Kama hukusoma shule hizi kongwe, wewe ni mmoja wa vilaza mliopo hai

Kutokusoma hizo shule haimaanishi ww ni kilaza, kwa sababu wapo waliokuwa na sifa ila nafasi iliisha, kwa mtu mwenye upendo wa kweli na mwenzake atakuwa ananielewa ninachosema, kwa sababu wote tumeumbwa na Mungu mmoja, huwezi kumwita mwenzako kilaza, hata sababu za msingi za baadhi ya watu kutokufanya vizuri pia huwezi kujua zote, sio vizuri kumwita mwenzako kilaza, labda ujisifu kwa nafsi yako peke yako , lkn sio mbele za watu.
Tusamehane japo kuchangamsha mada na uwanja
 
They are concentrating on school's names while poverty is their order of the day, watu weusi tunaridhika kwa vitu vidogovidogo kama hivyo na kujiona tupo juu kias cha kuita wengine vilaza!!
School's name does nothing towards your success!!
Ujaelewa fikra ya kuandika nilichowaza ktk wazo hili na unachotafakari wew tofauti.
 
hizo ni mbwembwe inawezekana ulisoma hizo shule za zamani lakini bado kilaza una four au O kabisa inakusaidia nini?
hatuangalii ulisoma wapi tunaangalia una divsion ngapi!! au GPA ngapi.
Nikweli Nina Jesca lakini now ni Engineer
 
Wakati nyie mnahangaika na tushule twenu huto mnatotuita tukongwe wenznu wamepga kitabu Marekan toka nursery ingawa bado wana uraia wa Tanzania. University zao Harvard wakat Udsm waliwah kwenda tu il kushangaa nyan
 
shule kongwe ni NDANDA imeaza 1928 ya mjerumani, madarasa yaliyojengwa mwaka huo yapo mpaka Leo hakuna lililo hongezeka wala kupungua, wajerumani walijenga shule kwa ajili ya watu mia tatu (300) tu, uliza sasa hivi shule inachukua wanafunzi wa ngapi wa Advanced peke yake , inauwezo wa kuchukua wanafunzi 1200. Ni shule ya 3 kama sekosei kwa mpangilio wa majengo yaliyo kaa vizuri . Sijajua hizo shule kongwe zimeazishwa mwaka gani na mjeruman au mwengereza
Ifunda 1925 Toss 1922 Tosamaganga ni floor 3 na 4. Ifunda kama Lindi sec lakini umeme chini ya Ardhi.... Acha tu
 
Back
Top Bottom