Kama makanisa mengi hayafati sheria za agano la kale ni kwanini wanazifata amri 10 za agano la kale

¹Hapa sasa ndio huwa nataka kuelewa nafahamu wewe ni daktari pia.
Kwato, hacheui hii imekaaje embu iweke katika sababu ambazo unaweza kunielezea kama daktari.

Je ana madhara au ni najisi kwa maana ipi?
MKuu nikiri kwako kwamba katika swali lililofanya nianze kufikiria upya kuhusu makatazo hayo Yaliyotolewa kwa mlengo wa kisayansi zaidi na Muda so mrefu nitakuja na jibu
 
Back
Top Bottom