passion_amo1
JF-Expert Member
- Dec 3, 2023
- 1,599
- 3,231
Kwanini utupe amri ambayo sababu yake haieleweki?Kwasababu ni yeye mwenyewe alietuumba alitupa amri tusimle pamoja na nyama nyingine kama mbwa, nzi, kenge, pweza, mbwa, n.k
Kwanini utupe amri ambayo sababu yake haieleweki?Kwasababu ni yeye mwenyewe alietuumba alitupa amri tusimle pamoja na nyama nyingine kama mbwa, nzi, kenge, pweza, mbwa, n.k
Mkuu kaungane na atheists wasio mwamini Mungu maana utaanza kusema Mungu hayupo kwasababu hatumuoni kwa macho.Kwanini utupe amri ambayo sababu yake haieleweki?
Kwamba wanachambua ile mistari wanayoona inawafaa Kwny mishe zaoLakini kumbuka kuna mistari agano jipya ina rejea maandiko ya agano la kale, bibilia ina mikanganyiko mingi
Tabia ya wakristo ni kuchambua ile mistari inayoendana na muktadha flani kisha mingine inapuuzwa
MKuu nikiri kwako kwamba katika swali lililofanya nianze kufikiria upya kuhusu makatazo hayo Yaliyotolewa kwa mlengo wa kisayansi zaidi na Muda so mrefu nitakuja na jibu¹Hapa sasa ndio huwa nataka kuelewa nafahamu wewe ni daktari pia.
Kwato, hacheui hii imekaaje embu iweke katika sababu ambazo unaweza kunielezea kama daktari.
Je ana madhara au ni najisi kwa maana ipi?