Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
- Thread starter
- #41
Matokeo ya magonjwa mengi duniani yana vyanzo viwili tu. Ama uambukizo unaoletwa na vimelea, Bakteria au virusi na kwa upande mwingine ni Urithi. kwa mfano magonjwa kama kisukari vipo vinavyosababishwa na ulaji wa hovyo na kipo kisukari cha kurithi........ I was about to ask the same question, kuna uhusiano gani ya mkorogo na kuota ndefu, mbona tokea zamani kabla ya mikorogo kuna baadhi ya wanawake walikuwa na ndevu..........tena kuna koo nyingine wanawake wote wana ndevu.
Midevu ya wanawake inayowatoka siku hizi mingi yake inasababishwa na Mikorogo au Contraceptives Pills. Mbona hizi dawa za kuongeza siku kwa ndugu zetu wenye UKIMWI zinawatoa wanaume matiti? Ndevu za urithi kwa wanawake haziko kama hizi zinazosababishwa na mikorogo. CHUNGUZA! Kuna tafiti zimefanyika kwenye nchi za Francophone ziimethibitisha hilo. Huko tatizo hilo ni kubwa sana.