The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,442
- 10,233
- Thread starter
- #21
Nchi inateseka sahivi kwa swala la umeme
Unaishi chuga ipi mkuu? Huku nilipo kila siku wanakata, usipokatika asubuhi basi utakatika usiku na kurudi night kaliNi nchi nzima au?
Niko chugga
Si ndiyo Stigilazi goji mkuu? Muarobaini wa umeme hata gesi asilia cha mtoto??Uchumi wetu wa kati ni inversely proportional na tunayoyaona. Ni aibu nchi ina 60+years mpaka leo haina umeme wa uhakika
Very shameful
MereraniUnasema Marekani au Mererani?
Majengo ya juu karibia karibia na st joseph healthcare internationalUnaishi chuga ipi mkuu? Huku nilipo kila siku wanakata, usipokatika asubuhi basi utakatika usiku na kurudi night kali
Mna bahatiMajengo ya juu karibia karibia na st joseph healthcare international
Hata mimi nashangaa, Dodoma hakuna hiyo habari umeme upo Saa 24 siku 7 za wiki!Hakuna mgao wala nini. Ni matatzo ya kiufundi tu mkuu
Poleni, Dodoma hamna hiyo habari 😝😝😝Unaishi chuga ipi mkuu? Huku nilipo kila siku wanakata, usipokatika asubuhi basi utakatika usiku na kurudi night kali
Tunazungumzia Tanzania sio nchi nyingine usituchafulie mada mbumbumbu mjinga takataka wewe.Marekan unayoijuaa wewe kuna majimbo umeme ni shida
Unatembea mitaa yote ya Dodoma?! Kuna wakati nilienda Dar es salaam na kule nilikofikia ilikuwa kila wiki lazima wakate umeme siku za Jumanne lakini maeneo mengine umeme ulikuwa kama kawaida. Hata hivi sasa, huko wanakolalamika suala la umeme haimaanishi maeneo yote, kwa sababu ndivyo inavyokuwa; leo huku, kesho kule. Mwanzoni nilidhani ni Temeke tu kwavile Temeke na kwenyewe wanaonewa sana. Cha ajabu jana, Flavian Matata akawa analalamika kama alivyolalamika mdau hapo juu. Imeniwea ngumu kuamini kama Flaviana nae anaishi Temeke.Hata mimi nashangaa, Dodoma hakuna hiyo habari umeme upo Saa 24 siku 7 za wiki!
Makao makuu mnajidai sioPoleni, Dodoma hamna hiyo habari
Dah hongereniPoleni, Dodoma hamna hiyo habari
Upo chugga ipi nawe.Mna bahati
Hahahahah hii nimeipenda.Ukweli ambao TANESCO hawataki kuusema wazi ni kuwa, hali ya shirika kifedha ni mbaya sana, hawana tena pesa za kuwalipa wazabuni wanaoweza kutuuzia umeme wa dharula wakati umeme wa uhakika unapokuwa hautoleshelezi kwenye gridi ya taifa. Sasa TANESCO inakufa na tai shingoni.
Kwa sasa TANESCO wamepewa maelekezo ya kukusanya pesa za madeni ya wadaiwa sugu kwa nguvu zote ili zitumike kununua umeme wa dharula, maana hazina hawatatoa hata senti tano. Mbaya ni kwamba wadaiwa sugu ni taasisi za umma, kama polisi, jeshi, magereza, ikulu, halmashauri, wizara, shule, vyuo na hospitali za serikali. Yaani hapo ni sawa na kutoboa mtumbwi ambao wewe ni abiria pia.
KimandoluUpo chugga ipi nawe.
Leo wameachiaKimandolu
Hali ni teteUkweli ambao TANESCO hawataki kuusema wazi ni kuwa, hali ya shirika kifedha ni mbaya sana, hawana tena pesa za kuwalipa wazabuni wanaoweza kutuuzia umeme wa dharula wakati umeme wa uhakika unapokuwa hautoleshelezi kwenye gridi ya taifa. Sasa TANESCO inakufa na tai shingoni.
Kwa sasa TANESCO wamepewa maelekezo ya kukusanya pesa za madeni ya wadaiwa sugu kwa nguvu zote ili zitumike kununua umeme wa dharula, maana hazina hawatatoa hata senti tano. Mbaya ni kwamba wadaiwa sugu ni taasisi za umma, kama polisi, jeshi, magereza, ikulu, halmashauri, wizara, shule, vyuo na hospitali za serikali. Yaani hapo ni sawa na kutoboa mtumbwi ambao wewe ni abiria pia.