Kaka yangu wa ughaibuni amenitenga

Kaka yangu wa ughaibuni amenitenga

embojo

Senior Member
Joined
Mar 12, 2014
Posts
175
Reaction score
41
Nina kaka wa damu ughaibuni ila amenitenga na hivyo hatuna mawasiliano mazuri kwa mda sasa.Huyu Jamaa wakati Maza alifariki tulijadiliana aende ughaibuni kwa kuchukua fedha alizoacha marehemu mama kwa ajili ya yeyey na Mimi kusaidiana,sasa amenitenga na ni Kama amenisahau na tunazaliwa wawili tu kwa baba na mama.Naskia hasira na ma chungu nkimkumbuka Jamaa na amenisababisha kuhate all diasporas will all my heart

Wakati mwingine nadiriki kusema wamemloga braza wangu
 
Usilaumu kabla hujajua huko alipo hali ikoje.., sio kila anayekwenda nje anafanikiwa huko maisha nayo ni magumu, pia sometimes lawama zetu na over-expectations ndizo zinazompelekea mtu kukata mawasiliano sababu kila mkiwasiliana au akirudi ni lawama mwanzo mwisho
 
Wewe kubali yaishe...kama ikitokea akakupa maelezo au kuliongelea basi mtapata pa kuanzia.

Hata hivyo, ni muhimu kutambua kuwa kwenda ulaya ni jambo na kutimiza ndoto zako na mawenge wenge yako ni jambo jingine!

Mwombee ndugu yake aendelee kuwa hai!
 
Nina kaka wa damu ughaibuni ila amenitenga na hivyo hatuna mawasiliano mazuri kwa mda sasa.Huyu Jamaa wakati Maza alifariki tulijadiliana aende ughaibuni kwa kuchukua fedha alizoacha marehemu mama kwa ajili ya yeyey na Mimi kusaidiana,sasa amenitenga na ni Kama amenisahau na tunazaliwa wawili tu kwa baba na mama.Naskia hasira na ma chungu nkimkumbuka Jamaa na amenisababisha kuhate all diasporas will all my heart



with or will?? sijaelewa hapo.....


Ila hii mada ilivyokaa itarudisha watu misri toka kanani
 
Nina kaka wa damu ughaibuni ila amenitenga na hivyo hatuna mawasiliano mazuri kwa mda sasa.Huyu Jamaa wakati Maza alifariki tulijadiliana aende ughaibuni kwa kuchukua fedha alizoacha marehemu mama kwa ajili ya yeyey na Mimi kusaidiana,sasa amenitenga na ni Kama amenisahau na tunazaliwa wawili tu kwa baba na mama.Naskia hasira na ma chungu nkimkumbuka Jamaa na amenisababisha kuhate all diasporas will all my heart

Pole sana!
Hata ulaya kuna shinda mkuu,
usidhani ameyapatia huenda anatabika zaidi Yako Huku bongo!
kumbuka kwenye TV hutokaa uone Mateso wanayopata zaidi ya wanavyopenda raha ila amini ulaya kuna shida tena sometime ni zaidi hata ya bongo hasa Kama huna cha Kufanya!
 
Una lako jamboo wewee naona mnakuja na style nyingii na badoooooo,sie wengine tuna ndungu zetu huko wanatujaliii sanaaa, kwa hiyo huyo kaka yako ni roho yakee tu kama marehemu Lukindo
 
malizaneni wenyewe kila mtu akianza kuleta matatizo yake ya kifamilia itakuwaje?
 
Nina kaka wa damu ughaibuni ila amenitenga na hivyo hatuna mawasiliano mazuri kwa mda sasa.Huyu Jamaa wakati Maza alifariki tulijadiliana aende ughaibuni kwa kuchukua fedha alizoacha marehemu mama kwa ajili ya yeyey na Mimi kusaidiana,sasa amenitenga na ni Kama amenisahau na tunazaliwa wawili tu kwa baba na mama.Naskia hasira na ma chungu nkimkumbuka Jamaa na amenisababisha kuhate all diasporas will all my heart

Mtaje jina achanike live hapa kama kweli umemmaind!!!!
 
Nina kaka wa damu ughaibuni ila amenitenga na hivyo hatuna mawasiliano mazuri kwa mda sasa.Huyu Jamaa wakati Maza alifariki tulijadiliana aende ughaibuni kwa kuchukua fedha alizoacha marehemu mama kwa ajili ya yeyey na Mimi kusaidiana,sasa amenitenga na ni Kama amenisahau na tunazaliwa wawili tu kwa baba na mama.Naskia hasira na ma chungu nkimkumbuka Jamaa na amenisababisha kuhate all diasporas will all my heart

jinyonge!
 
labda na yeye kafulia ..mimi nawajua watu wengi tu waliopo abroad ambao hata nauli ya kurudi hawana
 
labda na yeye kafulia ..mimi nawajua watu wengi tu waliopo abroad ambao hata nauli ya kurudi hawana

Na mie nawajua wengi tu waliopo abroad wana pesa za naulii na huja bongo mara nyingii tuuu
Cc Nyani @ngabu
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom