Mm nliwahi kusafiri na basi toka dar hadi iringa tulikuwa abiria hatuzidi 20 kwenye basi la watu 60, so haya mambo ni ya kawaida kila kona.Hizi ni changamoto za biashara japokuwa ni ngumu kutoa maamuzi kwa kutumia flight moja.Je ni kila siku hakuna wateja au ni siku hiyo tuu?Na jee ilivyokua inarudi Entebe Kilimanjaro, hali ilikua hivyo hivyo?
Niliwahi kushuhudia Egypt Air Airbus 320 from Cairo to DSM ikiwa na abiria 20.
So hizi ni changamoto na ninaamini wahusika wakiona route hailipi wataifuta kama KQ walivyositisha NBO to New York.
Kwenye maisha faileirs ni jambo lisilokwepeka. Kinachatakiwa ni dhamira nzuri na bidii katika kutumiza dhamira.Poa ni ya kawaida nimekuelewa tuendelee kupiga kazi.
Ukiona hivyo huyo hana Magonjwa mtambukaJamaa kila siku yeye ni kutafuta na kufurahia mapungufu tu.
Hakuna ma bus ya watu 60 siku hizi.hiyo ndege inabeba watu 200+ kwa watu 6 ni sawa?Mm nliwahi kusafiri na basi toka dar hadi iringa tulikuwa abiria hatuzidi 20 kwenye basi la watu 60, so haya mambo ni ya kawaida kila kona.
Shida ya mleta mada yeye ni kuokoteza kila aina ya takataka na kuila
Wew ndo unayefurahia mapungufu ya shirika la ndege tanzania.Jamaa kila siku yeye ni kutafuta na kufurahia mapungufu tu.
tupo wengi tunaofurahia,wajinga nyieee,kazi ubaguzi na kuchochea mipasuko tuJamaa kila siku yeye ni kutafuta na kufurahia mapungufu tu.
Minitu kama nyie ndio sawa na wale wana wa israel wametoka utumwani wanafika jangwani wanatamani tena kurudi utumwani kwa sababu kule wameaacha masufuria ya nyama na pilau!Jiwe ni mbushi na hashauriki, biashara hii hatuwezi na haiwezi kuendeshwa kisiasa na kutafutia kick za kishamba. Kazuia watumishi wa uma kusafiri nje kisha ananunua madege makubwa ya kuenda nje, atayapanda nani?
Hahahahahaaaa..., Ulaya ya kawaida sana. Mh!Mbona ulaya ni ya kawaida sana haya
Hahahahahahaa.ulaya?air Tanzania ulaya?Mbona ulaya ni ya kawaida sana haya
Umeelewa point?Hakuna ma bus ya watu 60 siku hizi.hiyo ndege inabeba watu 200+ kwa watu 6 ni sawa?
Kama unafikiri Air Tanzania wafanya biashara basi utakuwa uko kwenye usingizi wa pono ........ endelea kulala maana ndoto za asubuhi ni tamu sana ...............!!Wewe unafikiri biashara ni mteremka wa kupata kila siku? Haya kwenye biashara ni ya kawaida sana.
Za Mbabane Swallow?Umeelewa point?
Panda ujaziejazieBavicha mtakuja kuokota hadi mavi mle kwa sababu tu yanamkosoa Magu hakyamungu
Sikujua kama kumbe mtu mwenyewe kichwa maji..Za Mbabane Swallow?
😂😂😂😁😁😁😁Hajakuzuia ww kuweka mafanikio kila siku.