#COVID19 Kaka yangu amefariki kwa ugonjwa wa CORONA

Mtoto wa Nyerere

Senior Member
May 21, 2021
129
688
Kaka yangu kafariki jioni hii kwa covid 19 hospital ya Bugando Mwanza hakika ni majonzi makubwa sana.

Alifikishwa hapo kwa matatizo ya uchovu tu na kwenda kucheki na hakupelekwa na mtu alienda akiendesha gari yake mwenyewe ila badae walimpima na kukuta ana corona akawekwa pale toka juzi Leo kazidiwa mchana Leo na jioni amelala akiwa bado ajawekwa kwenye oxygen.

Hakika ni majonzi makubwa.

He was a really man ameacha watoto wadogo na mke very sad indeed.
 
Poleni sana Mkuu. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi na awape nguvu na faraja kipindi hiki kigumu kwenu. 🙏🏾
Kaka yangu kafariki jioni hii kwa covid 19 hospital ya Bugando mwanza hakika ni majonzi makubwa sana.

Alifikishwa hapo kwa matatizo ya uchovu tu na kwenda kucheki na hakupelekwa na mtu alienda akiendesha gari yake mwenyewe ila badae walimpima na kukuta ana corona akawekwa pale toka juzi Leo kazidiwa mchana Leo na jioni amelala akiwa bado ajawekwa kwenye oxygen.

Hakika ni majonzi makubwa
He was a really man ameacha watoto wadogo na mke very sad indeed.
 
Kaka yangu kafariki jioni hii kwa covid 19 hospital ya Bugando mwanza hakika ni majonzi makubwa sana.

Alifikishwa hapo kwa matatizo ya uchovu tu na kwenda kucheki na hakupelekwa na mtu alienda akiendesha gari yake mwenyewe ila badae walimpima na kukuta ana corona akawekwa pale toka juzi Leo kazidiwa mchana Leo na jioni amelala akiwa bado ajawekwa kwenye oxygen.

Hakika ni majonzi makubwa
He was a really man ameacha watoto wadogo na mke very sad indeed.

Pole sana mkuu. Kasema SSH wanaobeza jitihada za huu ugonjwa ni vile hawajaguswa.

Tupate chanjo wakuu ugonjwa udhibitiwe kwanza.

Mengine baadaye.
 
Kaka yangu kafariki jioni hii kwa covid 19 hospital ya Bugando mwanza hakika ni majonzi makubwa sana.

Alifikishwa hapo kwa matatizo ya uchovu tu na kwenda kucheki na hakupelekwa na mtu alienda akiendesha gari yake mwenyewe ila badae walimpima na kukuta ana corona akawekwa pale toka juzi Leo kazidiwa mchana Leo na jioni amelala akiwa bado ajawekwa kwenye oxygen.

Hakika ni majonzi makubwa
He was a really man ameacha watoto wadogo na mke very sad indeed.
Pole sana mkuu, Mungu awape faraja nyakati hizi za majonzi, chukueni tahadhari zote mualinde na wengine
 
Back
Top Bottom