Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Ni dhahiri hata nyie viongozi wa serikali mnakubali kuwa mliingia kitanzini kupata mkopo wa tril 1.3 toka Wb kwa mashariti ya kupambana na Uviko 19 lakini mkijua kabisa hali sio mbaya kihivyo.
Maana nawaona kwenye dhifa la kitaifa kumkaribisha rais wa Burundi wengi mmevaa barakoa kama geresha, hata social distancing hakuna kabisa.
Hii inadhihirisha kuwa kumbe mmeshatambua kuwa hili janga japokuwa lipo lakini sio kwa namna wafadhili wanataka iwe.
Hii ni wazi kuwa mlikubali kutuletea chanjo ambazo hazithibisha kukinga Uviko 19 ili mvute Tril 1.3.
My take; Mmetumia afya za watz kama dhamana ya mkopo wa tril 1.3. Zitumike vyema kama inavyistahili.
Maana nawaona kwenye dhifa la kitaifa kumkaribisha rais wa Burundi wengi mmevaa barakoa kama geresha, hata social distancing hakuna kabisa.
Hii inadhihirisha kuwa kumbe mmeshatambua kuwa hili janga japokuwa lipo lakini sio kwa namna wafadhili wanataka iwe.
Hii ni wazi kuwa mlikubali kutuletea chanjo ambazo hazithibisha kukinga Uviko 19 ili mvute Tril 1.3.
My take; Mmetumia afya za watz kama dhamana ya mkopo wa tril 1.3. Zitumike vyema kama inavyistahili.