sheremaya
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 4,439
- 10,869
Kwanini hujawai kumpost acha wenzako wakusaidie kaziMmh mimi nimeshangaa mno tangu nizaliwe sijawahi post picha niko na mwanaume kwenye mitandao duuh dunia ina vioja
Kwanini hujawai kumpost acha wenzako wakusaidie kaziMmh mimi nimeshangaa mno tangu nizaliwe sijawahi post picha niko na mwanaume kwenye mitandao duuh dunia ina vioja
🤣🤣🤣 niweke picha hapa muisambaze huko dada wa watu aaibikeWewe una umri gani kwa sasa? Km ni below 18 muulize km ni above 18 kausha... ukitaka kumuuliza na upo above 18+ kwanza chonga mgomba wako uwe wako peke yako kisha anza kumuuliza kinyume na kausha fanya km hujaona.. halafu mboni huyo mtu hujaweka namba yake hapa au account yake ulitumiwa hio picha ili tuhakikishe kwamba hii sio Chai ya Maziwa?
Mwanaume wa kupost ni mume tuKwanini hujawai kumpost acha wenzako wakusaidie kazi
PM ipo wazi...🤣🤣🤣 niweke picha hapa muisambaze huko dada wa watu aaibike
Nimewaza sana kuhusu kumuuliza lakini nasita maana nimehisi kama kuna kitu kinaendelea kwasababu from nowhere mtu ananifollow kanijuaje
Sawa watch out party 2Mwanaume wa kupost ni mume tu
MajiUnataka nini haki au amani...!!
Basi kuwa mpolee mkuu....Kwenye mahusiano ni amani mkuu
🤣Maji
WeeeeBasi kuwa mpolee mkuu....
Mana haki ni sawa na vita
Acha umbeaPM ipo wazi...
Weka picha tuoneKama kichwa kinavyojieleza, huyu mwanamke sijajua nia yake haswa ni nini
Mimi kusema ukweli simjui kabisa huyo dada nimeshangaa tu mtu kanitumia request ya kuni follow ikabidi niangalie ni nani Hakuna picha kwa account yake zaidi ya passport ya kichwa chake kama pembe Tatu.. ila miongoni mwa marafiki zake nikaona na account ya huyo niseme mwanaume wetu
Basi nikampotezea sasa nashangaa ana like picha zangu zote kwenye account yangu nikasema labda ni kawaida
Sijakaa Sawa kapost picha yuko na mwanaume nilienae kwenye mahusiano ila kaweka share with only close friends kwaiyo kanitagg mimi tu huko mtandaoni.
Ikabidi niangalie post za mwanaume labda nitamjua ni nani maana account aliyonifollow haina picha.. uzuri nikakutana na jina kama lile kwenye comments section,
Ikabidi niikague ile account nikakuta ni kweli ni huyo mdada maana kuna picha zake
Na hiyo picha aliyopost inaonekana ilipigwa mwaka Jana July maana dada alijipost peke yake akiwa amevaa hiyo nguo na location hiyohiyo…
Mimi nili view tu sikumuuliza chochote wala mwanaume sijamuuliza kitu mpaka Leo siku ya 4
Sasa najiuliza ana nia gani haswa au lengo lake ni nini??
Je nimuulize au niachane nae tu
Watu wa humu mmekula ndumu niniWeka picha tuone
Mpige Gillette ya takQ sistaa..
Fika PMAcha umbea
Ndumu tu ndio unaona maajabu ya kutumiwa picha mwenzio kakutumia kala ndumu...Watu wa humu mmekula ndumu nini
Hebu nipeni majibu ya kueleweka moyo unafukuta hapa sijui nifanye kitu gani kama nimtumie hiyo picha halafu nimwambie tuachane 😌Ndumu tu ndio unaona maajabu ya kutumiwa picha mwenzio kakutumia kala ndumu...
Nipe kwanza ushaurii moyo unaniumaMpige Gillette ya takQ sistaa..
Kwa sisi CCM; amani itawale!Unataka nini haki au amani...!!
Tuliza wenge...Hebu nipeni majibu ya kueleweka moyo unafukuta hapa sijui nifanye kitu gani kama nimtumie hiyo picha halafu nimwambie tuachane 😌
Mi huwa sina huo muda wa kuwaza mtu kiukweli, ningeblock wote wawili nikatembea.. or else unamtaka sana huyo bwna.. sina ushauri mzuri kwnye mapenz shorii ni violence tu kwenda mbele😅😅Nipe kwanza ushaurii moyo unaniuma