cheichei2010
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 932
- 350
Let me as CLEAR as possible, after all hve been said & done, kama kweli tunahitaji MAENDELEO, na sijatumwa na mtu hapa ni baada ya my deep analysis & references regarding current & former political leaders, LOWASSA IS FIT TO BE A PRESIDENT, i'm 100% convinced na semeni, ongeeni, fanyeni mtakayo, HE IS THE ONLY VIABLE CCM PRESIDENTIAL CANDIDATE ilivyo mapema, mm nasema NI MCHAPAKAZI, na most know this, i am done, period...!!!
Huu ushabiki usiokuwa na maana ndio uliotufikisha hapa tulipo.Ziliimbwa nyimbo nyingi sana kuhusu JK lakini leo watu wanamtetea kwa aibu.Ikumbukwe hawa kina EL ndio waliowaaminisha waTZ kuwa JK anafaa.Leo hii mnataka tena kutuaminisha kuwa EL anafaa.Ikumbukwe Uraisi sio kitu cha kubahatisha.akipewa huyu tunarudi tena nyuma miaka mingine 10,maana tumeisha ipoteza 10 mingine ya JK.Kwa nchi hii ilipofikia inapidi mfumo wa CCM upigwe chini,uingie mpya wa upinzani hata kama wataboronga for the first term lakini kutakua na ueleko mpya na watu wataanza kufikiria utaifa.Kwa hali ilivyo sasa ndani ya CCM,kundi moja likikosa uongozi,linaingia msituni kujipanga, lina poshinda linaanza kuangalia maslahi ya walioliingiza madarakani hivyo hakutakua na mtu wa kuangalia maslahi ya watanzania.Na itandelea kupokezana vivyo hivyo.NI LAZIMA TUKITAKA NCHI HII IENDE, CCM ITOKE MADARAKANI ILI KUVUNJA NETWORK ZA MASLAHI BINAFSI.