#COVID19 Kaka yangu amefariki kwa ugonjwa wa CORONA

Kaka yangu kafariki jioni hii kwa covid 19 hospital ya Bugando mwanza hakika ni majonzi makubwa sana.

Alifikishwa hapo kwa matatizo ya uchovu tu na kwenda kucheki na hakupelekwa na mtu alienda akiendesha gari yake mwenyewe ila badae walimpima na kukuta ana corona akawekwa pale toka juzi Leo kazidiwa mchana Leo na jioni amelala akiwa bado ajawekwa kwenye oxygen.

Hakika ni majonzi makubwa
He was a really man ameacha watoto wadogo na mke very sad indeed.
Pole Sana ila hii staili ya corona kuua kwa sasa bora kuchanja maana sasa unafariki ukiwa mzima
 
Mungu na sayans n vitu viwl tofaut. Ukiamua kufuata sayans fuata sayan, ukiamua kumfuata Mungu mfuate na uwe na iman yaan uachane na hizo mambo za uoga, ukiamua kumfuata Mungu na uuikane nafs yako na sio kuamn nusu nusu kuwa maji vugu,kwa hil ndpo watu wanafel, kama nchi imeamua kufuata iman na wafuate bila mikanganyo, nakama wameamua kufuata sayans wafuate kwel kwel bila kupuuza kitu, na ndpo ugunu ulipo
 
CHANJO muhimu kaka....

Wengine tumeguswa na wagonjwa hao.....

Inashangaza sana kuona baadhi yetu tunafanya maskhara.....😲😲

Suala la ugonjwa huu laelekea mwisho.

 
Kaka yangu kafariki jioni hii kwa covid 19 hospital ya Bugando mwanza hakika ni majonzi makubwa sana.

Alifikishwa hapo kwa matatizo ya uchovu tu na kwenda kucheki na hakupelekwa na mtu alienda akiendesha gari yake mwenyewe ila badae walimpima na kukuta ana corona akawekwa pale toka juzi Leo kazidiwa mchana Leo na jioni amelala akiwa bado ajawekwa kwenye oxygen.

Hakika ni majonzi makubwa
He was a really man ameacha watoto wadogo na mke very sad indeed.
Kati ya kosa alilofanya n kwenda hospitali, ukiukwaa kaa home, jidisconnect na ulimwengu halafu assume ni tatizo la kawaida! Mm kama mm nimeupata nisave kwa namna hiyo lkn n maumivu yasiyoelezeka! Poleni sana
 
Back
Top Bottom