Olaigwanani lang
JF-Expert Member
- Apr 26, 2012
- 541
- 175
Majuzi tuu nilimsikia waziri wa maliasili/utalii Balozi Khamis Kagasheki akilalamika kuwa nchi ya Qatar inakataa kutoa ushirikiano katika kuchunguza wanyama waliobiwa hapa Tanzania na inagoma kuruhusu Tanzania kuingia huko ili kuwaona wanyama hao. Sasa kama ndio hivo kuna haja gani kuendelea na mahusiano na nchi hii iliyoshiriki kuiibia nchi yetu maliasili muhimu?
Mimi naona ni bora sasa tu declare diplomatic protest na kumfukuza balozi wao hapa nchini mana nchi yake imetugomea kwa hili.
Mimi naona ni bora sasa tu declare diplomatic protest na kumfukuza balozi wao hapa nchini mana nchi yake imetugomea kwa hili.