Kama hujawahi kufika jiji la Tanga, basi haya ndio mambo yanayopatikana huko

Tanga ni mji ninaoupenda sana. Ukitaka kufaidi jiji la Tanga nenda wakati huu wa Ramadhan. Pale town usiku kama uko uarabuni ni uislamu mtupu. Kilichonikera ni kuna hotel moja iko katikati ya mji kwamba ukienda na demu lazima muonyeshe cheti cha ndoa. Kama sikosei inaitwa Khayrat au jina linalofanania hivyo.
 
Ijue Tanga Mjini Na Maajabu Yake.

Katika maisha yako jitahidi sana walau siku moja ufike Tanga, utakuja kunishukuru… Haya jionee maajab ya jiji la Tanga

1. Ikifika Saa 3 usiku Hakuna Daladala Utaona Barabarani.

2. Jiji Lina Watu 390K Lakini Ifikapo Saa 4 Huoni Watu Nje Usiulize Kwanini Jiongeze.

3. Ugali Wa 1500 Unapata Mboga 7 Usisahau Uono (Dagaa Mchele) Buree.

4. Tanga Ndio Jiji Pekee Kuna Baiskeli Za Kukodi Yaani Kama Bodaboda Vile Zina Kiti Chenye Sponge Hadi Raha.

5. Club Za Tanga Zinapiga Taarabu Unashangaa Shauri Yako.

6. Self Tanga Ni 50K Chumba Kikubwa Na Choo Ndani Tena Vimenakshiwa Vizuri Kabisa.

7. Wakazi Wa Tanga Hawapandi Boxer,TVS Wanapikipiki Zao Special Zinaitwa "Huoniao" AKA Kibao Mbuzi.

8. Breakfast Ya 1000 Tanga Unashiba Vizuri Kabisa Kifupi Ukila Mchana Kisa Njaa Ujue Una Minyoo Au Ulafi.

9. Ndio Jiji Lisilo Na Kelele Wala Vurugu Pako Kimyaaa Hadi Raha.
Kijana Wa Tanga Akishakuwa Na Uhakika Wa Kula Na Sehemu Ya Kukaa Anawaza Kuongeza Mke Sio Biashara Wala Kuwekeza Hayo Mtajua Wenyewe.

10. Ukitaka Binti Wa Kitanga Aje Geto Mwambie Apande Pikipiki Utamlipa Boda Halafu Akifika Mnunulie Chips Yai Na Soda Broo Umemaliza Kazi.

11. Tanga Ndio Jiji Lenye Soda Au Tuseme Juice Ya Kipekee Inayoitwa "Healtho" Au "Anjari" Ni Tamu Sana Zipo Aina Kama 5 Hivi Huko Bakhresa,Mo,Coca,Pepsi Hata Hawasikiki Sana.

12. Ukiwa Tanga Jaribu Kuishi Na Watu Vizuri Kuoa Na Kuolewa Usipate Shida Wao Ndio Watakutafutia.

13. Raskazone,Donge,Tanga Beach Ndio Ushuani Huko Wanaishi Vigogo AKA Mafogo.

14. Tanga Mjini Kuna Super Market 1 Tu Inaitwa Mkwabi 🤣🤣 (Labda Kama Zimeongezeka)

15. Wasambaa Ndio Kabila Linaloheshimika Zaidi Tanga Mjini Na Ndio Kabila Superior.

16. Kuhusu maji ya kunywa hapo usiseme kule huna haja ya kununua maji dukani maana maji ya bomba tu yanatosha kukata kiu yako kifupi hayana shida kabisa hadi raha.

17. Ukiwa na binti wa kitanga uwe na pumzi ipasavyo usipoangalia utatolewa jasho mwanaume alaa.

18. Tanga Kuna Traffic Light sehemu 2 Tu Pale Toyota Kuelekea Bombo na Maeneo ya Mkwakwani.

19. Tanga hakuna Bolt, Uber Wala Farasi ni Mwendo Wakuita Kibao Mbuzi au Upande Daladala.

2o. Daladala Ipo Radhi Imsubiri Mtu Tena Ikibidi Ipige Reverse Imfwate Alipo.

Sema katika yote Tanga ni jiji lililopangika vizuri kuanzia uswahilini, mjini kati mpaka huko kwa matajiri!!

#VisitTanga
Somehw true...sema breakfast ya buku inaweza kuwa tasty but sio muhimu...mkoa usiojali vegetables ni huu..sema ni wapish kwel kwel
 
Umesahau majini na misukule kuzagaa mitaani usiku
😅😅😅 enzi hizo tuko usagara pale usiku tunatoka manane ya usiku tuko road trip kwa miguu kuvizia vigodoro ila zaidi nilipendaga baikoko sio hivi vigodoro vya mitaani vya kishenzi yaani utamu wa tanga ipigwe ile baikoko yenyewe ya kimombasa au kizigua kidigo ujionee uumbaji watoto wa mule wana balaa zito........

Hapo ndiyo nilipo amini tanga mahaba yamezaliwa, ukipata demu wa kitanga mcheza koko ukiweka ndani ukamnyima koko ndoa kwishney 😅😅😅

Vile vile kitandani uwe njema, ukikaa wiki hujapeleka uno na ndoa kwishney anaruhusiwa binti kurudi kwao kulalamika humpi unyumba.

Wadaslam wanapiga miguu yote kwao wanaona ndo mahaba 😅😅😅

Kuhusu majini usiku na misukule haikudhuru kama haikuhusu ila usiku hatujawai kutana nayo labda wapasua nazi tanga hiyo ni warranty lazma uwakute. Nazi kupasuliwa tanga ilikuwa ni warranty na mayai viza, ila kwa sasa sijui kama wameacha.....😅
 
Umenikubusha usagara sec advance,ugali wa kukoboa na maharage unchanganya na uono,mbilimbi chachu na top layer!!aiseh one of my best meals ever!!!

Halafu pale mzimuni ,unacheki madem.wakisubiri daladala Kwa dirishani!!ilikua burudani sana!!wakati.Organic chemistry ikiniumiza pole pole enzi zile!!
Mtoto wa kahana, signatory na singano mzimuni mimi ni kuchaj simu tu ilikuwa, ulikuwa CBG mpaka organic chemistry ikuumize kichwa 😅😅😅 wale wa PCM na simple harmonic yao.......

2013/2015 pale
 
Mwaka x nilienda tanga kupeleka mzigo......
Bwana eee njiani namwambia dereva wahi tushushe asubuhi sana mchana au jioni tuondoke,,,, tulifika saa kumi na moja alfajiri lile soko lilifunguliwa saa tatu na mwenye mzigo nafanya kumpigia mimi yeye hana wasiwasi dereva akaniambia hii ndio tanga usiwe na haraka. Mzigo ulishushwa saa tano.
Nilipelekwa kula supu tamu sana ya samaki kwa mama mmoja hivi nimeshamsahau... Mchana tukaletewa wali samaki wali umechanganywa na kitu kama choroko na umewekewa nazi vilinishinda wakawa wanacheka tu ilibidi twende hotel kula
 
Ijue Tanga Mjini Na Maajabu Yake.

Katika maisha yako jitahidi sana walau siku moja ufike Tanga, utakuja kunishukuru… Haya jionee maajab ya jiji la Tanga

1. Ikifika Saa 3 usiku Hakuna Daladala Utaona Barabarani.

2. Jiji Lina Watu 390K Lakini Ifikapo Saa 4 Huoni Watu Nje Usiulize Kwanini Jiongeze.

3. Ugali Wa 1500 Unapata Mboga 7 Usisahau Uono (Dagaa Mchele) Buree.

4. Tanga Ndio Jiji Pekee Kuna Baiskeli Za Kukodi Yaani Kama Bodaboda Vile Zina Kiti Chenye Sponge Hadi Raha.

5. Club Za Tanga Zinapiga Taarabu Unashangaa Shauri Yako.

6. Self Tanga Ni 50K Chumba Kikubwa Na Choo Ndani Tena Vimenakshiwa Vizuri Kabisa.

7. Wakazi Wa Tanga Hawapandi Boxer,TVS Wanapikipiki Zao Special Zinaitwa "Huoniao" AKA Kibao Mbuzi.

8. Breakfast Ya 1000 Tanga Unashiba Vizuri Kabisa Kifupi Ukila Mchana Kisa Njaa Ujue Una Minyoo Au Ulafi.

9. Ndio Jiji Lisilo Na Kelele Wala Vurugu Pako Kimyaaa Hadi Raha.
Kijana Wa Tanga Akishakuwa Na Uhakika Wa Kula Na Sehemu Ya Kukaa Anawaza Kuongeza Mke Sio Biashara Wala Kuwekeza Hayo Mtajua Wenyewe.

10. Ukitaka Binti Wa Kitanga Aje Geto Mwambie Apande Pikipiki Utamlipa Boda Halafu Akifika Mnunulie Chips Yai Na Soda Broo Umemaliza Kazi.

11. Tanga Ndio Jiji Lenye Soda Au Tuseme Juice Ya Kipekee Inayoitwa "Healtho" Au "Anjari" Ni Tamu Sana Zipo Aina Kama 5 Hivi Huko Bakhresa,Mo,Coca,Pepsi Hata Hawasikiki Sana.

12. Ukiwa Tanga Jaribu Kuishi Na Watu Vizuri Kuoa Na Kuolewa Usipate Shida Wao Ndio Watakutafutia.

13. Raskazone,Donge,Tanga Beach Ndio Ushuani Huko Wanaishi Vigogo AKA Mafogo.

14. Tanga Mjini Kuna Super Market 1 Tu Inaitwa Mkwabi 🤣🤣 (Labda Kama Zimeongezeka)

15. Wasambaa Ndio Kabila Linaloheshimika Zaidi Tanga Mjini Na Ndio Kabila Superior.

16. Kuhusu maji ya kunywa hapo usiseme kule huna haja ya kununua maji dukani maana maji ya bomba tu yanatosha kukata kiu yako kifupi hayana shida kabisa hadi raha.

17. Ukiwa na binti wa kitanga uwe na pumzi ipasavyo usipoangalia utatolewa jasho mwanaume alaa.

18. Tanga Kuna Traffic Light sehemu 2 Tu Pale Toyota Kuelekea Bombo na Maeneo ya Mkwakwani.

19. Tanga hakuna Bolt, Uber Wala Farasi ni Mwendo Wakuita Kibao Mbuzi au Upande Daladala.

2o. Daladala Ipo Radhi Imsubiri Mtu Tena Ikibidi Ipige Reverse Imfwate Alipo.

Sema katika yote Tanga ni jiji lililopangika vizuri kuanzia uswahilini, mjini kati mpaka huko kwa matajiri!!

#VisitTanga
Kodi ya chumba cha kupanga unalipa kulingana na uwezo wako ila wanapendelea sana ulipe kila mwezi (Kange kwa Masai na Kasera) wanaoishi maeneo hayo wanaelewa

Halafu hilo la daladala kupiga u turn kumfata mtu mmoja ni kawaida sana
Pia Tangamano ni soko ambalo kila Jumanne na Jumamosi ni Gulio kwa kununua vitu bei rahisi raha sana.

Kuna kibao cha KARIBU TU HAKUNA KIBAO CHA KWAHERI
 
Ijue Tanga Mjini Na Maajabu Yake.

Katika maisha yako jitahidi sana walau siku moja ufike Tanga, utakuja kunishukuru… Haya jionee maajab ya jiji la Tanga

1. Ikifika Saa 3 usiku Hakuna Daladala Utaona Barabarani.

2. Jiji Lina Watu 390K Lakini Ifikapo Saa 4 Huoni Watu Nje Usiulize Kwanini Jiongeze.

3. Ugali Wa 1500 Unapata Mboga 7 Usisahau Uono (Dagaa Mchele) Buree.

4. Tanga Ndio Jiji Pekee Kuna Baiskeli Za Kukodi Yaani Kama Bodaboda Vile Zina Kiti Chenye Sponge Hadi Raha.

5. Club Za Tanga Zinapiga Taarabu Unashangaa Shauri Yako.

6. Self Tanga Ni 50K Chumba Kikubwa Na Choo Ndani Tena Vimenakshiwa Vizuri Kabisa.

7. Wakazi Wa Tanga Hawapandi Boxer,TVS Wanapikipiki Zao Special Zinaitwa "Huoniao" AKA Kibao Mbuzi.

8. Breakfast Ya 1000 Tanga Unashiba Vizuri Kabisa Kifupi Ukila Mchana Kisa Njaa Ujue Una Minyoo Au Ulafi.

9. Ndio Jiji Lisilo Na Kelele Wala Vurugu Pako Kimyaaa Hadi Raha.
Kijana Wa Tanga Akishakuwa Na Uhakika Wa Kula Na Sehemu Ya Kukaa Anawaza Kuongeza Mke Sio Biashara Wala Kuwekeza Hayo Mtajua Wenyewe.

10. Ukitaka Binti Wa Kitanga Aje Geto Mwambie Apande Pikipiki Utamlipa Boda Halafu Akifika Mnunulie Chips Yai Na Soda Broo Umemaliza Kazi.

11. Tanga Ndio Jiji Lenye Soda Au Tuseme Juice Ya Kipekee Inayoitwa "Healtho" Au "Anjari" Ni Tamu Sana Zipo Aina Kama 5 Hivi Huko Bakhresa,Mo,Coca,Pepsi Hata Hawasikiki Sana.

12. Ukiwa Tanga Jaribu Kuishi Na Watu Vizuri Kuoa Na Kuolewa Usipate Shida Wao Ndio Watakutafutia.

13. Raskazone,Donge,Tanga Beach Ndio Ushuani Huko Wanaishi Vigogo AKA Mafogo.

14. Tanga Mjini Kuna Super Market 1 Tu Inaitwa Mkwabi 🤣🤣 (Labda Kama Zimeongezeka)

15. Wasambaa Ndio Kabila Linaloheshimika Zaidi Tanga Mjini Na Ndio Kabila Superior.

16. Kuhusu maji ya kunywa hapo usiseme kule huna haja ya kununua maji dukani maana maji ya bomba tu yanatosha kukata kiu yako kifupi hayana shida kabisa hadi raha.

17. Ukiwa na binti wa kitanga uwe na pumzi ipasavyo usipoangalia utatolewa jasho mwanaume alaa.

18. Tanga Kuna Traffic Light sehemu 2 Tu Pale Toyota Kuelekea Bombo na Maeneo ya Mkwakwani.

19. Tanga hakuna Bolt, Uber Wala Farasi ni Mwendo Wakuita Kibao Mbuzi au Upande Daladala.

2o. Daladala Ipo Radhi Imsubiri Mtu Tena Ikibidi Ipige Reverse Imfwate Alipo.

Sema katika yote Tanga ni jiji lililopangika vizuri kuanzia uswahilini, mjini kati mpaka huko kwa matajiri!!

#VisitTanga
Duu chips tu Tayali Mbona rahisi Vist Tanga
 
Back
Top Bottom