Emma.
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 19,932
- 5,570
sina muda wa kushindana na tunda la mbio za mwengeHeeh! Kumbe nabishana na walevi
Tusipochukua hatua taifa litajaa wapumbavu.
Kwaheri.
sina muda wa kushindana na tunda la mbio za mwengeHeeh! Kumbe nabishana na walevi
Tusipochukua hatua taifa litajaa wapumbavu.
Kwaheri.
Watu wanahangaika na Dr wakati yeye mwenyewe alisema hatagombea
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/673656-dr-slaa-sina-mpango-wa-kugombea-urais-2015-a.html
Tuambie kama Kikwete alifunga ndoa na mamama wa hawa watoto wote hawa.Kwa uchache hawa ndio watoto wa JK, umri wao na mama zao walipo
1. Mustafa Jakaya 33-Kigoma
2. Mwanaharusi Jakaya-36-Kigoma
3. Isihaka Jakaya-34-Rukwa
4. Halfani Jakaya-31-Bagamoyo
5. Faudhia Jakaya-33-Dodoma
6. Siwema Jakaya-31-Mtwara
7. Faudh Jakaya -3-Iringa kwa Assas
8. Maulid Jakaya-18-Tabora
9. Salama Jakaya-33-Mama alifariki
10. Ridhiwani 36-Mama hajulikani
11. Miraji Kikwete 33- Mama hajulikani
12. Mwanaasha Jakaya- 18- Chalinzr
14. Pili-6-Ikulu
15. Havintishi-5-Ikulu
16. Mwalusembe-4-Ikulu
17. Hafidh 16-Ikulu
Watu wanahangaika na Dr wakati yeye mwenyewe alisema hatagombea
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/673656-dr-slaa-sina-mpango-wa-kugombea-urais-2015-a.html
Umaweza kupiga mahesabu mwenyewe tuu kwa vile umeshapewa tarehe ya kuzaliwa. Ila ni rika lako tuu, hamjaachana sana.
Dr slaa ndiye raisi wa awamu ya tano
Tuambie kama Kikwete alifunga ndoa na mamama wa hawa watoto wote hawa.Kwa uchache hawa ndio watoto wa JK, umri wao na mama zao walipo
1. Mustafa Jakaya 33-Kigoma
2. Mwanaharusi Jakaya-36-Kigoma
3. Isihaka Jakaya-34-Rukwa
4. Halfani Jakaya-31-Bagamoyo
5. Faudhia Jakaya-33-Dodoma
6. Siwema Jakaya-31-Mtwara
7. Faudh Jakaya -3-Iringa kwa Assas
8. Maulid Jakaya-18-Tabora
9. Salama Jakaya-33-Mama alifariki
10. Ridhiwani 36-Mama hajulikani
11. Miraji Kikwete 33- Mama hajulikani
12. Mwanaasha Jakaya- 18- Chalinzr
14. Pili-6-Ikulu
15. Havintishi-5-Ikulu
16. Mwalusembe-4-Ikulu
17. Hafidh 16-Ikulu
Waulize RC waliompa Upadre,waulize CCRBT walimpa cheo kwa weledi gani,waulize Karatu walimpaje Ubunge,waulize pia watanzania walimpaje Urais 2010 akiwa hana weledi.Hivi Padri Slaa ni mtaalamu wa jambo gani? Maana Jk ni mchumi,Lipumba ni mchumi..hivi Slaa ni mtaalam wa jambo gani?
heeh kumbe JK ni mchumi,mpe hongera kwa kukuza dhamani ya TSH,toka 1200/USD ile 2005 mpaka 1900/USD this tym.mpe hongera kwa mchumi kuita TSH pesa ya madafu.mpe heko kutumia principles za uchumi kuongeza nafasi za ajira kwa kuleta wachina kufanya umachinga.mpe hongera sana Mchumi kwa kujiombeleza Ulaya,sasa hiyo ya kujiombeleza ni principle mpya ameianzisha kwenye uchumi.mana Economics haiongei kabisa kuhusu BeggingMaana Jk ni mchumi
Ni propaganda mfu. Imemezwa na kutamkwa bila ya utafiti. Dr.Wilbrod Slaa wa CHADEMA amezaliwa tarehe 29/10/1948. Eti anaitwa babu. Huku ni kuishiwa kwa hoja. CCM hatukufika hapo. Tazama baadhi ya waandamizi wa kwetu wa CCM ambao wengine wanatajwa kuwa wagombea Urais na uone Dr.Slaa alivyo kijana:
-Wasira (amezaliwa 1945. Ni miaka mitatu kabla ya Dr Slaa)
-Mangula (mwaka wake wa kuzaliwa hauko wazi lakini ni mkubwamnokwa Dr. Slaa)
- Sitta (amezaliwa tarehe 18/12/1942 miaka zaidi ya mitano kabla ya kuzaliwa kwa Dr. Slaa)
-Pinda (amezaliwa tarehe 12/8/1948 akimzidi miezi miwili Dr. Slaa)
-Kinana (mwaka wake wa kuzaliwa hauko wazi ingawa kuna habari kuwa amelitumikia Jeshi la Wananchi kwa miaka takribani 20 hadi alipong'atuka 1972. Kimahesabu, naye umri umekwenda)
Kuna orodha ndefu ya waandamizi chamani ambao ni wakubwa wa Dr. Slaa wa CHADEMA lakini hawaitwi 'babu'. Ni propaganda za kitoto sana. Niwaase wanachama wenzangu wa CCM na wakereketwa wetu kuachana na jina dhafu hilo kwa Dr.Slaa. Sisi tuna kaka na dada zake wengi tu ndani ya CCM. Nasi tuwaitaje?
Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Dodoma)
Hivi Padri Slaa ni mtaalamu wa jambo gani? Maana Jk ni mchumi,Lipumba ni mchumi..hivi Slaa ni mtaalam wa jambo gani?
Mkuu sijapaniki,rejea post niliyomkoti huyo dogo.rejea pia historia yake humu.nimempa haki yake.alikuwa anajiita MSALANI kabla ya Mods kumbadilishia ID kinguvu
- Ukitaka umri wangu fungua thread yake hii ni thread mliyoileta wenyewe naomba kujua Dr. Silaa ana miaka mingapi please?
Le Mutuz
MUSSA ALLAN is formerly msalani ? Amazing innovative!
- Nimeuliza swali tu kama hamuwezi kulijibu inaeleweka hahahahahahahahah U know
Le Mutuz