Kama hii tweet ni kweli basi Air Tanzania ni ya kuhurumiwa

Hii biashara ngumu sana basi hatukubali kuwa tumeshindwa kabla ya kuanza.
 
Usikariri hivyo Mkuu, tafiti vizuri nchi ya USA inaratibu mradi wa nyumba za kukodisha wananchi wake tangu 1880 na hadi sasa ina zaidi ya nyumba 500,000/=.

So mwananchi atapaswa kulipa kodi katika hiyo nyumba kwa kila mwaka, biashara zinafanywa sana na serikali sema tu ni lazima ziwe zimelenga pazuri katika mikakati mbinu thabiti na hubuni kila kukicha namna ya kuwavutia Wateja kwa kadri watavyobadilika tokana na mahitaj na uvutiwaji wao wa huduma pa1 na bidhaa kwa serikali husika.

Tatizo letu kubwa ni huko "kukariri" na kuishia hapo bila hata ya kutafuta ufahamu mzuri wa hayo tunayoyakariri.
 
Jamaa kila siku yeye ni kutafuta na kufurahia mapungufu tu.
Ni nani kakuambia anafurahia mapungufu? Kuripotu mapungufu ni njia ya kuwaamsha wahusika ili wachukue hatua zinazopaswa. Wewe ulitaka apotezee tu? Unajua madhara ya kuona manatatizo na kuyakalia kimya tu?

Mzalendo wa kweli ni yule anayeona tatizo na kutumia njia zozote za kuwezesha wahusika kulitatua. Including kuripoti kwa jamii ili ijue kinachoendelea kwenye nchi yao.
 
Mwanzo mgumu,Hata mtoto huanza kutambaa kabla ya kutembea,Yatakwisha tu
 
Back
Top Bottom