Kama Ligi Kuu ya Tanzania ni mbovu kwanini Mayele anafanya vyema aliko na kama Ligi Kuu ya Tanzania ni nzuri kwanini Aziz K anafanya hovyo huko aliko?

Kama Ligi Kuu ya Tanzania ni mbovu kwanini Mayele anafanya vyema aliko na kama Ligi Kuu ya Tanzania ni nzuri kwanini Aziz K anafanya hovyo huko aliko?

Unatoa Wakati mgumu sana Kwa Wadau wa soka kujadili na unawapoteza njia...Basi kwa scenario hii ya Bwana Aziz tusemeje?..Kafaulu.?
Kocha hajampenda. Na wachezaji wa kigeni Morocco ni 5, tu siyo 12 kama hapa kwetu.

Na siyo yeye tu. Wengi wanaondoka
 
#TikiKwaSamia

Kufungua milango ya uwekezaji kwa sekta binafsi kulikofanywa na Serikali kuwaleta na kuvutia zaidi wawekezaji binafsi katika sekta ya bandari kumeleta na inatarajiwa kuleta zaidi matokeo chanya nchini, pamoja na watumiaji wa bandari za Tanzania.
 

Ni kichaa tu anayeweza kuamini kwamba Azizi ki atafanya Miujiza kwenye Mashindano ya Kombe la Dunia la vilabu.​


Yani azizi aonyeshe Maajabu, miujiza kwenye kombe la Dunia Hapana haiwezekani.​

Ni kichaa tu anayeweza kukubali hoja ya kichaa.​

 
Back
Top Bottom