Kama fununu za Sven kurudi ni kweli basi ni aibu sana kwa CEO Barbara

Uwe na focus, unazungumzia Sven au unazungumzia Mgunda kupewa Range?
Kuhusu taarifa mbona imetolewa na Ahmed mara kibao tu, au unataka mpaka akuketee wewe
Acha uongo kama ni hizo interviews na vi ONLINE tv vya wenye laptop moja na microphone moja na bando za 10,000 ... mara kibao anasema kwa sasa itambulike mgunda ni kocha mwenye mkataba taarifa rasmi itatolewa hakuna press release rasmi ya kusema mgunda ni kocha mkuu, ACHA UPOTOSHAJI
 
Acha uongo kama ni hizo interviews na vi ONLINE tv vya wenye laptop moja na microphone moja na bando za 10,000 ... mara kibao anasema kwa sasa itanbulike mgunda ni kcoha mwenye mkataba taarifa rasmi itatolewa hakuna press release rasmi ya kusema mgunda ni kocha mkuu, ACHA UPOTOSHAJI
Kwani taarifa ni nini na inatakiwa kutolewa na nani. Kusoma hujui hata picha huoni. Umeambiwa tumesitisha mchakato wa kocha wewe unakaza shingo toeni taarifa rasmi.
 
Kwani taarifa ni nini na inatakiwa kutolewa na nani. Kusoma hujui hata picha huoni. Umeambiwa tumesitisha mchakato wa kocha wewe unakaza shingo toeni taarifa rasmi.
maneeno meeengi, hizo taarifa za funika kombe mwanaharamu apite zinazotolewa mtu akidakwa juu kwa juu katoka kucheki mechi taifa ,kama wako serious wamtambulishe kwa heshima kama wanavyofanya kwa makocha wenye ngozi nyeupe
Mchakato umesitishwa THEN WHAT? bado wanamuangaliangalia kama anafaa siyo? si watoe press release sasa?
Hivyo vi interview na mpalange online tvs nimeviona sana ni weeks 2 sasa mchakato umesitishwa HALAFU ? KOCHA MKUU KAPATIKANA KIMYAKIMYA SIYO BILA HATA PRESS RELEASE
Na wakishamtangaza rasmi tutapiga kelele apate marupurupu kama yale mataahira ya kizungu sababu mchakato wote umekaa kidharaudharau hadi sasa kwa mgunda
 
Dah, hizi fununu za kishingo zinanikera sana, huyu na Zoran walikimbia majukumu wakijua makundi ni shughuli nzito. Kishingo kafika makundi kakimbia, Zoran angekuwepo hata makundi Simba isingefika.

Hata kama uamuzi wa kuleta kocha ni wa wote kwenye bodi, ila CEO ndiye atabeba lawama au pongezi kwa maamuzi ya aina hiyo. Na kwa rekodi za Barbara hata mazungumzo yake ni mtu ambaye anawafurahia sana makocha wenye ngozi nyeupe, yaaani ni bora arudi hata Gomez au Pablo walioweza kufika robo fainali.

Halafu kwa pesa ambayo Sven kaishika Moroko na Saud Arabia, Simba inaweza fika lile dau lake? Jamani kama ni kweli hizo fununu achaneni nazo, kwa kifupi mpeni Mgunda timu, mlipeni pesa kama alivyokuwa analipwa Zoran au Punguzeni milioni 3 mumuongezee Matola.

Zoran hapo Premiere De Agosto alienda kama mtaalamu wa viungo, kapenya penya kwa majungu na kuwa kocha mkuu, kwa kutumia timu aliyokuta imetengenezwa na watangulizi wake akafika nusu fainali Klabu Bingwa 2018, mambo yalipoanza kuwa magumu akakimbia.

Sven alifukuzwa Chipolopolo Zambia akaja Simba ambayo ilikuwa ni timu yake ya kwanza kufundisha, mbali na timu za taifa. Kafika makundi kakimbilia Rabatt, huko nako akawakimbia kaenda Saud Arabia kafukuzwa kabisa.

Mgunda/Matola/Mwarami embu muwaamini basi hata kama mkataba wa miezi sita hadi ligi iiishe. Halafu ghafla nimeukumbuka huu uzi. Acheni shobo na Wazungu, kutwa kuwasema vibaya kwa waandishi huko nje ya nchi halafu mnashoboka shoboka tu au ni 10%?

43638658
View attachment 2391792
Upuuzi mtupu maana ata izo chat hapo naona yaan ni twisted conversation ...
 
ukisoma body language ya Barbara wakati wa kutangaza michakato ya utafutaji makocha akizungumzia makocha wa ulaya wlaiotuma CV huwa anakuwa excited kabisa yaani hadi ile pretty face yake ina glow ni wazi huwa anaona raha ngozi nyeupe ikisamama kwenye benchi pale

Mgunda anawapa wakati mgumu sana kwa sasa ,WAMPE TEAM HARAKA SANA OFFICIALLY NA MAFAO MAZITO ..NYUMBA MASAKI, GARI KALI NA MARUPURUPU MENGINE NA MSHAHARA MNONO KAMA WALE MATAAHIRA YA KIZUNGU
Mnyonge mnyongen ila Barbara anahimizaga sana makocha wa kiafrika kuomba kazi simba

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Mnyonge mnyongen ila Barbara anahimizaga sana makocha wa kiafrika kuomba kazi simba

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
mara ya kwanza walituma sana yule wa horoya wa zamani, yule wa team ya taifa ya ghana wa zamani baadaye walivyogundua shobo mdundo lipo kwa ngozi nyeupe wakaacha ndiyo maana siku hizi utasikia wooote waliiiooomba ni wa ulaya
 
maneeno meeengi, hizo taarifa za funika kombe mwanaharamu apite zinazotolewa mtu akidakwa juu kwa juu katoka kucheki mechi taifa ,kama wako serious wamtambulishe kwa heshima kama wanavyofanya kwa makocha wenye ngozi nyeupe
Mchakato umesitishwa THEN WHAT? bado wanamuangaliangalia kama anafaa siyo? si watoe press release sasa?
Hivyo vi interview na mpalange online tvs nimeviona sana ni weeks 2 sasa mchakato umesitishwa HALAFU ? KOCHA MKUU KAPATIKANA KIMYAKIMYA SIYO BILA HATA PRESS RELEASE
Na wakishamtangaza rasmi tutapiga kelele apate marupurupu kama yale mataahira ya kizungu sababu mchakato wote umekaa kidharaudharau hadi sasa kwa mgunda
Wewe unataka hiyo press release watoe leo? Hiyo ni taasisi sio kikundi cha wahuni. Hiyo kauli ya Ahmed ipo wazi kwamba wamesitisha.

Simba ni taasisi, kama wameamua Mgunda awe kocha kuna process za menejimenti na bodi sio kuamka tu na kutangaza kwa sababu wewe umeanzisha uzi hapa.

Taarifa zimetolewa official media ikiwepo Clouds wewe unasema Mpalange TV!! Hujui kama hizo media zina usajili?
Taarifa na picha zinaonyesha Kocha wa Simba ni Mgunda, Simba na mashabiki wameridhishwa na Mgunda. Wazee kina Azzim wanasema Mgunda safi. MO kasema atazungumza na Mgunda masikilize. Sasa hizi chokochoko wewe unatoa wapi
 
Wewe unataka hiyo press release watoe leo? Hiyo ni taasisi sio kikundi cha wahuni. Hiyo kauli ya Ahmed ipo wazi kwamba wamesitisha.

Simba ni taasisi, kama wameamua Mgunda awe kocha kuna process za menejimenti na bodi sio kuamka tu na kutangaza kwa sababu wewe umeanzisha uzi hapa.

Taarifa zimetolewa official media ikiwepo Clouds wewe unasema Mpalange TV!! Hujui kama hizo media zina usajili?
Taarifa na picha zinaonyesha Kocha wa Simba ni Mgunda, Simba na mashabiki wameridhishwa na Mgunda. Wazee kina Azzim wanasema Mgunda safi. MO kasema atazungumza na Mgunda masikilize. Sasa hizi chokochoko wewe unatoa wapi
kwa hiyo uzi wangu unadhani nampinga mgunda au nataka awe treated kwa heshima kama yale mataahira ya kizungu yanyokimbiaga hovyohovyo na kusambaza majungu kwa makanjanja ya nje ya nchi?
 
kwa hiyo uzi wangu unadhani nampinga mgunda au nataka awe treated kwa heshima kama yale mataahira ya kizungu yanyokimbiaga hovyohovyo na kusambaza majungu kwa makanjanja ya nje ya nchi?
Ni wapi Mgunda kawa treated vibaya?! Mgunda aliajiliwa kama kocha wa muda,unadhani ku adjust makubaliano ni kufumba na kufumbua tu? Kuna michakato ya kitaasisi. Acheni mamlaka ifanye kazi yake
 
Acha kujiweka kwenye driving wheel ya Simba. Huna lolote la msaada kwa timu zaidi ya porojo na majungu hapa. Acha viongozi wapange na kuamua iwapendezavyo kwani ndio tuliowakabidhi timu.

Akija Kishingo ni sawa tu. Hawa caretaker coaches wanakuwa na mafanikio ya muda mfupi sana kabla ya kuanza kuharibikiwa (unajifanya kumsahau Ole Gunar wa Manchester United?

Umewasifia Gomez na Pablo ukasahau kuwa hao wamebebwa na msingi alioucha Kishingo. Kumbuka kuwa Kishingo ndiye kocha aliyekuja kumaliza tatizo la Simba kufungwa goli tano tano ugenini.

Wewe huyohuyo pamoja na Gentamycine mliwashambulia sana viongozi walipompa kazi hiyo Mgunda. Kifupi hamfai kuwa washauri wa Simba kwa lolote kwani mnaendeshwa na upepo unapoelekea. Tumechoshwa na kelele zako za hapa jukwaani. Simba itafanikiwa bila msaada wako.
Kishingo ndio kocha bora zaidi mgeni aliepita Msimbazi kwenye hii misimu mi5 iliyopita

Gomes alitembelea gia ya Kishingo na wachezaj walivyopungua akashindwa kutengeneza timu yake kwa players aliokuwa nao wakati husika

Hizi kelele zingine wanazoandika hawa wachafuzi wa soka wanaojiona wachambuzi ni kuwaacha tu

Ile timu iliyokwamia robo chini ya Gomes angekuwa Kishingo final tulikuwa tumeiona yule mwamba alijua kudeal hadi na wapiga shot

Wachezaji wakiwa mazoezini au kambini hakuna chawa anaeruhusiwa kufika.
 
Mimi hata akibaki Mgunda sioni mbaya muhimu tu apewe uhuru na kile anachohitaji ili kutekeleza kazi yake

Historia ya Kibadeni inaweza kujirudia tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom