Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 632
- 1,247
Baikoko kale kafilimbi chao hata ukiwa wapi unakasikia. Tulitorokaga Galanos kwenda hadi kule Mwakizalo usiku kufuata Baikoko. Hahaaaa wakati tunarudi, polisi wakatukimbiza. Mungu atusaidie kwa kweli. Hali ilikuwa mbaya sana.๐ ๐ ๐ enzi hizo tuko usagara pale usiku tunatoka manane ya usiku tuko road trip kwa miguu kuvizia vigodoro ila zaidi nilipendaga baikoko sio hivi vigodoro vya mitaani vya kishenzi yaani utamu wa tanga ipigwe ile baikoko yenyewe ya kimombasa au kizigua kidigo ujionee uumbaji watoto wa mule wana balaa zito........
Hapo ndiyo nilipo amini tanga mahaba yamezaliwa, ukipata demu wa kitanga mcheza koko ukiweka ndani ukamnyima koko ndoa kwishney ๐ ๐ ๐
Vile vile kitandani uwe njema, ukikaa wiki hujapeleka uno na ndoa kwishney anaruhusiwa binti kurudi kwao kulalamika humpi unyumba.
Wadaslam wanapiga miguu yote kwao wanaona ndo mahaba ๐ ๐ ๐
Kuhusu majini usiku na misukule haikudhuru kama haikuhusu ila usiku hatujawai kutana nayo labda wapasua nazi tanga hiyo ni warranty lazma uwakute. Nazi kupasuliwa tanga ilikuwa ni warranty na mayai viza, ila kwa sasa sijui kama wameacha.....๐