Kama Kagasheki anasema kweli: BASI UHUSIANO WA TANZANIA NA QATAR UFUTIKE MARA MOJA.....!

Ndugu yangu kwa hili utakausha wino bure kwani hili game wachezaji wake wanajuana kwa rangi na sura zao ndio maana jamaa wana jeuri ya kujibu hivyo.
 
hivi ni kweli tanzania hatukujua wakati wanyama wanasobwa..je usalama wa kikwete, jeshi na wengine hawakuziona kama waliziona ilikuwaje wakaziruhusu na kama hawakuziona basi jeshi na usalama wa ccm uvunjwe umeshindwa kulisaidia taifa vinginevyo, wanatuzuga tu
 
Mimi naona mnaoneana aibu au ndio ile SERA yenu ya KUVUMILIANA na sio KUHISHIMIANA.

Siku zote uchunguzi unaanzia kwenu kwa kujua je kweli ndege ya Qatar ilikuja na kutua Tanzania. Kumbuka ili ndege kutua lazima ipate kibali cha nchi husika na kuondoka lazima kipatikane kibali cha kuruhusu ndege ile kuondoka na kile ilichopakia. Kwa hiyo ushahidi wenu wa Kwanza kuleta kwa Serikali ya Qatar ni kuleta Vibali vyote vya ndege hiyo kutua, kukaa na kuondoka. Kibali hicho kinaonyesha namba ya ndege na particular muhimu zote.

Pili vibali vya kuchukulia wanyama hao. nani aliidhinisha huko kwenu.

Cha mwisho ambacho kinatakiwa kama ushahidi maalum ni je kuna Medical Doc zozote zinazoweza kuonyesha kuwa mnyama huyu katokea Tanzania na sio kenya wala Ethiopia.

Kwa hiyo utaona kila kitu kinatakiwa kianzie kwenu na huku ni kuja kumalizia tu.

U a right mkuu, tamaa zetu na upuuzu wetu katika kulifilisi taifa isiwe kero kwa wengine. Tuanze na washenzi wa humu ndani maana kama ulivyosema process zote lazima zilianza na watendaji wa sekta zote muhimu. Mbona tunajitia hamnazo?? Agh!
 
Barubaru, GHIBUU,

..kilichofanyika hapa bongo ni kutimuliwa kazi na kufikishwa mahakamani kwa wahusika wa idara ya wanyama pori.

..kuhusu origin ya wanyama sidhani kama hilo lina utata kutokana na ukweli kwamba wanyama wenyewe wameondokea uwanja wa ndege wa KIA.

..It doesnt make sense kwa wanyama watoke Kenya au Ethiopia wasafirishwe mpaka Bongo halafu wapandishwe ndege kwenda Qatar.

..kwa upande mwingine, kinachonishangaza ni kwamba waziri wa mambo ya nje wa Tanzania, mh.MEMBE, amekuwa kimya katika suala hili. naamini RUSHWA na UMASIKINI wetu ndiyo kinachosababisha ukimya huu.

..hivi USA ingepeleka dege la jeshi CHINA na kuiba PANDA unafikiri wahusika wangekaa kimya??

..mwisho, kitendo cha ndege ya JESHI LA QATAR kuhusishwa na WIZI wa nyara za taifa lingine ni AIBU na KASHFA. nafikiri QATAR nao wanapaswa kufanya UCHUNGUZI kuhusu suala hili ili KUJISAFISHA, unless kilichotokea ni OFFICIAL POLICY ya serikali ya nchi hiyo.
 
Majuzi tuu nilimsikia waziri wa maliasili/utalii Balozi Khamis Kagasheki akilalamika kuwa nchi ya Qatar inakataa kutoa ushirikiano katika kuchunguza wanyama waliobiwa hapa Tanzania na inagoma kuruhusu Tanzania kuingia huko ili kuwaona wanyama hao. Sasa kama ndio hivo kuna haja gani kuendelea na mahusiano na nchi hii iliyoshiriki kuiibia nchi yetu maliasili muhimu?
Mimi naona ni bora sasa tu declare diplomatic protest na kumfukuza balozi wao hapa nchini mana nchi yake imetugomea kwa hili.

---Tuanze na kuvunja uhusiano wetu na CCM na serikali yake kwa ujambazi huu maana hii sio issue ya kwanza kulizwa, EPA wameingia mpaka BoT wakachota mabilioni hawa wanajulikana lakini wakaambiwa warudishe wasepe (sijui kama walirudisha), Meremeta tukaambiwa ni usalama wa taifa lakini shareholders wapo mpaka wazungu, Richmond Dowans mwenye nyumba kadai hawajui hata kwa sura - ingawa walivunja nyumba yake mpaka ikabidi ajenge upya. RADA wanaangaliana usoni wanacheka - hakuna wa kushughulikia mwenzake. tumalizane na hawa majambazi kwanza na ndipo hata Qatar watajua we are serious. lakini kwa record ya serikali hii, hata Burundi wangegoma.
 
---Tuanze na kuvunja uhusiano wetu na CCM na serikali yake kwa ujambazi huu maana hii sio issue ya kwanza kulizwa, EPA wameingia mpaka BoT wakachota mabilioni hawa wanajulikana lakini wakaambiwa warudishe wasepe (sijui kama walirudisha), Meremeta tukaambiwa ni usalama wa taifa lakini shareholders wapo mpaka wazungu, Richmond Dowans mwenye nyumba kadai hawajui hata kwa sura - ingawa walivunja nyumba yake mpaka ikabidi ajenge upya. RADA wanaangaliana usoni wanacheka - hakuna wa kushughulikia mwenzake. tumalizane na hawa majambazi kwanza na ndipo hata Qatar watajua we are serious. lakini kwa record ya serikali hii, hata Burundi wangegoma.

haswaaaa
 
Barubaru, GHIBUU,

..kilichofanyika hapa bongo ni kutimuliwa kazi na kufikishwa mahakamani kwa wahusika wa idara ya wanyama pori.

..kuhusu origin ya wanyama sidhani kama hilo lina utata kutokana na ukweli kwamba wanyama wenyewe wameondokea uwanja wa ndege wa KIA.

..It doesnt make sense kwa wanyama watoke Kenya au Ethiopia wasafirishwe mpaka Bongo halafu wapandishwe ndege kwenda Qatar.

..kwa upande mwingine, kinachonishangaza ni kwamba waziri wa mambo ya nje wa Tanzania, mh.MEMBE, amekuwa kimya katika suala hili. naamini RUSHWA na UMASIKINI wetu ndiyo kinachosababisha ukimya huu.

..hivi USA ingepeleka dege la jeshi CHINA na kuiba PANDA unafikiri wahusika wangekaa kimya??

..mwisho, kitendo cha ndege ya JESHI LA QATAR kuhusishwa na WIZI wa nyara za taifa lingine ni AIBU na KASHFA. nafikiri QATAR nao wanapaswa kufanya UCHUNGUZI kuhusu suala hili ili KUJISAFISHA, unless kilichotokea ni OFFICIAL POLICY ya serikali ya nchi hiyo.

Huku ndege za jeshi especially cargo zinakodishwa na mtu au taasisi yoyote ile kama unataka kusafirishia mizigo yako. Hivyo sio jambo la ajabu kazi kwenu ku prove ni ndege gani hiyo iliyokuja huko (kwani zipo nyingi tu zinabeba mizigo) na rubani wake alikuwa nani.

Kazi kwenu kuleta ushahidi sio bla bla.

 
Maagizo ya mkulu yale, ndege ya kijeshi ya nchi nyingine iingie nchini kwetu wana usalama wasiione watu wa kawaida waione, utulivu wetu ndo laana yetu
 
.

Pole sana.

Hata chooni kwa muungwana anabisha hodi.

Qatar ni nchi yenye mamlaka kamili sio public toilet.

Fuata sharia za kimataifa sio kukurupuka.jichunguze mwenyewe kwanza kabla kurukia nchi za wenzako. PELEKA UTHIBITISHO WA KISHARIA KUONYESHA KUNA WANYAMA WAKO PALE NA KUONYESHA WALIFIKAJE.


Sio Sharia wewe usituletee unazi wako hapa. sio kila nchi inatumia sharia. kiufasaha ulitakiwa kusema "sheria za kimataifa"
 
Sio Sharia wewe usituletee unazi wako hapa. sio kila nchi inatumia sharia. kiufasaha ulitakiwa kusema "sheria za kimataifa"

Vyovyote utakavyotamka lakin nina imani kubwa sana ujumbe umefika.

Pole sana
 
kama tumeshindwa kuzuia huu wizi hapa kwetu,tutawezaje kuzuia wakati zimeshafika kwa wenzetu,? Tanzania hatuna viongozi bali tuna watawala
 
Si kweli, mambo yanayohusu hujuma kutokea nchi nyimgine lazima itumike intelijinsia kupata ukweli wote then diplomasy inafata mkiwa na uhakika mnagusa wapi. Serikali haina nia ya dhati ni ku buy time tu tusahau
 
Majuzi tuu nilimsikia waziri wa maliasili/utalii Balozi Khamis Kagasheki akilalamika kuwa nchi ya Qatar inakataa kutoa ushirikiano katika kuchunguza wanyama waliobiwa hapa Tanzania na inagoma kuruhusu Tanzania kuingia huko ili kuwaona wanyama hao. Sasa kama ndio hivo kuna haja gani kuendelea na mahusiano na nchi hii iliyoshiriki kuiibia nchi yetu maliasili muhimu?
Mimi naona ni bora sasa tu declare diplomatic protest na kumfukuza balozi wao hapa nchini mana nchi yake imetugomea kwa hili.

Huu ni uzumbukuku,hao wanyama waliibwa na nani?
Hivi hakuna vyombo vya kimataifa vinavyofanya kazi kama hizo?
Hao askari wa Q na ndege ya jeshi iliruhusiwa na nani kuingia nchini na kukaa zaidi ya wiki wakisubiri wanyama?
Hivyo vibali si viliruhusiwa kutolewa?
Hivi Mhe.sana alipokwenda Q na kupewa mafuta na misaada mingi mingine aliwaibia Q?
Hivi ni ustataarabu gani uliotumika katika jambo hili au ni kudhalilisha nchi nyingine eti wezi!
Tumeshawaita Q ni wezi wakati kulikuwa na mawasiliano ya awali na kuwadhalilisha kiasi hicho na bado unataka kwenda kuwadhalilisha kule kwao hii inawezekana?
Vipi ukubali msaada mkubwa na wewe ukitoa unadai umeibiwa?
Hivi ni mara ya kwanza kwa TZ kusafirisha au kufanya biashara ya wanyama hai au kuwapeleka huko ughaibuni?
Hivi Q ni nchi huru tena yenye maendeleo lukuki,eti unaenda kuchunguza wanyama wako,hivi hiyo nchi ni Ranch ya taifa?
Ikiwa mimi kama mkulima mdogo siruhusu kuingia shambani kwangu hata kupita tu,sembuse kwa nchi kama Q tena kufanya uchunguzi?
Hivi usalama wa T au vyombo vingine vya dola vilikuwa wapi hadi hao askari wa Q wakaja nchini eti kuwaibia wanyama?
Tumeacha maswali mengi saaaaana ambayo hayana majibu timilifu eti tunakimbilia wanyama waliopelekwa Q
Hivi hao wachina waliotusaidia kukamata makontena yaliyojaa meno ya Tembo yaliyotoke TZ hayahitaji kukagiliwa tujue yametoka TZ DRC kenya Zimbabwe au SA.au ni njia ya kututoa kwenye mstari tusifuatie hayo meno?
Tuache kufanya mambo yetu kwa kunyanyasana namna hivi kama walivyonyanyaswa kina babu seya na familia yake.kwani yapo mengi machafu kuliko haya na tunajidhalilisha sisi wenyewe mbele ya jamii ya kimataifa kwani yaliyopita ni ndwele tugange yajayo.
 
Hii thread ina watumwa wengi, wacha nichangenye mironjo yangu aka.

Utumwa kuambiwa ukweli...mfumo wa serekali yetu wote ni mchafu kuna madudu na ufisadi wa kutisha unafanyika ambao bado hatuujui hata ikija katiba mpya kama watu na fikra ni zile zile ni bure

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
siasa rejareja za libongo zinafurahisha sana!! Yaani wanaume wazima na korodoni zenu mkaa kusikiliza huo utumbo wa kagasheki!! ni bora hao waarabu wangechukua vipande vya tanzanite ambavyo havionekani kirahisi!! yaani twiga wasafirishwe toka serengeti [huenda kwenye roli] mpaka KIA. wakaguzi waone ni national symbol, wasijishughulishe hata kumuuliza RPC kulikoni, halafu leo kijani mmoja atuambie qatar hawatoi ishirikiano lol!! hata ningekuwa mimi ni rais wa qatar ningewafukuzilia mbali hao mbumbumbu!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom