Ivi mbona watoto wa sikuhizi ukipika wali hawashtuki? Hawana ile hamasa kama tuliyo kua nayo?
Nahisi ubwabwa wa siku hizi umechajachuliwa hauna harufu kama ya zamani?
Au watu siku hizi hatujui kupika kama mama zetu ?
Harufu ya ubwabwa ilikua unaikuta km 10
Hii cha mtoto, sisi tulikuwa tunachukua tairi la lori au trekta unaingia hapo katikati unajikunja then wenzio wanakusukuma! Siku ingine wanakusukuma wanapoteza muelekeo wanakuacha upambane na hali yako!
View attachment 1101131
Hii cha mtoto, sisi tulikuwa tunachukua tairi la lori au trekta unaingia hapo katikati unajikunja then wenzio wanakusukuma! Siku ingine wanakusukuma wanapoteza muelekeo wanakuacha upambane na hali yako!
View attachment 1101131
Aisee hiyo ya kuingia katikati ya gurudumu sitaki kabisa kuisikia, nusura initoe uhai maana waliniporomosha kwenye mteremko mkali likawashinda speed aisee hadi leo nikikumbuka mwili unasisimuka kwa hofu, ulikua mchezo wa hatari sana.Hii cha mtoto, sisi tulikuwa tunachukua tairi la lori au trekta unaingia hapo katikati unajikunja then wenzio wanakusukuma! Siku ingine wanakusukuma wanapoteza muelekeo wanakuacha upambane na hali yako!
View attachment 1101131
Hakika.Umefika kwa bahati mbaya
Hakuna starehe zaidi ya kizungu zungu ilikua hatari sana.Sasa hivi nimejiuliza starehe ya kuzungurushwa na lile gurudumu ni nini hata sina jibu!
Dah enzi hizo hadi msosi unapotezea kisa michezo.
Ukirudi home mama ananongwa balaa.
Mama yangu ilikuwa ukimiss lunch anakuwekea na share yako ya jion.
Salama yako ule chakula chote, ukibakiza shughuli unayo. Sasa uwe ulikula kwa watu mchana...hakika hata ujitahidi vipi huwezi maliza
RIP mummy. Amenisaidia sana kunilea ktk maadali mema
Dah mimi kuna keki nilikuwa nazipenda balaa zilikuwa zinauzwa sh 9! Yaani nikipata hio hela breki ya kwanza dukaniMkuu huenda ukawa sahihi ,miaka ya nyuma kidogo ulikuwa ukipikwa wali lazima majirani wajue ,kwa sasa naona uenda wamechakachua sana ile mbegu ya kyela .
Huenda pia kwa sababu tumezoea hicho chakula kwa sasa ,ndo tunaona harufu pia hauna . fikiria miaka ya nyuma ulikuwa unafikiria kupata shi 100 ya maandazi tu ,saiv unazo mia nyingi mbona hununui maandazi??
Hizo sababu mbili huenda zikawa na mashiko sana
We jamaa nahisi tunafahamiana.!Hatari sana asee, kuna ile ya kuwinda ndege na manati. Sasa sisi tukawa tukimaliza kuwinda ndege tunaanza kujificha ile kama kombolela ukitoa tu kichwa au mwili unapewa jiwe la maana la manati. Sitasahau siku Rafiki yangu aliponibutua manati ya jicho, nilikaa ndani mwezi mzima bila kuonana na mwanga na makofi juu ya bimkubwa.
nani aoge thubutuHalafu ukitoka hapa unataka ukalale bila kuoga!
View attachment 1101150
Dah mimi kuna keki nilikuwa nazipenda balaa zilikuwa zinauzwa sh 9! Yaani nikipata hio hela breki ya kwanza dukani
Naunga mguu hoja.Huko nchi za scandinavia wamebadili mitaala ya elimu.. ile elimu ya awali hakuna kusoma.. ni kucheza tuu.. wanaruhusiwa kuzurura maeneo ya shule na kufanya chochote wanacho penda kukiwa na usimamizi kidogo.
Na wanasema imefanya watoto kuwa na ujasiri na ubunifu zaidi..
Kilijiri nini mkuu prondo?Sitasahau tairi lilipoenda kugonga ubabuni mean oneten iliyokuwa speed wakati naviringishwa kwenye tairi
Sisi tulikuwa tunaita kigeletiKuna siku head teacher aliamuru wote wenge baskeli zam wazilete shule ili zipasuliwe maana baadhi walikua wanatoroka shule na unatakiwa kuileta ikiwa nzima.
Shule ili jaa vile ibaskeli hadi mwalimu akaghairi kuzopasua maana wengine walionyesha ubunifu wa hali ya juu
Hilo tatizo aiseeNina mtoto wangu wa kiume miaka 4. Yaani namuomba MUNGU mara mbili mbili,afikishe umri wa kujitambua hajavunjika kiungo,ni mtundu hatari. Ilikuwa bora michezo yetu,hii ya kwao ya kuangalia kwenye computer/tv anaona mtu anamchoma mwingine na yeye anataka eact hivyo hivyo
Tulikuwa tunajaza maji kwenye Tairi, na unashika miti miwili huku na huku, babu kinachofuatia ni mbio tuu.... Na break yake ABS YA YUTOUNG aioni kitu....!! Ndio maana watoto was zamani afya zilikuwa shwariiiiii....,,,,,Hii cha mtoto, sisi tulikuwa tunachukua tairi la lori au trekta unaingia hapo katikati unajikunja then wenzio wanakusukuma! Siku ingine wanakusukuma wanapoteza muelekeo wanakuacha upambane na hali yako!
View attachment 1101131
Tulikuwa tunajaza maji kwenye Tairi, na unashika miti miwili huku na huku, babu kinachofuatia ni mbio tuu.... Na break yake ABS YA YUTOUNG aioni kitu....!! Ndio maana watoto was zamani afya zilikuwa shwariiiiii....,,,,,