Kama Dr.Slaa ni 'babu', hawa wetu tuwaitaje?

Kama Dr.Slaa ni 'babu', hawa wetu tuwaitaje?

Mkuu Mandate ya kusema Nape ni mtoto wa Moses Nnauye umetoa wapi ikiwa hata familia ya Marehemu haikumtaja kwenye gazeti wakati wa kutoa shukrani? Mkuu chunga ulimi wako Yule Mnyaki mwenye mwanaye anakuangalia kwa jicho la hasira sana
Nape ni mtoto kutoka kwa mwanamke aliyekuwa mchepuko wa mzee Nauye wakati alipokuwa singida miaka hiyo. Sasa nape kutokutajwa kwenye hilo gazeti kama mwanafamilia sababu wanaijua wenyewe.. Lakini ukatae ama ukubali huo ndiyo ukweli.. Mambo hadharani
 
Mkuu Mandate ya kusema Nape ni mtoto wa Moses Nnauye umetoa wapi ikiwa hata familia ya Marehemu haikumtaja kwenye gazeti wakati wa kutoa shukrani? Mkuu chunga ulimi wako Yule Mnyaki mwenye mwanaye anakuangalia kwa jicho la hasira sana

ahahaaaahaa....!
 
Mtu ambae anaishi bila ndoa ktk vitabu vya dini anaitwaje?
Tumia lugha rahisi ambayo itamfanya aelewe siyo vizuri kwako na kwangu mama zetu hawahusiki na upuuzi tunaoufanya.

Kwaiyo mama yako alikuwa mzinzi kabla hujazaliwa? Huyo unaemwita baba ni baba yako kweli au kachomekewa?
 
Mtu ambae anaishi bila ndoa ktk vitabu vya dini anaitwaje?
Tumia lugha rahisi ambayo itamfanya aelewe siyo vizuri kwako na kwangu mama zetu hawahusiki na upuuzi tunaoufanya.

Kumbe wewe unafanya upuuzi humu jamvini? ulitakiwa kudeclare interest mapema.
 
Back
Top Bottom