Kama hii ni kweli, basi kazi ipo!!

Kama hii ni kweli, basi kazi ipo!!

zaratustra

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
848
Reaction score
225
Niko kikazi huku kanda ya ziwa, jana kulikuwa na kikao kikubwa kwenye hoteli moja jijini Mwanza!

Inasemekana kuwa Mheshimiwa EL, ameshaanza kampeni za uraisi 2015. Amekuwa na kikao kizito sana na baadhi ya makada wa CCM hotelini hapo! Niliowaona na kuwafahamu kuwepo ni pamoja na Hussein Bashe na mwenyekiti wa wazazi hapa Mwanza, Masota. Huyu ndo alikuwa kama organiser, alikuwa akiwapigia simu watu mbali mbali kuja kuhudhuria kikao na mara kwa mara alisikika akisema mtarajiwa yuko hapa. Walithubutu hata kutamka kuwa rais mtarajiwa ana kikao hapa.

Kilichoshangaza ni kuwa, kuna kijana alikuwa amewaletea magazeti, huyu Masota akamtoa baru akimwita mmbea kwamba amempigia simu Riz-One kuwa kuna kikao cha kampeni. Mwanzoni alivaa sare za CCM baadae akabadilisha na akawa anasema kuwa kikao hicho ni cha kujadili mambo ya harambee ya ujenzi wa kanisa la wakatoliki na yeye ni mwenyekiti wa kamati ya ujenzi huo na EL ni mgeni rasmi kwenye ibada ya harambee iliyotarajiwa kufanyika leo. Cha ajabu ni kuwa Bashe anahusika vipi na kikao cha ujenzi wa kanisa? Au ameshabatizwa?

Naambiwa EL alikuwa na kikao cha kampeni kama hicho mjini Shinyanga juzi. Hivi pamoja na maskendo yote hayo EL ameazimia kweli kugombea urais?

Nawasilisha!
 
Ama kweli EL ana roho ya paka.
Nilikuwa siamini hata kidogo kama EL atapata urais 2015 lakini sasa kwa mbaali naanza kuiivuta picha.
 
Niko kikazi huku kanda ya ziwa, jana kulikuwa na kikao kikubwa kwenye hoteli moja jijini Mwanza!

Inasemekana kuwa Mheshimiwa EL, ameshaanza kampeni za uraisi 2015. Amekuwa na kikao kizito sana na baadhi ya makada wa CCM hotelini hapo! Niliowaona na kuwafahamu kuwepo ni pamoja na Hussein Bashe na mwenyekiti wa wazazi hapa Mwanza, Masota. Huyu ndo alikuwa kama organiser, alikuwa akiwapigia simu watu mbali mbali kuja kuhudhuria kikao na mara kwa mara alisikika akisema mtarajiwa yuko hapa. Walithubutu hata kutamka kuwa rais mtarajiwa ana kikao hapa.

Kilichoshangaza ni kuwa, kuna kijana alikuwa amewaletea magazeti, huyu Masota akamtoa baru akimwita mmbea kwamba amempigia simu Riz-One kuwa kuna kikao cha kampeni. Mwanzoni alivaa sare za CCM baadae akabadilisha na akawa anasema kuwa kikao hicho ni cha kujadili mambo ya harambee ya ujenzi wa kanisa la wakatoliki na yeye ni mwenyekiti wa kamati ya ujenzi huo na EL ni mgeni rasmi kwenye ibada ya harambee iliyotarajiwa kufanyika leo. Cha ajabu ni kuwa Bashe anahusika vipi na kikao cha ujenzi wa kanisa? Au ameshabatizwa?

in blue, sina hakika nalo...
in red, jamaa alikuwepo kwenye hilo tukio hapa Roleto- Nyakato National Mwanza...
 
Tanzania bila watu kutolewa kafara hadharani inatawalika.
 
Ama kweli EL ana roho ya paka.
Nilikuwa siamini hata kidogo kama EL atapata urais 2015 lakini sasa kwa mbaali naanza kuiivuta picha.

mkuu hiyo kitu inawezekana kweli?
naomba univutishe picha na mie...
 
EL hana tatizo!!
ni vita vya kisiasa ndo vinamchafua!!
Lowassa ndiye awezaye kututoa kwenye hili dimbwi la dhulma!
EL ndiye mwenye ubavu wa kusimamisha migodi!!
Muacheni aendelee na kumpeni na ninamtakia kila la kheri!!
 
Lowassa bila katiba mpya atashinda uchaguzi hata kwa kuchakachua.
 
EL hana tatizo!!
ni vita vya kisiasa ndo vinamchafua!!
Lowassa ndiye awezaye kututoa kwenye hili dimbwi la dhulma!
EL ndiye mwenye ubavu wa kusimamisha migodi!!
Muacheni aendelee na kumpeni na ninamtakia kila la kheri!!

"Ikulu si mahali pa kupakimbilia.... Mtu huyo mwogopeni kama ukoma" -J K Nyerere.

Inawezekana akawa mtendaji mzuri kama unavyodai, lakini kwanini anang'ang'ania sana, why why why why?

Kwa uchu alionao Kwanini tusimhofie?
 
Wakuu kwa kweli EL ni fisadi mno, Juzi nilikuwa huku Arusha kuna Mzee mmoja nalalamika sana kwamba EL amechuka shamba lake kwa nguvu Ekari 800 lilolopo eneo la Lokisare wilayani monduli na anataka kuwapatia wazungu wafanye game reserve na kujenga camp kwa ajili ya watalii. na huyu mzee alikuwa nalima pale miaka nenda rudi.

Kisa cha huyu mzee kudhulumiwa na lowasa ni kwamba shamba lake hilo alikuwa hajalipatia hatimiliki, lakini si dhani hati miliki ndo iwe tiketi ya kudhulimiwa shamba na kuwapatia wazungu.

C JAANDIKA KIUSHABIKI HAYA MANENO NI YA UKWELI, NA ANAYE TAKA TARIFA ZAIDI NITAMPATIA
 
EL hana tatizo!!
ni vita vya kisiasa ndo vinamchafua!!
Lowassa ndiye awezaye kututoa kwenye hili dimbwi la dhulma!
EL ndiye mwenye ubavu wa kusimamisha migodi!!
Muacheni aendelee na kumpeni na ninamtakia kila la kheri!!
Huyo jamaa na sifa zote alizonazo ila ni mwizi wa kupindukia!
 
Nikweli tetesi za uwepo wake kisiasa na Ushiriki wa Bashe katika Jiji la Mwanza nimezipata nikiwa Musoma na baadhi wakijiandaa kwenda Mwanza huku wakimuita Rais Mtarajiwa!
 
Ama kweli EL ana roho ya paka.
Nilikuwa siamini hata kidogo kama EL atapata urais 2015 lakini sasa kwa mbaali naanza kuiivuta picha.

unampigia kampeni kisiri-siri.

hii nji heri iongozwe na mbw kuliko huyu fisadi.

ni network ya jk.

hatumtaki.
 
Knowing that his name is already mud beyond cleanliness, Lowassa won't dare play a mug's game by getting his nose into 2015 polls. What seems to be a possible alternative for him is that would perhaps put and support his man of choice for presidential post. This move where by a kingmaker decides on who to become the next president of state has currently been applied in all so called democratic countries.
 
Niko kikazi huku kanda ya ziwa, jana kulikuwa na kikao kikubwa kwenye hoteli moja jijini Mwanza!

Inasemekana kuwa Mheshimiwa EL, ameshaanza kampeni za uraisi 2015. Amekuwa na kikao kizito sana na baadhi ya makada wa CCM hotelini hapo! Niliowaona na kuwafahamu kuwepo ni pamoja na Hussein Bashe na mwenyekiti wa wazazi hapa Mwanza, Masota. Huyu ndo alikuwa kama organiser, alikuwa akiwapigia simu watu mbali mbali kuja kuhudhuria kikao na mara kwa mara alisikika akisema mtarajiwa yuko hapa. Walithubutu hata kutamka kuwa rais mtarajiwa ana kikao hapa.

Kilichoshangaza ni kuwa, kuna kijana alikuwa amewaletea magazeti, huyu Masota akamtoa baru akimwita mmbea kwamba amempigia simu Riz-One kuwa kuna kikao cha kampeni. Mwanzoni alivaa sare za CCM baadae akabadilisha na akawa anasema kuwa kikao hicho ni cha kujadili mambo ya harambee ya ujenzi wa kanisa la wakatoliki na yeye ni mwenyekiti wa kamati ya ujenzi huo na EL ni mgeni rasmi kwenye ibada ya harambee iliyotarajiwa kufanyika leo. Cha ajabu ni kuwa Bashe anahusika vipi na kikao cha ujenzi wa kanisa? Au ameshabatizwa?

Naambiwa EL alikuwa na kikao cha kampeni kama hicho mjini Shinyanga juzi. Hivi pamoja na maskendo yote hayo EL ameazimia kweli kugombea urais?

Nawasilisha!

Utakuwa na chaguo gani kati ya Kiongozi mchapa kazi lakini fisadi na kiongozi malaika (mwaminifu) lakini utendaji goigoi? Watch this space, kufikia 2014 EL atakuwa kawaacha mbali wale wanaoshindana naye.
 
Wakuu kwa kweli EL ni fisadi mno, Juzi nilikuwa huku Arusha kuna Mzee mmoja nalalamika sana kwamba EL amechuka shamba lake kwa nguvu Ekari 800 lilolopo eneo la Lokisare wilayani monduli na anataka kuwapatia wazungu wafanye game reserve na kujenga camp kwa ajili ya watalii. na huyu mzee alikuwa nalima pale miaka nenda rudi.

Kisa cha huyu mzee kudhulumiwa na lowasa ni kwamba shamba lake hilo alikuwa hajalipatia hatimiliki, lakini si dhani hati miliki ndo iwe tiketi ya kudhulimiwa shamba na kuwapatia wazungu.

C JAANDIKA KIUSHABIKI HAYA MANENO NI YA UKWELI, NA ANAYE TAKA TARIFA ZAIDI NITAMPATIA

ni kweli kabisa kuwa lowasa ni fisadi na hili halina shaka, lakini hapo kwa huyo mzee kunyang'anywa shamba lake, tatizo ni sheria yetu ya ardhi inampa mamlaka makubwa sana rais (serikari) kumiliki ardhi
 
Ama kweli EL ana roho ya paka.
Nilikuwa siamini hata kidogo kama EL atapata urais 2015 lakini sasa kwa mbaali naanza kuiivuta picha.
.........niliwahi kusema, narudia tena, tunahitaji rais wa aina hii, mwenye roho ya paka katika kutatua matatizo yetu (nieleweke-wa aina hii)
 
Back
Top Bottom