kuwakomesha chadema maana ndege ikija unasikia watakoooma.hahahahaha buwahahahahahaLengo ni Twiga aonekane hewani. Lengo si biashara.
High season watu 6 ??kwenye biashara hicho ni kitu cha kawaida kama kila siku ingekuwa ni hivyo hapo kuna tatizo
Yah right ...........!!" Serikali haipati hasara "
Biashara ya ndege ni ngumu ndugu. Si ya kukurupukiaNot ready to swallow everything from twitter. Kweli, ni kazi ngumu.
Btw., KQ siwasikii tena na safari yao ya Nairobi New York! Done? Collapsed, failure? Hahaaa!
Unajua ubishani huja mtu asipojua fikra za mwenzake.na
kuwakomesha chadema maana ndege ikija unasikia watakoooma.hahahahaha buwahahahahaha
Not ready to swallow everything from twitter. Kweli, ni kazi ngumu.
Btw., KQ siwasikii tena na safari yao ya Nairobi New York! Done? Collapsed, failure? Hahaaa!
Wewe unafikiri biashara ni mteremka wa kupata kila siku? Haya kwenye biashara ni ya kawaida sana.
If you don't plan you are planning to fail.Kwenye maisha faileirs ni jambo lisilokwepeka. Kinachatakiwa ni dhamira nzuri na bidii katika kutumiza dhamira.
Nani atakubali kukodi kimeo zikakamatwe?Ni bora tukaanza kufikiria jinsi ya kuzikodisha.
Jamaa kila siku yeye ni kutafuta na kufurahia mapungufu tu.
Mbona ulaya ni ya kawaida sana haya
Vichwa maji ni Ccm Mimi siko CcmSikujua kama kumbe mtu mwenyewe kichwa maji..
Kwa heri..
Wewe unafikiri biashara ni mteremka wa kupata kila siku? Haya kwenye biashara ni ya kawaida sana.
Wanaendelea ila wamepunguza siku , from 7days to 5days a week. Siku zinavyosonga nazani itazidi kupunguza siku.
Biashara kichaa.
Biashara ya ndege unafananisha na ya basi.Mm nliwahi kusafiri na basi toka dar hadi iringa tulikuwa abiria hatuzidi 20 kwenye basi la watu 60, so haya mambo ni ya kawaida kila kona.
Shida ya mleta mada yeye ni kuokoteza kila aina ya takataka na kuila