibe kabisa?
Na kama hajapata wa kumuoa afanyeje?
Hivi tunakwepa ukweli kwamba haiwezekani wanawake wote wakaolewa?
yes, nadhani from there tunaweza kudiscuss huo utamu pamoja au?:rolleyez:
Sihitaji mtu anayetafuta mchumba, nahitaji mtu anayenipenda. Hivi kama mtu shida yake ni kunioa tu lakini kumbe hanipendi kiukweli, atanifaa nini, si ataishia kunioa halafu akipata anayempenda ataanza kutuchanganya? Bora nikae na anayenipenda, ikitokea anaweza kunioa bora zaidi, lakini si kuolewa tu alimradi, no, nakataa.
Habari zenu wanadamu wenzangu?
Mnaonaje nikaanzisha thread nyingine? mmesahau leo ni ijumaa?
ebu kagua apo juu nimedo ze nidiful B,,
Huko mdomoni watoto wa siku hizi ndo mnakopenda yaani kila kitu mnataka kinyume, haya kisa cha kuingia mdomoni mwa mamba na unajua akifumba tu imekula kwako ndo nini (u know i dont want to loose u)