Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 3,742
- 7,697
TANESCO Juzi mlitoa tangazo la katizo la umeme tarehe 14/8/2022 siku ya Jumapili ambayo ni kesho kwa ajili ya matengenezo.
Cha ajabu kutoka juzi tarehe 11 baadhi ya maeneo katika jiji la Mwanza mmekua mkikata umeme kuanzia asubui na mnaurudisha jioni. Eneo nililopo leo ni siku ya tatu mfululizo mnakata umeme asubuhi na mnarudisha jioni, ina maana kesho itakua ni siku ya nne mfululizo.
Cha ajabu kutoka juzi tarehe 11 baadhi ya maeneo katika jiji la Mwanza mmekua mkikata umeme kuanzia asubui na mnaurudisha jioni. Eneo nililopo leo ni siku ya tatu mfululizo mnakata umeme asubuhi na mnarudisha jioni, ina maana kesho itakua ni siku ya nne mfululizo.