Kajipost mtandaoni akiwa na mwanaume ambae nina mahusiano naye. Anamaanisha nini?

Kajipost mtandaoni akiwa na mwanaume ambae nina mahusiano naye. Anamaanisha nini?

Mi huwa sina huo muda wa kuwaza mtu kiukweli, ningeblock wote wawili nikatembea.. or else unamtaka sana huyo bwna.. sina ushauri mzuri kwnye mapenz shorii ni violence tu kwenda mbele😅😅
🤣🤣🤣🤣 we kweli huna muda.. mimi simu yangu sijawahi kublock mtu huwa nafuta namba na wakati mwinginee sifuti nakuacha unishangae status
 
Wewe si umesema hujui anamaanisha nini? Maana yake anakuambia amekuibia na huna cha kumfanya.
Inavyoonekana ni kama hawa watu waliachana au wapo pamoja yaani mie ndio nimemkuta ila sasa ndio ananilingishia sasa kama anajiamini ni wake si angeshare kwa wote kwanini anitagg mimi tu matako yake
 
🤣🤣🤣🤣 we kweli huna muda.. mimi simu yangu sijawahi kublock mtu huwa nafuta namba na wakati mwinginee sifuti nakuacha unishangae status
Basi subiri kuendelea kushangazwa huko insta utakaa mkao tu! Itakuwa hujapitishwa rough road milima na mabonde kwenye mahusiano bado, soon utakomaa utaona kawaida tu, unaachwa dk 5 nyingi unasonga na maisha hahah
 
Basi subiri kuendelea kushangazwa huko insta utakaa mkao tu! Itakuwa hujapitishwa rough road milima na mabonde kwenye mahusiano bado, soon utakomaa utaona kawaida tu, unaachwa dk 5 nyingi unasonga na maisha hahah
Huko nishapita ila nahisi sikomi kila siku napenda tena 😂
 
Huko nishapita ila nahisi sikomi kila siku napenda tena 😂
Bado wewe.. mpka ukutane na wajela jela kwanza lol.. city boys wakunyooshe, ukitapeliwa na hawa huwezi kuja kuanzisha nyuzi za namna hii am sure u will never ever dare 😆 i bet u are not even 25 yet!
 
Ndio sababu mimi niliachana na habari za mahusiano mapema. Ukiona red flag chukua hatua mapema, hatua zipi utajua mwenyewe maana wewe ndiye unamjua huyo mtu wako. Na utambue baada ya kuchukua hatua kuna matokeo chanya na hasi kikubwa jali amani yako ya moyo.
 
Bado wewe.. mpka ukutane na wajela jela kwanza lol.. city boys wakunyooshe, ukitapeliwa na hawa huwezi kuja kuanzisha nyuzi za namna hii am sure u will never ever dare 😆 i bet u are not even 25 yet!
Wajelajela ni watu gani🤣 anyway ukifuatilia nyuzi zangu zitakuambia namna wakaka wa Tanzania wanavyonivunja moyo na mifupa
 
Kuna haja gani ya kujua mtu kalala mara ngapii na mwanaume
Hayo maswali ulizaneni wanaume sie hatuongeagi huo upuuzi
Kwa hio hujui idadi ya mabao aliyokupiga mpaka leo?
 
Wajelajela ni watu gani🤣 anyway ukifuatilia nyuzi zangu zitakuambia namna wakaka wa Tanzania wanavyonivunja moyo na mifupa
Hehehe pole mamake, Tuanze kutafuta nje ya Tz au unasemaje mamtu?
 
Basi subiri kuendelea kushangazwa huko insta utakaa mkao tu! Itakuwa hujapitishwa rough road milima na mabonde kwenye mahusiano bado, soon utakomaa utaona kawaida tu, unaachwa dk 5 nyingi unasonga na maisha hahah
instagram kuna nafuu, tiktok mtu anapost video au picha wakiwa kwenye gari na anakuambia kabisa ndio anamsindikiza mumeo safari ya kikazi ambayo asingeweza kukubeba wewe
 
Back
Top Bottom