Kakataa Mwaliko!!

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Mar 10, 2006
33,475
39,987
Nimetoa mwaliko kwa Rais wetu kuzungumza na Watanzania ambao hawajapata nafasi ya kumsikia na kusikia maoni yake juu ya mambo mbalimbali. Hususan:

a. Msiba wa Walter na Vonettha
b. Mahusiano kati ya Ubalozi wetu DC na watanzania hapa
c. Mafanikio ya ziara yake hapa
d. Msimamo wa TZ kuhusu mambo mbalimbali ya Kimataifa, hususan kuhusu habari ya kuwa Tanzania imekubali kupeleka majeshi Darfur
e. Masuala ya Kiuchumi ya Tanzania

Mahojiano yalikuwa ni maswali ya moja kwa moja hakuna kuzungukana, lakini jibu nililopatiwa na mmoja wa waandishi wa Rais ni kuwa "Rais hana muda"! Sijui hata kama wamemuuliza? Nimeomba dakika 15-20 za muda wake... Au hadi arudi nyumbani?

Watanzania wanaosikiliza KLH News zadi ya 600! na wanazidi kuongezeka wangependa kumsikia Rais wao badala ya kuambiwa na vyombo vya habari vya BBC, VOA, Boston Globe, n.k Zungumza nasi, Mr. President kabla hujaondoka. Let your people talk to my people and we'll make this happen


Please!!!

M. M. Mwanakijiji
 
Hapohapo ungaliuliza maswala ya

Mikataba,Kugushi zile PhD, Umeme,Mahakama ya Kadhi,Mapanki, Utumikwashwaji wa watoto wadogo Mererani,Pesa kushuka mno,Sakata la NSSF,Ununuzi wa ndege mpya,Salma kutumia pipa lile kwenda kunywa kahawa na Muswati,Ajira kwa vijana ,JK kaota si mjinga maana angalipata kibano kikali .
 
As populist leader, JK would naturally not accept such a show. Those prez aides have done their homework. They could lose their positions to engage in the arrangement of such kitimoto for president.
 
Usikate tamaa kumtafuta akikushinda mtafute PM wake ambaye hatajua nini utauliza na ummalize .Ukimpata usiache kumuuliza juu ya rushwa na yeye kuwaita wabunge pembeni na hata kuwatisha wananchi akiwa ziarani wale ambao wanaona serikali haijafanya kweli .Muulize pia 60m alizotoa na wale wanafunzi walio rudi makwao kwa kisa cha serikali kukosa pesa .
 
A free show like mine, where the episode can be emailed to hundreds of Tanzanians, a show that is free, no commercial or profit is made... a show that reaches over 50 countries and more.. it doesn't hurt!! Someone who knows about this show might have tipped the President!! I hope watabadili msimamo na kuzungumza nasi kabla hawajaondoka...!
 
Rais wetu ni kilaza, huwa akubali kiraisi maswali ya moja kwa moja.Kumbuka kipindi cha kampeni ya urais alialikwa kwenye mdaharo yeye ma viongozi wa vyama vya upinzani kama Prof Lipumba lakini KJ alitoa nje.
 
kumbuka pia kwenye discussion na BBC in South Africa, mwenyewe nilitaka kuingia chini ya uvungu.........maana swali liliulizwa halafu JK akaombwa atoe mtizamo wake..........basi yeye kwa haraka and i quote......... "the question has already been answered"............end of quote, ikabidi vijana wake waingilie kati kunyambua swali na kutoa mtizamo wa TZ.
kwa hiyo Mwanakijiji wee endeleza juhudi zako one day yes!
 
usisahau kumuuliza...kwann nchi yetu.........ina noti za aina mbili.....ya zamani na ya sasa.
#i hate my president
 
JK will not going to accept the invitation, unless the questions handed to him a week before mahojiano!! Otherwise forget to meet JK for questioning
 
Back
Top Bottom