soul provider
JF-Expert Member
- Jun 21, 2014
- 1,330
- 2,071
hahaha pia kuna aina fulani ya vyura wakiwa wadogo utasema samaki tatzo wanavyozidi kukua miguu inawaota na ile hali ya usamaki inapotea..kuna midudu fulani ilikuwa kama inapembe inashinda makorongoni tumevua sana