kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,500
- 12,909
Kauli hii ya Rais iliharakisha nami kulia. Imeharakisha niuone haraka upande wa pili wa Rais JPM, na imeharakisha watu kumuona vingine Rais wao.
RIP BWM, mbele yako nyumba yetu, siku zetu sio nyingi.
Misiba inatupatia formula ya kuishi hapa duniani, maana wote iko siku tutakufa.
Maswali ni je,
1. Unataka watu wakukumbuke kwa yapi?
2. Unataka watu wengi walie siku ukifa?
3. Unataka ukifa watu wengi wahudhurie msiba wako
4. Wanaokutegemea ungependa waendelee na maisha yao kivipi bila wewe?, umewaachaje?
5.Mali na vitu vyako vitumiweje na nani?
RIP BWM, mbele yako nyumba yetu, siku zetu sio nyingi.
Misiba inatupatia formula ya kuishi hapa duniani, maana wote iko siku tutakufa.
Maswali ni je,
1. Unataka watu wakukumbuke kwa yapi?
2. Unataka watu wengi walie siku ukifa?
3. Unataka ukifa watu wengi wahudhurie msiba wako
4. Wanaokutegemea ungependa waendelee na maisha yao kivipi bila wewe?, umewaachaje?
5.Mali na vitu vyako vitumiweje na nani?