mseseve
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 511
- 89
Nilikuwa na kimuhemuhe na kiroho papo kuwa na kisimbuzi cha Azam Tv ndio, ni kutokana na jinsi walivyokuwa wanajimwambafy (kujisifia kwa ubora wa miatambo na modern technology na watangazaji manguli), tuna studio bora kama za Al-Jazeera na BBC...l
Lakini pamoja na hayo yoote naona swala la uchangamfu wa channel zao na uchanganyaji picha, bado sanaaa.. Na hata ule ubunifu wa watangazaji kupresent taarifa ili kumvutia mtazamaji haupo..
Nilitegemea utumizi wa technology kama tunavyoona BBC na Al-Jazeera wanavyofanya bt kinyume chake naona hakuna utofauti na channel zingine ambazo si Pay Tv kama Clouds Tv n.k..
Utangazaji na uwasilishaji wa habari hauko designed, uondoshaji wa habari moja kwenda nyingine bado uko local sana... Bora hata kuangalia EATV wamechangamka na wanacheza na technology vizuri.. Sijui ni kwanini hawajilinganishi na international Tv, wanabaki kuwaza kushindana na local tv za kibongo..
Jueni kuwa tunatoa hela kupata huduma zenu..
Lakini pamoja na hayo yoote naona swala la uchangamfu wa channel zao na uchanganyaji picha, bado sanaaa.. Na hata ule ubunifu wa watangazaji kupresent taarifa ili kumvutia mtazamaji haupo..
Nilitegemea utumizi wa technology kama tunavyoona BBC na Al-Jazeera wanavyofanya bt kinyume chake naona hakuna utofauti na channel zingine ambazo si Pay Tv kama Clouds Tv n.k..
Utangazaji na uwasilishaji wa habari hauko designed, uondoshaji wa habari moja kwenda nyingine bado uko local sana... Bora hata kuangalia EATV wamechangamka na wanacheza na technology vizuri.. Sijui ni kwanini hawajilinganishi na international Tv, wanabaki kuwaza kushindana na local tv za kibongo..
Jueni kuwa tunatoa hela kupata huduma zenu..