Kama humfikishi mwanamke kileleni hawezi kuwa msiri wako

Pesa ni muhimu kwa maisha yako na familia lakini linapokuja swala la furaha ya mahusiano na starehe ya mwili pesa haifui dafu kwa kukojoza
Labda sio kwa matured woman!

Walio mature Hawa demand kukojozwa pekee mkuu!!

Pesa wanataka na security na kujitawala baadae sana!!

Wakati wewe unatafuta ili kuwakusanya uwapendao wao wanatafuta Ili wajitawale!

Hicho sio kigezo na kama ni kigezo ni Cha asilimia chache sana!!

Subiri mahusiano yako yaingie misri siku moja utakua na mtazamo tofauti sana kuhusu hicho uwazacho!!
 
Labda sio kwa matured woman!

Walio mature Hawa demand kukojozwa pekee mkuu!!

Pesa wanataka na security na kujitawala baadae sana!!

Wakati wewe unatafuta ili kuwakusanya uwapendao wao wanatafuta Ili wajitawale!

Hicho sio kigezo na kama ni kigezo ni Cha asilimia chache sana!!

Subiri mahusiano yako yaingie misri siku moja utakua na mtazamo tofauti sana kuhusu hicho uwazacho!!

Hakuna Mwanamke matured linapokuja suala la sex Mkuu.
Kitendo cha kufikiria hivyo tuu ujue umeshakwama.

Mwanamke, mumewe anaweza kukosa pesa na asimdharau mumewe ikiwa anamkojoza. Lakini Mwanamke kama humkojozi hata kama wewe ni tajiri namba moja hawezi kukuheshimu.
Kwanza lazima mwanaume uwe submissive úkiwa huna uwezo wa kumkojoza mkeo.
Lakini kama unamkojoza automatically unamtawala
 
Unawaza ngono tu tena katika kipindi hiki kigumu kama Taifa la kuuliwa kinyama kijana wetu Moleli na HAMAS. Pumbavu kabisa qewe, ngoja tumuulize Binti Kimoso kama unamfikisha Kileleni.
 
Hayo ni mawazo yako TU mkuu!

Sio universal law of nature!!wanakua submissive lakini sio kwa kila jambo!!

Mengine ni vitasa na ubabe mkuu hivyo ndio limeifikisha Dunia ilipo Hadi sasa!!

Ubabe na vipigo,ulimwengu haujawahi kuwa mahalo salama Kwa kuridhisha hisia moyo za kina mama au wanawake!!

No anguko kubwa sana la kimantiki kwamba umtumikie ipasavyo ndio awe submissive hiyo ni big no!!

Hawa ninkwenda nao mpela mpela Ivo ivo sio Kwa kujali sana hisia zao hapo tutakwama hata sisi tuliokua sio matokeo hayo Toka Kwa Baba zetu!!

Nadhani!!
Hakuna Mwanamke matured linapokuja suala la sex Mkuu.
Kitendo cha kufikiria hivyo tuu ujue umeshakwama.

Mwanamke, mumewe anaweza kukosa pesa na asimdharau mumewe ikiwa anamkojoza. Lakini Mwanamke kama humkojozi hata kama wewe ni tajiri namba moja hawezi kukuheshimu.
Kwanza lazima mwanaume uwe submissive úkiwa huna uwezo wa kumkojoza mkeo.
Lakini kama unamkojoza automatically unamtawal
 
Hayo ni mawazo yako TU mkuu!

Sio universal law of nature!!wanakua submissive lakini sio kwa kila jambo!!

Mengine ni vitasa na ubabe mkuu hivyo ndio limeifikisha Dunia ilipo Hadi sasa!!

Ubabe na vipigo,ulimwengu haujawahi kuwa mahalo salama Kwa kuridhisha hisia moyo za kina mama au wanawake!!

No anguko kubwa sana la kimantiki kwamba umtumikie ipasavyo ndio awe submissive hiyo ni big no!!

Hawa ninkwenda nao mpela mpela Ivo ivo sio Kwa kujali sana hisia zao hapo tutakwama hata sisi tuliokua sio matokeo hayo Toka Kwa Baba zetu!!

Nadhani!!

Sizungumzii uhalifu na Wahalifu.
Nazungumzia wajibu Mwanaume kwa mwanamke.
 
Sizungumzii uhalifu na Wahalifu.
Nazungumzia wajibu Mwanaume kwa mwanamke.
Wajibu huo hautoshi kutawala kama unavodhani mkuu!

Kama kukojozwa alishakojozwa kabla hujampata,Sasa wewe una kitu gani kipya Cha ku offer ambacho haku taste before!!?

Itategemea na level za mwanamke uliemchukua kama kafika college level ndio ukabeba una uhakika wewe ndio utakua was kwanza kumkojoza!!?

Labda hivi vitoto vya juzi lakini kama ana historia kabla yako hats ukimkojoza haitotisha kumtawala kunexceptional nyingine za kujiongeza!

Kama utamtawala coz unamkojozs Bas atakua ninaina ya mwanamke ambaye yupo weak sana kiakili na kimtazamo!!

Kuna kitu zaidi ya hicho mkuu!!sio Hilo tu!!
 
Dah! ila wanaume ambao hatuna nguvu za kiume na hatukojozi tunasemwa sana. Na tunachukiwa mno, serikali ituangalie na sie ni watu jamani.
Hilo swala la nguvu za kiume linakuzwa TU dios uhalisia!!

Hi I Kuna kipimo sahihi Cha nguvu hizo!!?

Hivi unajua Dem asipokua na hisia na wewe hata ukeshe hatokojoa!!?

Na mwenye hisia na wewe atakojoa in less than two minutes!!?

Hili swala la nguvu za kiume linakuzwa kuliko uhalisia!!

Hivi utakua na msisimko na Dem ambaye huna hisia nae!!?kama huna hisia nae hasta ufanye vipi hutokojoa h huko kutokojoa ni upungufu pia!!

Kukaa muda mrefu bila kukojoa sio kipimo Cha kuwa nguvu za kiume bali kutokua na hisia pia kukontrol kutokukojoa!!

Nguvu za kiume ni swala la kisaikolojia na kihisia kuliko hasta physical kama wengine wawazavyo!!!

Unaweza ukahisi huna nguvu kumbe huna hisia na mhusika yaani ukamkinai baada ya BAO Moja hatuwezi sema eti huna nguvu!!

Kuna pis nyingine unaiona kali unafika site unacheki na kuhamaki baadhi ya mambo mzuka unakata utasemaje huna nguvu!!?

Labda ku harufu!?au umekuta ana tatuu Hadi zinatisha!!?au mwili wake baridiiii Sasa unaona hiki Nini!!?au unagusa unaona ngozi kamaaaa!!?unashtukia!!

Ishu ya nguvu za kiume ni mchezo was saikolojia na hisia kuliko inavyofikiriwa na wengi!!!
 
Back
Top Bottom