The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,072
Hahaha! Mwizi kaingia mwizi lolkuna watu wa kuwazidi maarifa but sio uporoto.....
uporoto akiibiwa,itakuwa kwa mwizi kaingia mwizi lol
Hahaha! Mwizi kaingia mwizi lolkuna watu wa kuwazidi maarifa but sio uporoto.....
uporoto akiibiwa,itakuwa kwa mwizi kaingia mwizi lol
Dah! Arifu si Kloro aliniambia umekamatwa Igungaarifu punguza spidi umeshaambiwa una shemeji na shemeji lenyewe ndio mimi hebu geuzia hapohapo urudi ulikotoka lol!
waafrika tutaendelea kweli ? ukitoka kidogo jamaa wanamsumbua sweety.kuna watu wa kuwazidi maarifa but sio uporoto.....
uporoto akiibiwa,itakuwa kwa mwizi kaingia mwizi lol
kama nimekamatwa wewe si wa kunisaidia mkuu badala ya kumsumbua shemeji yako ?Dah! Arifu si Kloro aliniambia umekamatwa Igunga
waafrika tutaendelea kweli ? ukitoka kidogo jamaa wanamsumbua sweety.
kama nimekamatwa wewe si wa kunisaidia mkuu badala ya kumsumbua shemeji yako ?
Hhahaha!!! Boss Boss Kungekuwa hakuna ushikaji kabisauporoto laiti kama ingewezekana watu kufa na kuona yanayotokea wakisha kufa
kungekuwa hakuna watu wenye marafiki.......
mkeo hutaamini nani atakae kurithi ukishakufa....unbelievable.....lol
Very true,kuna mzee mmoja alimsaidia kijana kibiashara na akawa anahisi yule kijana anatembea na mkewe,mzee aliugua na alipokaribia kufa akasema ndugu naomba mnihakikishie mke wangu na huyu kijana nikifa wasiwe pamoja.Kweli mzee kufariki tu baada ya miezi 4 mke akauza kila kitu na kuhamia na kijana UK.uporoto laiti kama ingewezekana watu kufa na kuona yanayotokea wakisha kufa
kungekuwa hakuna watu wenye marafiki.......
mkeo hutaamini nani atakae kurithi ukishakufa....unbelievable.....lol
Nilijua hauwezi kuachiwa kwa dhamana kwahiyo lazima utest zali lolwaafrika tutaendelea kweli ? ukitoka kidogo jamaa wanamsumbua sweety.
kama nimekamatwa wewe si wa kunisaidia mkuu badala ya kumsumbua shemeji yako ?
Njaa tu rafiki kule si nilipelekwa kwenda kufundisha mbinu mpya za uibaji kura baada ya hawa wapinzani kustukia ile mbinu ya mwaka 47 ya kuorodhesha vitambulisho na kuwatisha wanavijiji wakiwapa kura upinzani tutajua lol!Nilijua hauwezi kuachiwa kwa dhamana kwahiyo lazima utest zali lol
Very true,kuna mzee mmoja alimsaidia kijana kibiashara na akawa anahisi yule kijana anatembea na mkewe,mzee aliugua na alipokaribia kufa akasema ndugu naomba mnihakikishie mke wangu na huyu kijana nikifa wasiwe pamoja.Kweli mzee kufariki tu baada ya miezi 4 mke akauza kila kitu na kuhamia na kijana UK.
Imenibidi nicheke tuVery true,kuna mzee mmoja alimsaidia kijana kibiashara na akawa anahisi yule kijana anatembea na mkewe,mzee aliugua na alipokaribia kufa akasema ndugu naomba mnihakikishie mke wangu na huyu kijana nikifa wasiwe pamoja.Kweli mzee kufariki tu baada ya miezi 4 mke akauza kila kitu na kuhamia na kijana UK.
kama nyie wanaume msingekuwa mnawaona wanawake weupe ni wazuri zaidi naamini kabisa rate ya wanaojichubua ingepungua.
cha kusikitisha zaidi kijana alikuwa hana kitu mzee akamkaribisha kwake,akamfundisha biashara na kumfungulia supermarket alichoambulia ni kijana kuchafua nyumba yake,soo sad nilimfahamu mzee huyu.mzee wa watu alikufa kwa presha kumbe
cha kusikitisha zaidi kijana alikuwa hana kitu mzee akamkaribisha kwake,akamfundisha biashara na kumfungulia supermarket alichoambulia ni kijana kuchafua nyumba yake,soo sad nilimfahamu mzee huyu.
....... I was about to ask the same question, kuna uhusiano gani ya mkorogo na kuota ndefu, mbona tokea zamani kabla ya mikorogo kuna baadhi ya wanawake walikuwa na ndevu..........tena kuna koo nyingine wanawake wote wana ndevu.Mkorogo ndio unaosababisha ndevu kwa wanawake?
Duh maziwa ya kitimoto?
Na mimi ntapenda jao niuone tu huo mkorogo wa kitimoto.
....... I was about to ask the same question, kuna uhusiano gani ya mkorogo na kuota ndefu, mbona tokea zamani kabla ya mikorogo kuna baadhi ya wanawake walikuwa na ndevu..........tena kuna koo nyingine wanawake wote wana ndevu.