chimela
Member
- Jul 14, 2016
- 63
- 142
Wale wataalamu wa mambo ya kidini awe Muislam au Mkristo au hata Mhindu naomba kueleweshwa kuhusu Peponi na Jehanamu.
Imekua kawaida ya binadamu kujizungumzia yeye mwenyewe kwamba ndio ataenda peponi au Jehanamu lakini tukirudi katika vitabu vya dini tunaambiwa Mungu alituumba sisi pamoja na wanyama wengine kama Ng'ombe,Kuku, Mbwa nk.
Sasa swali langu ni je baada ya hao wanyama kufa either kwa kuliwa na sisi binadamu au kwa namna nyingine nao wataenda Mbinguni ?
Imekua kawaida ya binadamu kujizungumzia yeye mwenyewe kwamba ndio ataenda peponi au Jehanamu lakini tukirudi katika vitabu vya dini tunaambiwa Mungu alituumba sisi pamoja na wanyama wengine kama Ng'ombe,Kuku, Mbwa nk.
Sasa swali langu ni je baada ya hao wanyama kufa either kwa kuliwa na sisi binadamu au kwa namna nyingine nao wataenda Mbinguni ?