Vaa barakoa
Nawa mikono kwa sabuni na maji,
Epuka mikusanyiko
Muombe Mungu
Ungemalizia na chanjo kabisa mkuu.
Vaa barakoa
Nawa mikono kwa sabuni na maji,
Epuka mikusanyiko
Muombe Mungu
CHANJO muhimu kaka....Pole sana mkuu. Kasema SSH wanaobeza jitihada za huu ugonjwa ni vile hawajaguswa.
Tupate chanjo wakuu ugonjwa udhibitiwe kwanza.
Mengine baadaye.
#TujitokezeniKuchanjwaUngemalizia na chanjo kabisa mkuu.
Tunachanjiwa wapi?#TujitokezeniKuchanjwa
Uyole huku tunazika daily afu bado watu hawasanuki yaan.Daaa
Most likely ni Minyoo hiyo mkuu. Nenda hospitali wakupe Zantel ya majiPoleni sana, leo mimi najisikia ovyo kweli nimetapika angalau najisikia nafuu sijui ndiyo yenyewe dah
Pole Sana ila hii staili ya corona kuua kwa sasa bora kuchanja maana sasa unafariki ukiwa mzimaKaka yangu kafariki jioni hii kwa covid 19 hospital ya Bugando mwanza hakika ni majonzi makubwa sana.
Alifikishwa hapo kwa matatizo ya uchovu tu na kwenda kucheki na hakupelekwa na mtu alienda akiendesha gari yake mwenyewe ila badae walimpima na kukuta ana corona akawekwa pale toka juzi Leo kazidiwa mchana Leo na jioni amelala akiwa bado ajawekwa kwenye oxygen.
Hakika ni majonzi makubwa
He was a really man ameacha watoto wadogo na mke very sad indeed.
Uyole ipiUyole huku tunazika daily afu bado watu hawasanuki yaan.Daaa
Kumbe upo uyole! nitapitia viazi mviringo mitaa hiyoUyole huku tunazika daily afu bado watu hawasanuki yaan.Daaa
Pole sana,
Corona IPO kbs,
Ila ninachojua hiyo ni biological weapon za wazungu,
Sio bure kbs,
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
CHANJO muhimu kaka....
Wengine tumeguswa na wagonjwa hao.....
Inashangaza sana kuona baadhi yetu tunafanya maskhara.....😲😲
Kati ya kosa alilofanya n kwenda hospitali, ukiukwaa kaa home, jidisconnect na ulimwengu halafu assume ni tatizo la kawaida! Mm kama mm nimeupata nisave kwa namna hiyo lkn n maumivu yasiyoelezeka! Poleni sanaKaka yangu kafariki jioni hii kwa covid 19 hospital ya Bugando mwanza hakika ni majonzi makubwa sana.
Alifikishwa hapo kwa matatizo ya uchovu tu na kwenda kucheki na hakupelekwa na mtu alienda akiendesha gari yake mwenyewe ila badae walimpima na kukuta ana corona akawekwa pale toka juzi Leo kazidiwa mchana Leo na jioni amelala akiwa bado ajawekwa kwenye oxygen.
Hakika ni majonzi makubwa
He was a really man ameacha watoto wadogo na mke very sad indeed.