Kaka afumaniwa na dada ake

Kaka afumaniwa na dada ake

Maadili yanahusika hapa, hao watoto wangelelewa katika Tabia za kiislam wasingethubutu kufanya hayo.
na ukiambiwa no waislamu utasemaje? mbona waislamu ndo watenda dhambi zaidi? wanaowafundishia watoto zenu madrassa ndo wanawaharibu ila nyie hamulioni hilo
 
Afadhali hao wanaoa ,je wale makasisi wanaobaka watoto makanisani,kuoana mme na mme?

Nadhani elmarsry na permanides mnapotosha agenda, huko mnakoelekea hakufai. Tusianze sasa kuangaliana mapungufu ya ki-dini kwenye jambo hili. Hii ni mmomonyoko wa maadili katika jamii sio katika ufyuasi au uasi wa dini tu. Suala la Mapadre na waarabu hapa halipo. maana tukianza kuchnguzana hapa hapatatosha, la msingi changia mada ya TABATA na sio ya waarabu na mapadre. Chonde chonde mkianza fundamentalism za kidini hii thread itakuwa haina maana.

Ila kumbuka haya ni madhara ya kulea watoto mjini ambapo usimamizi wa watoto ni mdogo maana wazazi wako kwenye miangaiko ya kazi. Tuombe Mungu atuokoe na janga hili ili watoto na wazazi wote waone umuhimu wa kusikilizana mahitaji ili yatatuliwe na sio kuyakandamiza na madhara yake ndiyo yanajitokeza hivi. Mara ngapi tunakaa na watoto na kufanya mrejesho wa siku ili kuona ni yapi yamewasibu nao wakawa na nafasi ya kutueleza bila woga? maana muda wa kuyasikiliza hakuna na pressure ya kazi na ukata unatusumbua. Mungu atupe nguvu ya kwendea. Katika Biblia ninayoifahamu kuoana au kushiriki tendo la ndoa au ngono kwa ndugu wa tumbo moja limelaaniwa.
 
na ukiambiwa no waislamu utasemaje? mbona waislamu ndo watenda dhambi zaidi? wanaowafundishia watoto zenu madrassa ndo wanawaharibu ila nyie hamulioni hilo

Katika Biblia relations za hivi zimebatilishwa Soma Walawi 18:8-18 (Leviticus 18:8-18), na natumaini hakuna dini yoyote inayoruhusu unyama huu hii ni weakness ya wahusika (individual weakness) kwenye uvumilivu sexually. Tusiingize mambo ya imani kwenye suala hili ila tuangalie misaafu inatoa laana gani ili tuombe laana hii iondoke. Waliofanya hivyo walipatilizwa. Natamani kujua waliohusika inawezekana ni wakristo, waisilaamu au wapagani, ALAMSIKI
 
Wewe mtu wa ajabu sana. Maadili ni mtu mwenyewe sio dini. Kufuata maadili ya dini ni utashi wa mtu wala si uislamu au ukristo. Nina waislamu chungu mzima wamepatikana na kashfa za kulawiti watoto zao tena wa kiume. Usiongee kabisa habari za dini huku. Utachekwa. Wewe mwenyewe si ajabu ni mchepukaji mzuri.
 
Jamani swala la maadili kwasasa limekuwa gumzo! Hata ungekuwa na malezi kiasi gani hata yawe ya DINI nzuri iliyotoka kwa mwenyezi mungu si hoja; watoto wanaweza kuja na tabia kinzani mpaka mwenyewe ukashangaa! Anayepinga hili juwa hajazaa au kama ana watoto haishi nao au hawajakuwa!
Cha muhimu jamii nzima tubadilike ili watoto wapate malezi bora kimaadili kila upande! Waweza kumfundisha malezi bora lakini kumbuka mwalimu wa mtoto siyo mzazi tu; wapo Marafiki zake, majirani, walimu shuleni na jamii inayomzunguka pia! KWA HIYO NAWAOMBA JAMANI TUBADILIKE na TUWE MIFANO KWA WATOTO! Sasa unakuta kijana mtanashati kavaa mlegezo (Kata-k) vitu kama hv ndo watoto wanavirithi!
 
Pia tujitahidikuwapa kazi watoto!
Ni kosa kubwa watoto kukaa bila kazi; yaani wanakaa wanangalia TAMTHILA, MOVIE na TV tu

Ukizingatia hata baadhi ya TV na Tamthilia na Movie nyingi za sasa hazina maadili; watoto ni hayo wanayoangalia usiku na mchana tena wengine hata picha/video za ngono!
 
Dare to talk openly,wamefumaniwa wanafanya nini?Wanakomba mboga,wanakwiba pesa,wanauza tv etc?Kwanini mnawapiga!

wakiwa wamefumaniwa ni kwamba wamekutwa wanafanya mambo ya kikubwa yanayofanywa na watu wasio ndugu!!!!
 
Haya majumba yenu mnayoweka uzio na kuwazuia watoto wasihusiane na majirani, muda wote magetini mwao, mnategemea wanapofikia kwenye muwashawasha wa ngono watakidhi wapi haja hizo? Ushaisikia hii Uswahilini kwetu kwenye KOMBORERA? Hii iko Kwa vigogo bwana. Siye full vigodoro, Komborera, tuwindane kaka na dada ili iweje? Hata kwenye kununua nusu na robo njiani usiku uchochoroni tunamaliza yetu bana. Bafu langu na la jirani vinaangaliana, tunaoga muda sawa na tunamaliza yetu...badilisheni malezi ya watoto.
 
Ina maana Wadada Tz wameisha hadi hawa madogo walane wenyewe kwa wenyewe !!! Eti, Mdogo wangu charminglady nifafanulie kulikoni hadi wafike hapo.

Bro... Hiyo ni laana, ukifuatilia utakuta kuna watu katika ukoo wao walifanya hiko kitendo. Sasa hilo pepo linatembea tu. Iwapo walipolikemea wataendelea kulana tu!
 
Acha fikra changa waarabu na uislam wao ndio wanaoongoza kwa kuoa ndugu zao

Wewe umepata wapi andiko hilo au una ropoka tu mbona watoto wa adam na hawa waliowana na ni ndugu baba mama ruhusa ya kufanya hivyo ilitoka kwa Mungu kwa hiyo waislam wanatekeleza amri ya Mungu
 
Haya majumba yenu mnayoweka uzio na kuwazuia watoto wasihusiane na majirani, muda wote magetini mwao, mnategemea wanapofikia kwenye muwashawasha wa ngono watakidhi wapi haja hizo? Ushaisikia hii Uswahilini kwetu kwenye KOMBORERA? Hii iko Kwa vigogo bwana. Siye full vigodoro, Komborera, tuwindane kaka na dada ili iweje? Hata kwenye kununua nusu na robo njiani usiku uchochoroni tunamaliza yetu bana. Bafu langu na la jirani vinaangaliana, tunaoga muda sawa na tunamaliza yetu...badilisheni malezi ya watoto.
masatujr1985 maneno yako yamesababisha mbavu zangu zitatuke
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom