Kama kuna Polisi mwenye Division One, basi vyeti si vyake

Acheni porojo ,polisi wapo wengi tu wenye division 1 ,jeshi la polisi lina wataalamu wake wengi nguli katika mambo ya sheria,IT na mimi nawajua wengine nimesoma nao ,wengine walipomaliza kidato cha sita walijiunga na jeshi la polisi na baadaye kujiunga na vyuo vikuu,na wengine walipata ajira baada ya kumaliza chuo kikuu na ndipo walipojiunga na jeshi la polisi.Jeshila polisi lina wasomi wengi sana ,sema tu ni mfumo wa jeshi lenyewe ndiounliangushwa,huenda wasiosoma ni hawa askari wenye miaka zaidi ya 55 kama akina Kova,Rashid na wengineo.
 
Nimejaribu kufanya utafiti na kufuatilia msingi wa elimu ya Askari police nikajua hakuna mwenye div.1 ya O level wala Advanced level. Ndipo nikabain kuwa ndio maana wanafanya mambo hovyo, kumbe hata uwezo wao wa kuelewa mambo ni mdogo sana kutokana na msingi mbovu wa elimu zao. Vile inatokana na wengi kusoma shule za ajabu ajabu kutokana na vipato vibovu vya wazazi wao. Wanaishi kwenye makazi mabovu eg Buguruni sokoni,lakini hawezi kohoji makazi kama mabanda ya nguruwe, Na bado wanafanya maamuzi ya kijanga jinga,kama waliyofanya kwa Prof.Lipumba, UDOM, mwenyekiti wa wafanyabiashara,mwangosi na wengine wengi.muulize rafiki yako askari matokeo yake ya shule yakoje?

si kweli na ume generalize tu ila wapo askari polisi wenye elimu kubwa kuliko hata ukoo wako wote.
 
Hii si kwa polisi peke yao watumishi wengi tu wa umma hata wanasiasa
 
ndugu, mimi nawafahamu 3 wana dv 1 .na wako polisi nilikuwa naenda wananipgia baadhi ya masomo ....sijuhi kwa nn walienda polisi!
 
kwann polic wanavaa nguo kubwa namaanisha mashat na surual zao hata wakiwa off au ni sheria kwao?naulza tu
 
kwann polic wanavaa nguo kubwa namaanisha mashat na surual zao wakiwa off au ni sheria kwao?naulza tu
 
Nimejaribu kufanya utafiti na kufuatilia msingi wa elimu ya Askari police nikajua hakuna mwenye div.1 ya O level wala Advanced level. Ndipo nikabain kuwa ndio maana wanafanya mambo hovyo, kumbe hata uwezo wao wa kuelewa mambo ni mdogo sana kutokana na msingi mbovu wa elimu zao. Vile inatokana na wengi kusoma shule za ajabu ajabu kutokana na vipato vibovu vya wazazi wao. Wanaishi kwenye makazi mabovu eg Buguruni sokoni,lakini hawezi kohoji makazi kama mabanda ya nguruwe, Na bado wanafanya maamuzi ya kijanga jinga,kama waliyofanya kwa Prof.Lipumba, UDOM, mwenyekiti wa wafanyabiashara,mwangosi na wengine wengi.muulize rafiki yako askari matokeo yake ya shule yakoje?

Sio wote vilaza nahisi ni hao wanaotumwa kwenda kupiga maana nafahamu wakubwa wa polisi waliofaulu vizuri sana sekondari na vyuo vikuu
 
Dear JF Members,

I am writing this report with great sadness for the act which were committed by our police force by using excessive force when they arrested chairman of Civic United Front(CUF) Prof. Lipumba and his followers,

I have discovered that Tanzania police force is just a gang of hooligan, uneducated and civilized police men, who can not follow even a legal procedure while arresting the so called law brokers,

I am asking why beat innocent people, why beat and humiliate innocent women,

We need to review and revisit our police force system, which is indiscipline,

We are requesting LHRC to conduct a research on police force act towards common people(Wananchi)

Nina LAANI VITENDO HIVI VINAVYOFANYWA NA POLISI DHIDI YA WANANCHI WASIO NA HATIA KWA KUWAPIGA MARUNGU,

LAKINI MWISHO WA SERIKALI HII DHALIMU UMEKARIBIA WANANCHI TUUNGANE KUPINGA VITENDO HIVI VIOVU.

Mimi sio CCM AU UKAWA, Mimi ni MDAU WA HAKI ZA BINADAMU,

NAWASILISHA.
 
I am just thinking on multiplicity and threshold of such threads, if they make sense to inteded body(ies) anyways!!!

My beloved country. . . . . .
 
Truly we should join forces to throw this corrupt government of ccm then after we can do huge reform in our forces start with police force.
 
Wapo wengi wenye div. one. Hawa ni wale walioajiriwa wenye shahada mbalimbali. Tusiwadharau Polisi wengine ni wasomi kweli kweli. Ila ukiwa msomi utajutia usomi wako. Kupanda cheo ni kazi.
 
police wasomi wapo katika ngazi za kati na juu wahitimu wa vyo vikuu, na div 1 zipo huko, ngazi ya chini ukiipata hiyo 1 nakubaliana nawe itakuwa faki, kwani o level alitakiwa kwenda f5 na wa wa a level alitakiwa kwenda chuo kikuu na uhakika wa mkopo wa elimu!
 
Back
Top Bottom