IQ yako haikufikishi huku niliko mm. Kamwe huwezi kuuelewa Uzi kama huu, Wacha nikusaidie kuulainisha ili uambulie.
Mungu apishie mbali, Kama siku baba yako mungu akimchukua, kama we we hutalia saña basi inawezekana kabisa mkeo na watoto wako nao hawatalia kabisa. Ili watoto wako walimlilie babu yao hata kama we we hujalia ni lazima babu yao iwe alikuwa na maisha na tabia fulani iliyowagusa moja kwa moja wajukuu zake. Kama babu yao alikuwa hana urafiki na wajukuu zake inawezekana wakaenda kucheza mpira wakati maiti ya babu yao iko ndani.
Na hiki ndicho hasa nilichokisema kwenye Uzi huu. Haya unaweza kuendelea sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.