Kama hii ni kweli, basi kazi ipo!!

"Ikulu si mahali pa kupakimbilia.... Mtu huyo mwogopeni kama ukoma" -J K Nyerere.

Inawezekana akawa mtendaji mzuri kama unavyodai, lakini kwanini anang'ang'ania sana, why why why why?

Kwa uchu alionao Kwanini tusimhofie?

Hapa itakuwa Fisi tumemkabithi bucha, akila mpaka mpaka gogo la kuchanjia nyama tusitafute mchawi.
 
Lowasa hawezi kuwa rais wa nchi hii wapambe wake wanamlia pesa zake tu. Ametutenda kwa Richmond inatosha.
 
"Ikulu si mahali pa kupakimbilia.... Mtu huyo mwogopeni kama ukoma" -J K Nyerere.

Inawezekana akawa mtendaji mzuri kama unavyodai, lakini kwanini anang'ang'ania sana, why why why why?

Kwa uchu alionao Kwanini tusimhofie?

Anataka kumnyoosha yule jamaa wa Magogoni pamoja na jamaa zake.
 
Tanzania bila watu kutolewa kafara hadharani inatawalika.

Ni kweli kabisa,
kuna watu kwenye hii nchi bila kuwaweka chuma ndani ya bongo zao watatusumbua na kutuyumbisha....
Tunahitaji wazalendo waliotukuka kufanya huu mradi.
 
Kwenye mashamba na lowassa sio jambo la kushangaza viwanja vingi alivyonavyo jamaa arusha amewapiga watu
Wakuu kwa kweli EL ni fisadi mno, Juzi nilikuwa huku Arusha kuna Mzee mmoja nalalamika sana kwamba EL amechuka shamba lake kwa nguvu Ekari 800 lilolopo eneo la Lokisare wilayani monduli na anataka kuwapatia wazungu wafanye game reserve na kujenga camp kwa ajili ya watalii. na huyu mzee alikuwa nalima pale miaka nenda rudi.

Kisa cha huyu mzee kudhulumiwa na lowasa ni kwamba shamba lake hilo alikuwa hajalipatia hatimiliki, lakini si dhani hati miliki ndo iwe tiketi ya kudhulimiwa shamba na kuwapatia wazungu.

C JAANDIKA KIUSHABIKI HAYA MANENO NI YA UKWELI, NA ANAYE TAKA TARIFA ZAIDI NITAMPATIA
 
EL kuwa mtarajiwa hiyo ipo wazi; kule facebook anajiita Edward Lowasa the next president of united republic of Tanzania.
na amewahi kuanzisha mada iliyokuwa ikisema, 'siwezi kuahidi mengi kama ilivyo kwa serikali iliyopo madarakani hivi sasa ila nipe kura yako na hutajutia.'
 
Niko kikazi huku kanda ya ziwa, jana kulikuwa na kikao kikubwa kwenye hoteli moja jijini Mwanza!

Inasemekana kuwa Mheshimiwa EL, ameshaanza kampeni za uraisi 2015. Amekuwa na kikao kizito sana na baadhi ya makada wa CCM hotelini hapo! Niliowaona na kuwafahamu kuwepo ni pamoja na Hussein Bashe na mwenyekiti wa wazazi hapa Mwanza, Masota. Huyu ndo alikuwa kama organiser, alikuwa akiwapigia simu watu mbali mbali kuja kuhudhuria kikao na mara kwa mara alisikika akisema mtarajiwa yuko hapa. Walithubutu hata kutamka kuwa rais mtarajiwa ana kikao hapa.

Kilichoshangaza ni kuwa, kuna kijana alikuwa amewaletea magazeti, huyu Masota akamtoa baru akimwita mmbea kwamba amempigia simu Riz-One kuwa kuna kikao cha kampeni. Mwanzoni alivaa sare za CCM baadae akabadilisha na akawa anasema kuwa kikao hicho ni cha kujadili mambo ya harambee ya ujenzi wa kanisa la wakatoliki na yeye ni mwenyekiti wa kamati ya ujenzi huo na EL ni mgeni rasmi kwenye ibada ya harambee iliyotarajiwa kufanyika leo. Cha ajabu ni kuwa Bashe anahusika vipi na kikao cha ujenzi wa kanisa? Au ameshabatizwa?

Naambiwa EL alikuwa na kikao cha kampeni kama hicho mjini Shinyanga juzi. Hivi pamoja na maskendo yote hayo EL ameazimia kweli kugombea urais?

Nawasilisha!

Mi sioni tatizo kama EL atakuwa rais, kwa kuwa kashfa ananazopewa
ni za kisiasa na zina maslahi kwa kundi la kina Sitta mambo ambayo
sisi hayatusaidii. Ufisadi ni mfumo uliopo ndani ya CCM na Sofia Simba
alithibitisha kuwa ukiongelea ufisadi ndani ya CCM hakuna anayesalimika.
Kwa nini EL peke yake? Tuache bias na tuangalie mustakabali wa nchi
hii; hasa Katiba mpya, Tume Huru ya Uchaguzi, Jeshi lisilotumika kisiasa
na mengineyo, kwani bila vitu hivi hata angekuja nani bado hali itakuwa
ileile, na si kumsakama Lowassa tu. Huu ni mtazamo wangu...
 
Niko kikazi huku kanda ya ziwa, jana kulikuwa na kikao kikubwa kwenye hoteli moja jijini Mwanza!

Inasemekana kuwa Mheshimiwa EL, ameshaanza kampeni za uraisi 2015. Amekuwa na kikao kizito sana na baadhi ya makada wa CCM hotelini hapo! Niliowaona na kuwafahamu kuwepo ni pamoja na Hussein Bashe na mwenyekiti wa wazazi hapa Mwanza, Masota. Huyu ndo alikuwa kama organiser, alikuwa akiwapigia simu watu mbali mbali kuja kuhudhuria kikao na mara kwa mara alisikika akisema mtarajiwa yuko hapa. Walithubutu hata kutamka kuwa rais mtarajiwa ana kikao hapa.

Kilichoshangaza ni kuwa, kuna kijana alikuwa amewaletea magazeti, huyu Masota akamtoa baru akimwita mmbea kwamba amempigia simu Riz-One kuwa kuna kikao cha kampeni. Mwanzoni alivaa sare za CCM baadae akabadilisha na akawa anasema kuwa kikao hicho ni cha kujadili mambo ya harambee ya ujenzi wa kanisa la wakatoliki na yeye ni mwenyekiti wa kamati ya ujenzi huo na EL ni mgeni rasmi kwenye ibada ya harambee iliyotarajiwa kufanyika leo. Cha ajabu ni kuwa Bashe anahusika vipi na kikao cha ujenzi wa kanisa? Au ameshabatizwa?

Naambiwa EL alikuwa na kikao cha kampeni kama hicho mjini Shinyanga juzi. Hivi pamoja na maskendo yote hayo EL ameazimia kweli kugombea urais?

Nawasilisha!

Anajifanya yeye ni kauzu zaidi ya dagaa!!

Lakini mimi namwona ni mlenda tu huyo.
 
EL hana tatizo!!
ni vita vya kisiasa ndo vinamchafua!!
Lowassa ndiye awezaye kututoa kwenye hili dimbwi la dhulma!
EL ndiye mwenye ubavu wa kusimamisha migodi!!
Muacheni aendelee na kumpeni na ninamtakia kila la kheri!!

EL namkubali anaweza kutukomboa watz.


Ameifanyia nini Tanzania cha kujivunia tangu amekua waziri enzi za Mwalimu hadi ukiranja mkuu enzi za chekibob?!
 
Utakuwa na chaguo gani kati ya Kiongozi mchapa kazi lakini fisadi na kiongozi malaika (mwaminifu) lakini utendaji goigoi? Watch this space, kufikia 2014 EL atakuwa kawaacha mbali wale wanaoshindana naye.

Hakika kama hizi ndizo options za viongozi watarajiwa tulizonazo, basi taifa letu lina shida kubwa mno!!

Lakini kama wewe unafikiri hizi ndizo options pekee za viongozi zilizopo, basi umeingia katika mgomo wa kufikiria nje ya boksi!
 
.........niliwahi kusema, narudia tena, tunahitaji rais wa aina hii, mwenye roho ya paka katika kutatua matatizo yetu (nieleweke-wa aina hii)

Alitatua matatizo gani wakati akiwa waziri na waziri mkuu? Mbona bado tuna matatizo yale yale?!
 
huyu jamaa kaamua kujisafisha kupitia makanisa..........ila sijui ni maji gani yatamtakatisha huyu jamaa
 
Hapa sioni nafasi ya EL kuwa rais ila juhudi zake za kuwa rais ni nyingi ikishindikana huyo atatwangwa shaba ili awe kimya tu
 
Mmmh!!! huyu jamaa c mchezo na anaweza akawa rais hivihiv na ufisadi wake tukabaki kimya2!!
 
Lowasa akiwa Rais wa nchi hii ndo utakuwa mwisho wangu wa kupiga kura, kujadili masuala ya kisiasa na kusikiliza wanasiasa.
 
Back
Top Bottom