CM 1774858
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 4,984
- 4,083
- Thread starter
- #121
Hueleweki ndg,Una post makala nakuji pongeza mwenyewe mda ukifika utaongea. J.kifungio bwana
Hueleweki ndg,Una post makala nakuji pongeza mwenyewe mda ukifika utaongea. J.kifungio bwana
Mama is here to stayWe utakuwa huna akili kabisa,,unadhani magufuli angekubalika na tume ya uchaguzi bila kuwepo samia!!!? Yani iko hivi hakuna Magufuli bila samia na hakuna samia bila magufuli.Chuki haitakusaidia na Samoa bado tunae sana tu mpaka 2030 utakoma.Anachonikera ni kimoja tu Kushindwa kujua Kwamba mzee Mbowe anasingiziwa ugaidi na wapumbavu akina Sirro
Kila kona watu wamemwelewa mama,Hata huku mtaa wa kitenge kata ya majengo sifa kemkem
Haya maneno kama maneno tuNinamaanisha mchina alikuwa anajuvhukulia bure. Baada ya yule binamu yenu kukamatwa na ngada china
SijuiHayati Rais Magufuli aliwahi kusema, "...Kwenye gesi huko tumeishapigwa...!" Sijui alimaanisha nini Mzalendo Mwamba Jiwe yule!
Mkuu gesi ipo,Hiyo gesi ilikuwa inapigwa kimya kimya na mchina wakati wa serikali ya awamu ya 4; usitegemee jipya hapo.
Watu walioko karibu na mradi pamoja na wanajeshi walipokuwa wanalinda eneo husika wanalijua hili
We utakuwa huna akili kabisa,,unadhani magufuli angekubalika na tume ya uchaguzi bila kuwepo samia!!!? Yani iko hivi hakuna Magufuli bila samia na hakuna samia bila magufuli.Chuki haitakusaidia na Samoa bado tunae sana tu mpaka 2030 utakoma.Anachonikera ni kimoja tu Kushindwa kujua Kwamba mzee Mbowe anasingiziwa ugaidi na wapumbavu akina Sirro
"Anachonikera ni kimoja tu Kushindwa kujua Kwamba mzee Mbowe anasingiziwa ugaidi na wapumbavu akina Sirro"We utakuwa huna akili kabisa,,unadhani magufuli angekubalika na tume ya uchaguzi bila kuwepo samia!!!? Yani iko hivi hakuna Magufuli bila samia na hakuna samia bila magufuli.Chuki haitakusaidia na Samoa bado tunae sana tu mpaka 2030 utakoma.Anachonikera ni kimoja tu Kushindwa kujua Kwamba mzee Mbowe anasingiziwa ugaidi na wapumbavu akina Sirro
Kwani Rais Samia ndio Mahakama mkuu?"Anachonikera ni kimoja tu Kushindwa kujua Kwamba mzee Mbowe anasingiziwa ugaidi na wapumbavu akina Sirro"
Hii nukuu yako ni ushahidi tosha asiye na akili ni wewe! Maana kama huyo Rais wako anashindwa kutambua jambo jepesi kama hili, sasa ana sifa gani ya kuchaguliwa siku za usoni kukikalia hicho kiti kihalali?
Hajui kitu huyoUnamaanisha gesi hakuna Mtwara?
Yaani huna unachoelewa na huna hoja.Mkuu gesi ipo,
Ndio maana watu wabajadili hizo HGA,
Huna hoja.Haya maneno kama maneno tu
Hii kesi ilitungwa na mrundi Magufuli,,,Pamoja na kuchukia yanayompata Mbowe kwa sasa ila nina Imani Samia ashajua cha kufanya"Anachonikera ni kimoja tu Kushindwa kujua Kwamba mzee Mbowe anasingiziwa ugaidi na wapumbavu akina Sirro"
Hii nukuu yako ni ushahidi tosha asiye na akili ni wewe! Maana kama huyo Rais wako anashindwa kutambua jambo jepesi kama hili, sasa ana sifa gani ya kuchaguliwa siku za usoni kukikalia hicho kiti kihalali?
Mkuu hebu tuambie unachoelewaYaani huna unachoelewa na huna hoja.
Ummenda huko umepewa makala uje utuwekee huku siku iende.
100% nakuunga mkonoHii kesi ilitungwa na mrundi Magufuli,,,Pamoja na kuchukia yanayompata Mbowe kwa sasa ila nina Imani Samia ashajua cha kufanya
Nakubaliana na wewe 100%100% nakuunga mkono
Mama hana hatia mbele za Mbowe kabisa na Mimi ni Chadema
Mnaaminishaga watu upuuzi kwa propaganda zenu za lishamba!! Mnashika mazuzu lknUko sahihi mkuu,
Namuona Rais Samia akitikisa ndani na nje ya Tanzania,
Ipo siku tutanunua gesi kwa buku ten tu Kg 30.
Kazi iendelee
Noah, HahahaMnaaminishaga watu upuuzi kwa propaganda zenu za lishamba!! Mnashika mazuzu lkn
Embu tupeni kwanza zile Noah zetu.... jinga sana