The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,442
- 10,233
Wakuu Salaam;
Hivi Serikali mnaona aibu gani kutangaza kuwa kuna mgao wa umeme nchini?
Kila siku mnakata umeme mnarudisha muda mnaotaka, jana mmezima kuanzia asubuhi mkarudisha jioni na leo mmeuacha kuanzia asubuhi mmekata tena jioni hii!
Hii nchi ni maskini bado, tusiaminishane kila kitu mnaweza, kama Umeme ni wa mgao si mseme tu, shida iko wapi?
Mficha uchi hazai.
Rais wewe ndiye unasimama na kipaza sauti kusema mambo yako safi! Safi kwa mgao?
Hivi Serikali mnaona aibu gani kutangaza kuwa kuna mgao wa umeme nchini?
Kila siku mnakata umeme mnarudisha muda mnaotaka, jana mmezima kuanzia asubuhi mkarudisha jioni na leo mmeuacha kuanzia asubuhi mmekata tena jioni hii!
Hii nchi ni maskini bado, tusiaminishane kila kitu mnaweza, kama Umeme ni wa mgao si mseme tu, shida iko wapi?
Mficha uchi hazai.
Rais wewe ndiye unasimama na kipaza sauti kusema mambo yako safi! Safi kwa mgao?