Nina kaka wa damu ughaibuni ila amenitenga na hivyo hatuna mawasiliano mazuri kwa mda sasa.Huyu Jamaa wakati Maza alifariki tulijadiliana aende ughaibuni kwa kuchukua fedha alizoacha marehemu mama kwa ajili ya yeyey na Mimi kusaidiana,sasa amenitenga na ni Kama amenisahau na tunazaliwa wawili tu kwa baba na mama.Naskia hasira na ma chungu nkimkumbuka Jamaa na amenisababisha kuhate all diasporas will all my heart
Wakati mwingine nadiriki kusema wamemloga braza wangu
Wakati mwingine nadiriki kusema wamemloga braza wangu