Kaka unapooa mrembo kubaliana na haya

Jina lenyewe tofali,mumeo akikuzingua si unampiga tofali la kichwa wewe
Hilo jina lisikutishe....niko cool noma...ukiniona huwez hisi ndio jina hilo linanihusu.
 
Siyo swala la kazi zote za ndani mkuu ishu ni kwamba uwe na mke ambaye ni msafi wa asili siyo kubumba owa wewe mwenye kucha za kubandika, kope za kubandika, Wigi au aliyefuga kucha alafu uwe na mtoto mdogo ndani utamkumbuka mtoa mada.
Huyo hajaoa bado ht usihangaike..ikifika wkt anataka oa .atajua
 
Mi nataka mwanamke mwenye akili ya kutafuta hela.

Hata asipopika au kufua sawa tu.

Yeye sio hausgel au mfanyakazi, ni msaidizi na mke wangu.

Hausgel atafanya hayo.
 
Nini maana ya Msaidizi? Kama hata kukutengenezea chai hawezi je anakusaidia nini? Uchi tu?
 
This is so sweet..lakini huku mwishoni kumbe ni imaginary wife tena...
 
U have spoken something you are experiencing recently,sio wote wapo hivyo its hast generalization fallacy
 
Issue ya kuoa inahitaji kutulia sana waweza angukia pua,kule usukumani kuchapakazi huongeza credit kwa binti ili aweze kuolewa.Ni kweli maisha yamechange lkn kazi za kupika,kufua pamoja usafi wa nyumba ni kazi za mwanamke haijalishi kama ni mwajiriwa au mama wa nyumbani.Haya maisha ya kisasa hayapaswi kuendekezwa,Nilikua na gf wangu cha kushangaza alikua akinikuta nafua ama nafanya usafi hakuweza kunisaidia yeye alitaka tu hela ya saloon na kuelekea out, uzalendo ulinishinda nikajiweka kando .
 
Pambo la ndani ndiyo liwe chafu
 
Nini maana ya Msaidizi? Kama hata kukutengenezea chai hawezi je anakusaidia nini? Uchi tu?
Huyo jamaa hazimtoshi eti anapika chakula chao tuu kwa hiyo dada yeye ale kwa jirani ua alale njaa acheni hizo chakula cha familia kinaliwa na wote chenu. Ni tendo la ndoa tuu.
 
kazi ipo tena si ndogo. Wanaume mpooooooooo?
 
Nini maana ya Msaidizi? Kama hata kukutengenezea chai hawezi je anakusaidia nini? Uchi tu?
Kazi namba moja ya mke ni kutengenwza familia na ushauri ndani ya ndoa!Haiwezekani umchukie mke wako sababu hapiki chakula wala hafui

Ndoa za zamani sana hizi,ndoa za babu zetu
 
Kazi namba moja ya mke ni kutengenwza familia na ushauri ndani ya ndoa!Haiwezekani umchukie mke wako sababu hapiki chakula wala hafui

Ndoa za zamani sana hizi,ndoa za babu zetu
Kutengeneza familia na kutoa ushauri sio usaidizi? Kwanini asikusaidie na hilo la kupika?

Kwahiyo ndoa za sasa ni bora kuliko za wakati wa mababu zetu kutokana na changes hizo?
 
Kutengeneza familia na kutoa ushauri sio usaidizi? Kwanini asikusaidie na hilo la kupika?

Kwahiyo ndoa za sasa ni bora kuliko za wakati wa mababu zetu kutokana na changes hizo?
Ni usaidizi halali huo na akishindwa kutimiza haya ni halali kuachana LKN siwezi muacha mke sababu hajapika supu!

Kwa mawazo yangu ndoa za.zamani zilikuwa za mfumo dume mno na ni jukumu langu mm na ww kuyakataa haya mambo!Kyela mme anaoa Wanawake wengi ili wawe wanamtunza
 
Mkuu hilo la kuoa wake wengi ili kutunzwa achana nalo linahitaji mada yake special....

Swali langu ni kwanini hizo ndoa za mababu unazoita za mfumo dume ndizo zilizodumu haswa na mpk leo mababu na mabibi zetu wanaishi pamoja? Unajua mikasa ya ndoa za sasa zenye lifestyle unayoisupport.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…