Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,016
- 9,885
Imagine watu wanataka kupata radha, ubunifu na vipindi tofauti. Uzinduzi umefanyika halafu kitu kisipatikane. Kwanza niseme nimetune channel hiyo zaidi ya mara sita ila sisikii kitu, kwenye kurasa za Crown FM sioni content, Inaonekana kama ilizundiliwa kuwaweka watu tayari wakati wenyewe wakiwa hawako tayari.
Nilitarajia siku ya uzinduzi mitambo iwashwe watu tuanze kusikiliza music wakati watangazaji wanajipanga kuleta vipindi. Anyway, inawezekana radio yangu mbovu, ila kama kweli hii crown FM ilizinduliwa bila kuwa tayari watakuwa wamefeli kwa kuwa wasikilizaji waliokuwa tayari kusikiliza watakuwa tayari wamechoka kuitafuta mara kwa mara na kuichoka.
Kifupi ni poor marketing strategy.
Nilitarajia siku ya uzinduzi mitambo iwashwe watu tuanze kusikiliza music wakati watangazaji wanajipanga kuleta vipindi. Anyway, inawezekana radio yangu mbovu, ila kama kweli hii crown FM ilizinduliwa bila kuwa tayari watakuwa wamefeli kwa kuwa wasikilizaji waliokuwa tayari kusikiliza watakuwa tayari wamechoka kuitafuta mara kwa mara na kuichoka.
Kifupi ni poor marketing strategy.