Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,304
- 14,913
Mm mpaka Leo bado sielewi Ni Nani akiyeturoga hebu fuatilia mjadala huu
BUNGENI 2013 tunahitaj hat ya dharura kijadili uwekezaj na uchimbaj wa gesi huko mtwara msimbati Kwan suala hili n nyeti Sana na taifa litanufaika Sana umeme utauzwa Bei ndogo Sana
KAMBI YA UPINZANI BINGENI.2013 jaman hatuna haja ya kiharakaisha hili Jambo lazima tulipe muda zaidi ili tujue kila kitu faida na hasara
WABUNGE WA CCM 2013 nyie wapinzan wapinga maendeleo kabisa nchi hi neema imepatikana mnapinga pinga kila kitu je hamtaki umeme was Bei ya chin tujenge mashule n.k
SERIKALI YA MAGUFULI 2015 -2021
Gesi ya ya kusini haina faida kwetu n mrad wa kifisadi hauna tija na sijui kwann waliingia mkataba ule watanzania tutajenga bwawa letu la umeme na umeme tutauza nje tupate fedha za kigeni
SERIKALI YA SAMIA S HASAN 2021
Tunatarajia kupata wawekezaj wa uchimbaj wa gesi huko kisin tutapata faida nyingi Sana watanzania tuungane pamoja Kwan umeme utashuka na Bei ya gesi itapungua Sana
Watanzania ufike wakati tumjue adui yetu n Nani
BUNGENI 2013 tunahitaj hat ya dharura kijadili uwekezaj na uchimbaj wa gesi huko mtwara msimbati Kwan suala hili n nyeti Sana na taifa litanufaika Sana umeme utauzwa Bei ndogo Sana
KAMBI YA UPINZANI BINGENI.2013 jaman hatuna haja ya kiharakaisha hili Jambo lazima tulipe muda zaidi ili tujue kila kitu faida na hasara
WABUNGE WA CCM 2013 nyie wapinzan wapinga maendeleo kabisa nchi hi neema imepatikana mnapinga pinga kila kitu je hamtaki umeme was Bei ya chin tujenge mashule n.k
SERIKALI YA MAGUFULI 2015 -2021
Gesi ya ya kusini haina faida kwetu n mrad wa kifisadi hauna tija na sijui kwann waliingia mkataba ule watanzania tutajenga bwawa letu la umeme na umeme tutauza nje tupate fedha za kigeni
SERIKALI YA SAMIA S HASAN 2021
Tunatarajia kupata wawekezaj wa uchimbaj wa gesi huko kisin tutapata faida nyingi Sana watanzania tuungane pamoja Kwan umeme utashuka na Bei ya gesi itapungua Sana
Watanzania ufike wakati tumjue adui yetu n Nani