GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,006
- 126,388
Kazi yangu Kubwa sana leo katika huu Uzi wangu ni kujua akina nani wanajua Kuuchambua Mpira.
Chalii alizingua sana pale kwa hamisaAnamchuna tu Kwanza kisha baadae atengeneze Kosa dhidi yake na Waachane kisha apige Hela zaidi kwa Kuachana Kwao.
Hamisa ni mtu wa fursa tu .Chalii alizingua sana pale kwa hamisa
Ila ngoja tunyamaze
Kweli kabisa Mkuu ngoja Mimi na Wewe tunyamaze japo tunajua kabisa kuwa Dada yetu yupo kwa Shemeji yetu Kimkakati.Chalii alizingua sana pale kwa hamisa
Ila ngoja tunyamaze
Nililiona hilo Kitambo sana. Mwanamke keshakuwa katika Mahusiano na Watu maarufu na wenye Hela kama Watatu hivi halafu bado jitu Pumbavu kutoka Burkinafaso linaingia kichwa kichwa kwakuwa tu Mtoto ana Kiuno cha Nyigu cha Kuwaibia Mabwigira (Washamba) kama Yeye (Shemeji Mashoto) na keshaonjeshwa barabara ya Vumbi ya Yombo Vituka basi jamaa Kapagawa.Hamisa ni mtu wa fursa tu .
Sema mwamba atakuja kimbiwa vibaya mno na kupata msongo wa mawazo
Kwenye vikao vya wanaume hujahudhuria Kwa muda Gani?Yamekuwa hayo tena Mkuu?
Aziz kacheza dakika 20.Kazi yangu Kubwa sana leo katika huu Uzi wangu ni kujua akina nani wanajua Kuuchambua Mpira na nani ni Mambugira.
Mkuu umenifanya Nicheke sana hapa nilipo. Kwamba nimekosea Kumshtua Shemeji Mbukinabe hadi Kwanza apigwe Tukio?Kwenye vikao vya wanaume hujahudhuria Kwa muda Gani?
Tushakubaliana kujadili mahusiano ya mwanaume mwezako kabla ajapigwa tukio huo ni umama na umbea ambazo ni sifa za wanawake.
Hivo tusubiri kwanza apigwe na kitu kizito ndo tumpe ushauri asirudie Tena kosa, kenge hasikii mpaka atoke damu masikioni
Mm ningekua Aziz ningeoa Ile pisi alozaa nayo lkn kwavile kashapitishwa rough road ngoja apigwe tukio akili zikirud atarud Kwa mzaz mwenzioMkuu umenifanya Nicheke sana hapa nilipo. Kwamba nimekosea Kumshtua Shemeji Mbukinabe hadi Kwanza apigwe Tukio?
Huyo Aziz kacheza dakika ngapi?Wachambuzi Mambwigira (Washamba) niliokuwa nawataka ndiyo hawa (kama Wewe hivi) yaani umeacha Kuchambua kimpira umekimbilia kuchambia Kiunazi kwakuwa Wewe ni Yanga SC na Shemele Mbukinabe katokea Yanga SC yako ila nina uhakika angetokea Simba SC yangu ungekuja na Ushambuzi kwa Kumkandia kweli kweli hapa. Mnafiki mkubwa Wewe.
Aziz Ki always ni wa kawaida kwenye maisha kuna so- called "GRACE"Kazi yangu Kubwa sana leo katika huu Uzi wangu ni kujua akina nani wanajua Kuuchambua Mpira.
marambili au unatakajeHamisa ni mtu wa fursa tu .
Sema mwamba atakuja kimbiwa vibaya mno na kupata msongo wa mawazo
Natamani sana hapa JamiiForums tungekuwa tunajuana Physically, kwani unaonekana ni Mtu Mtani (wa Masihara) mno halafu very Charming. Posts zako zinachekesha mno.Mm ningekua Aziz ningeoa Ile pisi alozaa nayo lkn kwavile kashapitishwa rough road ngoja apigwe tukio akili zikirud atarud Kwa mzaz mwenzio
Mm nipo vijijini Mungu akinipa maisha dar nitataman nikuone poa MKuu, mjini ni watu na watu ndo nyinyiNatamani sana hapa JamiiForums tungekuwa tunajuana Physically, kwani unaonekana ni Mtu Mtani (wa Masihara) mno halafu very Charming. Posts zako zinachekesha mno.
Huyo Aziz kacheza dakika ngapi?
Kwa utaahira kama huu, ndio maana mnaua vipaji vya watu.
Yaani unategemea mtu aliyecheza dakiak 20 aonekane amefeli.
Tena mtu ambaye amecheza ASEC miaka kibao, kacheza TZ miaka 3, dakika 20 za Kocha ambaye hamjui ndio akupe conclusion kuwa amefeli.