Kama Mungu yupo basi hataki tumjue

Kama Mungu yupo basi hataki tumjue

Mungu yupo makaz yake kwenye jua jua halijawai kutembelewa na mtafit yoyote popote pale pasipofikiwa na mwanga wa nua hakuna mmea unaooa ni barafu au jangwa ishara yake ni moto rwjea kwenye biblia ukitaka kuonge nae fanya tob jisfishe muomba kupitia ndoto utasikia saut yame ikiongea na wewe
 
Mungu uwepo wake ni kama umeme katika mifumo ya nguvu, huwezi kuona voltage and current kwa macho .Bali tunaona matokeo mfano.Ukiwasha taa unachoona ni mwanga .Mungu uwepo wake huthibitika katika matokeo na michakato .
Matokeo gani kwa mfano
 
Matokeo gani kwa mfano
Ili umuone Mungu kwenye maisha yako Jifunze kuwa una ji-unplug.

Uwe unatenga muda wa kukaa peke yako na kutafakari siyo kila siku Upo Facebook mara Instagram, zima simu kaa peke yako hata masaa 24 ndipo utamuona.

Huwezi kumuona Mungu kama muda wote upo bize unawaza hela.

Vile vile fahamu Mungu anafanya kazi kupitia watu, hivyo ongea vizuri na watu kaa vizuri na watu na wewe mwenyewe uwe tayari kutumika na watu wengine.

Ukipiga hodi mlango mmoja na usifunguke Endelea kupiga mpaka ufunguke (aliyegundua balbu ya Umeme alifanya majaribio tofauti tofauti zaidi ya 1000 bila kukata tamaa mpaka akafanikiwa).

Ukiona mlango haufunguki kwa muda mrefu hata baada ya kupiga hodi mara nyingi, jaribu kupiga hodi mlango mwingine tofauti.

Usimwekee Mungu mipaka, usipime uwezo wa Mungu kwa kuangalia utajiri au umasikini wa kidunia.
 
Ili umuone Mungu kwenye maisha yako Jifunze kuwa una ji-unplug.

Uwe unatenga muda wa kukaa peke yako na kutafakari siyo kila siku Upo Facebook mara Instagram, zima simu kaa peke yako hata masaa 24 ndipo utamuona.

Huwezi kumuona Mungu kama muda wote upo bize unawaza hela.

Vile vile fahamu Mungu anafanya kazi kupitia watu, hivyo ongea vizuri na watu kaa vizuri na watu na wewe mwenyewe uwe tayari kutumika na watu wengine.

Ukipiga hodi mlango mmoja na usifunguke Endelea kupiga mpaka ufunguke (aliyegundua balbu ya Umeme alifanya majaribio tofauti tofauti zaidi ya 1000 bila kukata tamaa mpaka akafanikiwa).

Ukiona mlango haufunguki kwa muda mrefu hata baada ya kupiga hodi mara nyingi, jaribu kupiga hodi mlango mwingine tofauti.

Usimwekee Mungu mipaka, usipime uwezo wa Mungu kwa kuangalia utajiri au umasikini wa kidunia.
Enzi za utoti wangu niliiuwa mtu wa Mungu sana lakini sikuwahi kumuona.
Hakuna tofauti ya maisha kipindi kile na sasahivi, tofauti ni kwamba kipindi kile nilikuwa mtu wa kanisani sikuhizi nimeacha
Hakuna hayo mambo ya kwamba ukiwa mtu wa Mungu atabadili maisha yako, utakuwa na nuru kwenye maisha yako.
Sio kweli, sasahivi ni almost atheist ila sioni kama kuna kitu nimepoteza
Kingine ni kwamba inanikera wazungu walivyotuletea dini zao, au waarabu pia
Nikiwa naabudi Mungu wa wazungu naona kama nawanyenyekea sana wazungu
Wao walileta dini ili kutawala waafrika kirahisi, wakafuta dini walizozikuta Africa na kusema Mungu wa ukweli hazipendi.
Kuna muda natamani wazungu na waarabu wasingeleta tu dini zao. Zimetuharibia mno jamii zetu
 
Enzi za utoti wangu niliiuwa mtu wa Mungu sana lakini sikuwahi kumuona.
Hakuna tofauti ya maisha kipindi kile na sasahivi, tofauti ni kwamba kipindi kile nilikuwa mtu wa kanisani sikuhizi nimeacha
Hakuna hayo mambo ya kwamba ukiwa mtu wa Mungu atabadili maisha yako, utakuwa na nuru kwenye maisha yako.
Sio kweli, sasahivi ni almost atheist ila sioni kama kuna kitu nimepoteza
Kingine ni kwamba inanikera wazungu walivyotuletea dini zao, au waarabu pia
Nikiwa naabudi Mungu wa wazungu naona kama nawanyenyekea sana wazungu
Wao walileta dini ili kutawala waafrika kirahisi, wakafuta dini walizozikuta Africa na kusema Mungu wa ukweli hazipendi.
Kuna muda natamani wazungu na waarabu wasingeleta tu dini zao. Zimetuharibia mno jamii zetu
Bado unauelewa finyu kuhusu Mungu.

Bado humjuwi Mungu ndiyo maana unamuunganisha na mambo ya mali na kufanikiwa.

Nitarudi kukusaidia zaidi baadaye kidogo, nina kazi muda huu
 
Bado unauelewa finyu kuhusu Mungu.

Bado humjuwi Mungu ndiyo maana unamuunganisha na mambo ya mali na kufanikiwa.

Nitarudi kukusaidia zaidi baadaye kidogo, nina kazi muda huu
Labda Mungu hana shida na mtu yoyote mwenye uelewa finyu kuhusu yeye. Binadamu ndio wanahangaika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom