Kama Mama hahusiki na kutoa amri za mauaji Kuna maswali yangu hapa

Kama Mama hahusiki na kutoa amri za mauaji Kuna maswali yangu hapa

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
16,997
Reaction score
23,638
Kama Mama hahusiki na kutoa amri kwanini baada ya kuzima internet haikurusiwa kurecord matukio kama nia ni njema Nini walikuwa wanaficha?

La pili, kwanini kulikuwa na order ya kuzuiwa watu kuchukua maiti ya wapendwa wao na hili lilikuwa linafanyika nchi nzima na polisi
 
Aliyetoa order si anajulikana ni igp ndo alikuwa front kutangaza watu wakae ndan ili akawamalize vizur
 
Hata kama siyo yeye aliyotoa order(tu assume hivyo)..

..ila yeye kama mkuu wa vyombo vyote vya usalama nchini ndio anaa jukumu la kulinda usalama wa raia wote waliopo nchi hii na alikuwa ana uwezo ya kusimamisha ile operation ya kishetani mara moja pale tu ilipoanza kabla watu hawajafa kwa maelfu.

...hivyo hakuna namna ya kumfanya asiwe responsible na mauaji haya.

Nilichokiona watetezi wa hili shetani la kizanzibar wana akili ndogo sana na hawajui hata upana wa madaraka na majukumu aliyonayo.
 
Aliyetoa order si anajulikana ni igp ndo alikuwa front kutangaza watu wakae ndan ili akawamalize vizur
Kutaka watu wakae ndani sio maana yake kwamba atakaekua nje anauawa. Polisi anaweza kuua kwenye mazingira ambayo hakuna namna nyingine, sio yale ya kuwavizia watu na bodaboda. Dealth warranty inatolewa na Rais. Kama IGP alifanya hivyo bila baraka za Rais maana yake Rais anatakiwa kumwondoa kwenye hiyo nafasi
 
Nakumbuka Kuna comment Yako iliyojaa kejeli, kwamba hakuna maandamano yanayo anzishwa mtandaoni, sijui sasa hivi una lipi la kusema.

Nilitaka nikutane sema nikajizuia tu. Tujifunze kuwa kitu kimoja kwenye mijadala ya kitaifa. Kama wewe hauwezi kuandamana, basi usiwakatishe tamaa wanao taka kuandamana
 
Nakumbuka Kuna comment Yako iliyojaa kejeli, kwamba hakuna maandamano yanayo anzishwa mtandaoni, sijui sasa hivi una lipi la kusema.

Nilitaka nikutane sema nikajizuia tu. Tujifunze kuwa kitu kimoja kwenye mijadala ya kitaifa. Kama wewe hauwezi kuandamana, basi usiwakatishe tamaa wanao taka kuandamana
Mpaka nilisema hakuna maandamano nilipima vitu vingi Kuna makosa yalifanywa na mamlaka ndio iliyopelekea maandamano Kama yasingekuwa hayo makosa maandamano yalikuwa hayapo
 
Nakumbuka Kuna comment Yako iliyojaa kejeli, kwamba hakuna maandamano yanayo anzishwa mtandaoni, sijui sasa hivi una lipi la kusema.

Nilitaka nikutane sema nikajizuia tu. Tujifunze kuwa kitu kimoja kwenye mijadala ya kitaifa. Kama wewe hauwezi kuandamana, basi usiwakatishe tamaa wanao taka kuandamana
Aisee
 
downloadfile-3.jpg
 

Attachments

  • downloadfile-3.jpg
    downloadfile-3.jpg
    135.1 KB · Views: 10
Kama Mama hahusiki na kutoa amri kwanini baada ya kuzima internet haikurusiwa kurecord matukio kama nia ni njema Nini walikuwa wanaficha?

La pili, kwanini kulikuwa na order ya kuzuiwa watu kuchukua maiti ya wapendwa wao na hili lilikuwa linafanyika nchi nzima na polisi
Hahusiki kivipi wakati kipindi chote kabla ya mauaji alikuwa akiimba kuwa ataua? Nywinywi wala nywinywinywi huikumbuki au??
 
Mpaka nilisema hakuna maandamano nilipima vitu vingi Kuna makosa yalifanywa na mamlaka ndio iliyopelekea maandamano Kama yasingekuwa hayo makosa maandamano yalikuwa hayapo
Mamlaka walifanya makosa??
Makosa Gani walifanya?? Yani maandamano yalitokea

Kwa maana hiyo wewe binafasi ulikuwa unafurahishwa au kuridhishwa na nchi yetu inavyoendeshwa?? Au na wewe ni mnufaika??
 
Hahusiki kivipi wakati kipindi chote kabla ya mauaji alikuwa akiimba kuwa ataua? Nywinywi wala nywinywinywi huikumbuki au??
Kwenye hotuba yake bungeni Kama ameonesha kujitoa ndio maana nikauliza maswali yangu kwenda kwake
 
Back
Top Bottom