DAFU NA NDIMU
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,497
- 5,088
Hahahaha. Wa mijini haya mambo hawayajui
We acha tu mkuu, yaani kipindi hicho kama hauko faster enough, kitendo cha kumbwela kidogo tu ushakula jiwe la maana. Yaani ilikua ni Policy kwamba tukitoka kuwinda kama hatujapata ndege/njiwa basi tunaanza kuwindana.