Jaribu uwaelewe,,, shida mnakuwa na wengi kwahiyo ule muda wa kumchunguza na kumjua vizuri huyo mmoja huku kuna michepuko inakukeep busy unajikuta unafanya mambo rasharasha.wanawake kwa kweli hawaeleweki kabisa, Ukisema usifanye pupa ndio wengine hukuona boya. Kwa kweli hawaeleweki kabisa.
Hahahahaaaaa,akishtuka kashaliwaWala siyo haraka ni mfumo tu ambao wengi tumeamua kutumia inaitwa "counter attack" sijui inaandikwa hivyo
Yaani hapo unaanza mashambulizi kabla hajaanza kuwa yatima,
Huo ndio ujumbe wa mabahariaWe mwenyew bado mvulana, hii mada ya wanaume
Wwe kwani Mpelelezi hadi unachunguza hivyo,Nini hasa unachotaka kufind out!?Jaribu uwaelewe,,, shida mnakuwa na wengi kwahiyo ule muda wa kumchunguza na kumjua vizuri huyo mmoja huku kuna michepuko inakukeep busy unajikuta unafanya mambo rasharasha.
Jaribu uwaelewe,,, shida mnakuwa na wengi kwahiyo ule muda wa kumchunguza na kumjua vizuri huyo mmoja huku kuna michepuko inakukeep busy unajikuta unafanya mambo rasharasha.
Hahahahaaaa,mkuu unikumbusha kuna kaka yangu alimtongoza demu akakubaliwa.Akaona ajifanye mstaarabu asiombe mzigo mapema ila demu akiwa na shida anamtatulia.Baadae akiomba mzigo demu haishiwi sababu lakini kaka akiwa vijiweni anasikia tu wahuni wanajipigia tu, yeye akiomba sababu kibao.wanawake kwa kweli hawaeleweki kabisa, Ukisema usifanye pupa ndio wengine hukuona boya. Kwa kweli hawaeleweki kabisa.
Hakuna siku nzuri na muhimu kuliko zote kama 'LEO'Wanawake wanatuonaga sisi ndio wenye uhitaji sana wa hilo swala. Ila kutongoza leo kesho kuomba game mara nyingi ni unakuwa umemdharau muhusika.
Imeisha iyo wala si porojo mkuu, point ya msingi haitakiwi kuwa na pupa na pisi hiziMzee godimpare stori itaendelea au ndo imeisha, maana umeongea porojo bila pointi ya msingi!
Unajua ku bet wewe?Tumegongana Mara kadhaa kwenye mwendokasi tena kwa bahati tukakaa seat moja kila siku, akili yako ikajisolve uombe namba kwa huyo binti, siku uliyoomba namba usiku wake mkachart ukimtaka mkutane kwenye lounge moja wapo, binti bila hiana kakubali.
Siku ilipowadia mkakutana full enjoi hapohapo handsome ukamtongoza binti mpaka machozi, binti amekubali. Mkarejea home.
Ikumbukwe binti mwenyewe misimamo akikukubalia siku hiyo hiyo uliyomtongoza na akikujibu 'OK' hiyo huwa haimaanishi. Anataka akuchunguze kwanza.
Kidume unarudi home na furaha, usiku wake hapohapo unaanza kumtext ghafla na KOSA kubwa ambalo nimewaita mlijue ni ukateleza na kumwambia " lini utakuja kwangu" ukiunganisha na maneno ya "mwenzio inadinda sana".
Kwakuwa binti alisema " OK " ila hakumaanisha nia ni kukuchunguza kwanza hapohapo kama alikuwa kakupanga kwenye list ya uwe mume wa ndoa Kweli atapangua na kukufanya mchunwaji.
Ndio utasikia dem nimemtongoza Jana leo kaomba pesa, kaka zangu ni nyie tu mnajitengeneza hiyo hali, Hakuna mwanamke asiye na akili utongoze asubuhi usiku uombe namna ya kupata game badala ya namna ya kujenga uhusiano wenu.
NB: Unavomchukulia mwanamke aliekuomba hela baada ya kumtongoza tu ndivyo na wanawake wanavyo wafikiria kuomba game baada ya kumtongoza.