Kama Nairobi wamesema wametoa risasi nane kwa Lissu, lengo la madaktari wa Dodoma kutoa tano ni nini?

Kumbuka Dodoma hawakufanya major operation walifanya Kitu kinaitwa resuscitation ni kumrudisha mgonjwa Katika hali yake ya kawaida kwa kuhakikisha vital signs zote ziko stable na no more bleeding na kuondoa hizo baadhi ya risasi

Kule Nairobi wamefanya major operation ambako Sasa ni rahisi Kuona kila Kitu huko ndani na kutoa ndiyo maana idadi inatofautiana.

Usijenge dhana ambayo Haipo kabisa kama vile Dodoma madaktari waliziacha risasi kwa makusudi hapana.

Viapo vya madaktari ni vikali sana ndiyo maana anaweza kukutana na hata jambazi aliyefanya uhalifu kwa ndugu wa daktari na bado jambazi huyo akapewa huduma stahiki.
Viapo ni nini? Nani aliwahi kufa kwa kukiuka kiapo? Huo ni ugonjwa tunaopandikiziwa akilini kutiwa umbumbumbu.
Fahamu pia kuwa kofia mbili zinavalika pamoja yaani udaktari na ujasusi.
 
Kumbuka Dodoma hawakufanya major operation walifanya Kitu kinaitwa resuscitation ni kumrudisha mgonjwa Katika hali yake ya kawaida kwa kuhakikisha vital signs zote ziko stable na no more bleeding na kuondoa hizo baadhi ya risasi

Kule Nairobi wamefanya major operation ambako Sasa ni rahisi Kuona kila Kitu huko ndani na kutoa ndiyo maana idadi inatofautiana.

Usijenge dhana ambayo Haipo kabisa kama vile Dodoma madaktari waliziacha risasi kwa makusudi hapana.

Viapo vya madaktari ni vikali sana ndiyo maana anaweza kukutana na hata jambazi aliyefanya uhalifu kwa ndugu wa daktari na bado jambazi huyo akapewa huduma stahiki.

sure mkuu
 
Kumbuka Dodoma hawakufanya major operation walifanya Kitu kinaitwa resuscitation ni kumrudisha mgonjwa Katika hali yake ya kawaida kwa kuhakikisha vital signs zote ziko stable na no more bleeding na kuondoa hizo baadhi ya risasi

Kule Nairobi wamefanya major operation ambako Sasa ni rahisi Kuona kila Kitu huko ndani na kutoa ndiyo maana idadi inatofautiana.

Usijenge dhana ambayo Haipo kabisa kama vile Dodoma madaktari waliziacha risasi kwa makusudi hapana.

Viapo vya madaktari ni vikali sana ndiyo maana anaweza kukutana na hata jambazi aliyefanya uhalifu kwa ndugu wa daktari na bado jambazi huyo akapewa huduma stahiki.
Kiapo cha udaktari na maelekezo kutoka juu kipi kina nguvu...?
 
Dodoma walifanya kitu kinaitwa damage control surgery..

Nairobi wameendelea na mengineyo...kwangu mimi naona kilichoenda kufanyika Nairobi kwa wakati ule yaani lissu akiwa unstable na wakamuexpose kwenye surgiries mara tatu na ushehe ndio jambo hatarishi.

Risasi zaweza kuishi mwilini bila madhara yoyote hata zikiachwa.

Tuheshimu taaluma na tuache kuropoka.
Risasi haiwezi kukaa mahali pamoja mwilini.Itatembea na kuleta damage baada ya muda ndo utakuta mtu anaanguka ghafla akifikishwa hospital tunapewa stories kama hizo akiwa tayari ameshakufa!
 
Risasi ni kipande kidogo tu cha chuma. Kinapopigwa kutoka kwenye bunduki kinabeba nguvu kinetic energy nyingi ambayo ni mass times velocity square. Ni nguvu hii ya kinetic energy inapokutana na tissues za mwili wa binadamu ndiyo hufumua na kusambaratisha tissues hizo in milliseconds. Baada ya hapo hiko kipande cha chuma (risasi) hakina madhara tena mwilini, it is sterile, unless kiwe ndani ya mshipa mkubwa wa damu au wa fahamu.

Lengo la operation ni ku repair the disrupted tissues of important organs only such as bowels, bleeding blood vessels, liver, lungs, kidneys, bones etc. Risasi huwa hazitolewi unless they are just floating around, are easily accessible and can be easily removed without causing significant further tissue damage.

Vyuma kuwekwa kwenye mwili wa binadamu ni jambo la kawaida. Wapo watu wengi wana plates za vyuma, misumari na vipande mbali mbali vya vyuma miilini mwao walivyowekewa na madaktari. Daktari anayeng'ang'ania kutoa kila risasi inayoonekana kwenye x ray pictures eti kumridhisha mteja, huyo daktari atakuwa na lake. It is un professional na ni kumuumiza zaidi mgonjwa bila sababu. Ndani ya mwili muonekano wa risasi siyo ule wa mung'aro wa picha ya x ray.
 
Hii issue ya Lissu ilitakiwa cdm waachwe watafute madaktar uchochoro wanaoujua wao maana kila mtu anayewasaidia hatua ikipita wanamnanga.
 
Risasi ni kipande kidogo tu cha chuma. Kinapopigwa kutoka kwenye bunduki kinabeba nguvu kinetic energy nyingi ambayo ni mass times velocity square. Ni nguvu hii ya kinetic energy inapokutana na tissues za mwili wa binadamu ndiyo hufumua na kusambaratisha tissues hizo in milliseconds. Baada ya hapo hiko kipande cha chuma (risasi) hakina madhara tena mwilini, it is sterile, unless kiwe ndani ya mshipa mkubwa wa damu au wa fahamu.

Lengo la operation ni ku repair the disrupted tissues of important organs only such as bowels, bleeding blood vessels, liver, lungs, kidneys, bones etc. Risasi huwa hazitolewi unless they are just floating around, are easily accessible and can be easily removed without causing significant further tissue damage.

Vyuma kuwekwa kwenye mwili wa binadamu ni jambo la kawaida. Wapo watu wengi wana plates za vyuma, misumari na vipande mbali mbali vya vyuma miilini mwao walivyowekewa na madaktari. Daktari anayeng'ang'ania kutoa kila risasi inayoonekana kwenye x ray pictures eti kumridhisha mteja, huyo daktari atakuwa na lake. It is un professional na ni kumuumiza zaidi mgonjwa bila sababu. Ndani ya mwili muonekano wa risasi siyo ule wa mung'aro wa picha ya x ray.
 
Risasi haiwezi kukaa mahali pamoja mwilini.Itatembea na kuleta damage baada ya muda ndo utakuta mtu anaanguka ghafla akifikishwa hospital tunapewa stories kama hizo akiwa tayari ameahakufa! Hizo story kaelezee kwenu huko Kiburunyembe
Risasi inatembeaje kwa mtu asiyetembea?
Hata kama haikai mahali pamoja ...unajua inatembea kuelekea wapi?
 
Hili swali najiuliza sipati jibu

Lengo la kuziacha zile risasi nane ilikuwa nini? Maana Kenya zimetolewa nane wakati Dodoma tuliambiwa alipigwa risasi tano,bora wangesema alitolewa tano zimebaki nane
Kama unaelewa maana ya "Emergency operations for life saving or stabilizing the patient with possible referral procedures " Huwezi uliza swali la kijinga kama hili. Wataalam wa Medicine hawasemi kitu wewe unaanza kuleta hisiahisia za kupiga lamli hapa, haya ndo matatizo ya watu wanaotibiwa na waganga wa kienyeji.
 
Kumbuka Dodoma hawakufanya major operation walifanya Kitu kinaitwa resuscitation ni kumrudisha mgonjwa Katika hali yake ya kawaida kwa kuhakikisha vital signs zote ziko stable na no more bleeding na kuondoa hizo baadhi ya risasi

Kule Nairobi wamefanya major operation ambako Sasa ni rahisi Kuona kila Kitu huko ndani na kutoa ndiyo maana idadi inatofautiana.

Usijenge dhana ambayo Haipo kabisa kama vile Dodoma madaktari waliziacha risasi kwa makusudi hapana.

Viapo vya madaktari ni vikali sana ndiyo maana anaweza kukutana na hata jambazi aliyefanya uhalifu kwa ndugu wa daktari na bado jambazi huyo akapewa huduma stahiki.

"kumrudisha mgonjwa Katika hali yake ya kawaida kwa kuhakikisha vital signs zote ziko stable na no more bleeding na kuondoa hizo baadhi ya risasi"
unafiki tu kwa hiyo pale Dodoma alitolewa akiwa katika hali yake ya kawaida?Na zile sifa Ummy alizokuwa anamwagia katibu wake mkuu kwamba ni "bingwa wa dawa za usingizi"ni kweli kwamba mgonjwa alikuwa anahitaji dawa hizo?
"Mission failed"!
 
Kumbuka Dodoma hawakufanya major operation walifanya Kitu kinaitwa resuscitation ni kumrudisha mgonjwa Katika hali yake ya kawaida kwa kuhakikisha vital signs zote ziko stable na no more bleeding na kuondoa hizo baadhi ya risasi

Kule Nairobi wamefanya major operation ambako Sasa ni rahisi Kuona kila Kitu huko ndani na kutoa ndiyo maana idadi inatofautiana.

Usijenge dhana ambayo Haipo kabisa kama vile Dodoma madaktari waliziacha risasi kwa makusudi hapana.

Viapo vya madaktari ni vikali sana ndiyo maana anaweza kukutana na hata jambazi aliyefanya uhalifu kwa ndugu wa daktari na bado jambazi huyo akapewa huduma stahiki.
Na aelewe kwamba kama madaktari wangekuwa na nia mbaya asingetoka salama pale kwenye meza ya operation,kwani kuna namna nyingi tu ambazo zingeweza kummaliza bila hata kuleta taaruki, mfano mzuri ni anaesthetic overdose, kutokuongezewa damu ya kutosha wakati una uhitaji,kuongezewa damu ya tofauti na blood group yake nk.
 
"kumrudisha mgonjwa Katika hali yake ya kawaida kwa kuhakikisha vital signs zote ziko stable na no more bleeding na kuondoa hizo baadhi ya risasi"
unafiki tu kwa hiyo pale Dodoma alitolewa akiwa katika hali yake ya kawaida?Na zile sifa Ummy alizokuwa anamwagia katibu wake mkuu kwamba ni "bingwa wa dawa za usingizi"ni kweli kwamba mgonjwa alikuwa anahitaji dawa hizo?
"Mission failed"!
Mtaalam wa dawa za usingizi ni muhimu sana ktk resuscitation tatizo hujui unaongea nini!!

Unafikiri kazi yake ni kumpa mgonjwa dawa za usingizi tu ndicho unachojua wewe!

Pale inapotokea mgonjwa hali ni mbaya hawa wataalam wa dawa za usingizi ndiyo kufanya kazi kubwa sana kuhakikisha life is back kwa kufuata ABCD.
 
Ka
Na aelewe kwamba kama madaktari wangekuwa na nia mbaya asingetoka salama pale kwenye meza ya operation,kwani kuna namna nyingi tu ambazo zingeweza kummaliza bila hata kuleta taaruki, mfano mzuri ni anaesthetic overdose, kutokuongezewa damu ya kutosha wakati una uhitaji,kuongezewa damu ya tofauti na blood group yake nk.
Kabisa mkuu....ila Kuna watu humu JF sio walogwa na nani? Wao kila Kitu ni Negative tu na matusi tu Mimi sijui hata nia yao ni nini?
 
Ka

Kabisa mkuu....ila Kuna watu humu JF sio walogwa na nani? Wao kila Kitu ni Negative tu na matusi tu Mimi sijui hata nia yao ni nini?
Kuendelea kueleweshana na kuombeana sote tupate uelewa mkuu, mdogo mdogo wataelewa tu.
 
Zinaweza kuachwa makusudi pua ili kumnusuru mgonjwa pia .
Mara nyingi kuna baadhi ya vitu ili kuvitoa lazima kuwe na matayarisho au miundo mbinu ya kudhibiti jeraha kutokana na kuvuja na damu na mengineyo.
Kama miundo mbinu ilikuwa hafifu Dodoma basi madaktar walifanya uamuzi sahihi kuziacha kwanza
That is very right
 
Hizo ni stories tu unazungumzia viapo? Upo serious? Madaktar ni binadam kama wengine.kila sehem kuna maadili yake,kuna viapo vyake na watu wanavunja. Daktar haruhusiw kum sex mgonjwa and yet zipo kesi nying tu za namna hiyo. Ni ujinga kuamini kuwa eti daktari sabab ya kiapo anaweza kumhudumia jambaz aliyemuua mke,mume au mtoto wake kwa sabab ya kiapo.huwajui binadamu ungenyamaza tu. Labda huyo daktar awe amemtuma huyo jambaz.

Akifanya hivyo anakuwa amefanya kwa moyo wake binafsi si sababu ya kiapo.tuna madaktar wangap wanawaacha wagonjwa wao wanaenda kupata lunch mbali sana. Au kupumzika? Ndo iwe kuacha risasi kwa lissu ngumu?tena kama kuna shinikizo? Madaktar wangap wanaamua tu huyu mtu akatwe mguu au mkono sababu hawatak kuhangaika naye? Kuna mtu alikatwa mguu amaba sabab ya kidole kuwa na kidonda ambacho daktar mwngne alishangaa why wamkate mguu mbona kidonda chenyewe kilikuwa kinatibika.
Daktari yoyote anayetenda au kutoa huduma kinyume na kiapo chake huyo hafai kuwa Daktari duniani kote.
 
Back
Top Bottom